Mtibwa Sugar wamechanganyiwa timu kufanya vibaya

Mtibwa Sugar wamechanganyiwa timu kufanya vibaya

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Nimemsikia Thobias Kifaru msemaji wa mtibwa sugar akidai deni lao kwa Yanga kuhusu abdalah Msheri kama mtu mwenye sonona na aliyekata tamaa.

Wakati wanauziana mchezaji hawakuuzina kwenye vyombo vya habari lakini wakati wa kudai wanakwenda kwenye vyombo vya habari na kuviacha vyombo rasmi vya kudai haki yako kama TFF, CAF, FIFA na mahakamani kupata Suluhu.

Mtibwa ni timu kubwa kuliko Ihefu, Mbeya kwanza, geita mines, polisi, Azam au Namungo, haipaswi kudai madeni kwa njia hiyo.

Ukimsikia sauti yake atajuwa TU kuwa hayuko sawa, ama ametumwa na Simba au ana mashaka na timu yake kushuka daraja hasa baada ya kuchapwa na Yanga goli za kutosha.

Kwenye mechi Ile Kifaru alikuwa na uhakika kuwa Yanga itafungwa au kutoka sare na mtibwa lakiñi haikuwa vile, alichanganyikiwa yeye, timu yake na mashabiki na wadau wa Simba wote.

Binafsi ninaishauri mtibwa kama Wana madai watumie njia rasmi na kudai madeni badala ya kwenda Wasafi FM (wadau wengine wa Simba waliokerwa na matokeo ya mtibwa dhidi ya Yanga)

Wasafi FM walipaswa kabla ya kurusha hewani madai ya Kifaru wawe Wana majibu ya upande wa Yanga pia ili kubalance habari kwenye kipindi chao. Lakiñi Cha ajabu wafasi walikimbilia kurusha malalamiko ya Kifaru bila kuwapata upande wa pili kujibu, bahati baadhi Yao humo Wasafi wakashauri utafutwe upande wa pili (Yanga) kesho yake kujibu.

Kwanini story isingesubiri upande wa pili kwanza ili malalamiko na majibu viruke vyote hewani siku moja? Hii ni kuonyesha kuwa ni tragedy kwa Yanga.
 
Kama hamjawalipa walipe kwanza ndipo mpost humu. Sasa mnadaiwa alafu mnalaumu namna ya kuwadai au mlikubaliana mdaiane kwa njia ipo? Kutolipa hadi mda kupitiliza sio shida kwenu,ila kusema nawadai ni nongwa.

Mtibwa wamewaandikia Yanga barua 25 ila Yanga hawajibu wanajifanya wako bize na jezi,mayele na wao wao na mayele. Lipeni acheni ujinga
 
Nimemsikia Thobias Kifaru msemaji wa mtibwa sugar akidai deni lao kwa Yanga kuhusu abdalah Msheri kama mtu mwenye sonona na aliyekata tamaa.

Wakati wanauziana mchezaji hawakuuzina kwenye vyombo vya habari lakini wakati wa kudai wanakwenda kwenye vyombo vya habari na kuviacha vyombo rasmi vya kudai haki yako kama TFF, CAF, FIFA na mahakamani kupata suluhu.

Mtibwa ni timu kubwa kuliko Ihefu, Mbeya kwanza, geita mines, polisi, Azam au Namungo, haipaswi kudai madeni kwa njia hiyo.

Ukimsikia sauti yake atajuwa TU kuwa hayuko sawa, ama ametumwa na Simba au ana mashaka na timu yake kushuka daraja hasa baada ya kuchapwa na Yanga goli za kutosha.

Kwenye mechi Ile Kifaru alikuwa na uhakika kuwa Yanga itafungwa au kutoka sare na mtibwa lakiñi haikuwa vile, alichanganyikiwa yeye, timu yake na mashabiki na wadau wa Simba wote.

Binafsi ninaishauri mtibwa kama Wana madai watumie njia rasmi na kudai madeni badala ya kwenda Wasafi FM (wadau wengine wa Simba waliokerwa na matokeo ya mtibwa dhidi ya Yanga)

Wasafi FM walipaswa kabla ya kurusha hewani madai ya Kifaru wawe Wana majibu ya upande wa Yanga pia ili kubalance habari kwenye kipindi chao. Lakiñi Cha ajabu wafasi walikimbilia kurusha malalamiko ya Kifaru bila kuwapata upande wa pili kujibu, bahati baadhi Yao humo Wasafi wakashauri utafutwe upande wa pili (Yanga) kesho yake kujibu. Kwanini story isingesubiri upande wa pili kwanza ili malalamiko na majibu viruke vyote hewani siku moja? Hii ni kuonyesha kuwa ni tragedy kwa Yanga.
Uzi mzuri ila ulipochanganya sijui mambo ya Simba umekua upupu...
 
Kama hamjawalipa walipe kwanza ndipo mpost humu. Sasa mnadaiwa alafu mnalaumu namna ya kuwadai au mlikubaliana mdaiane kwa njia ipo? Kutolipa hadi mda kupitiliza sio shida kwenu,ila kusema nawadai ni nongwa.

Mtibwa wamewaandikia Yanga barua 25 ila Yanga hawajibu wanajifanya wako bize na jezi,mayele na wao wao na mayele. Lipeni acheni ujinga
Kama hawajibu kwani Mkataba wao unasemaje? Kwanini wasiiende TFF au Caf?
 
Kama hawajibu kwani Mkataba wao unasemaje? Kwanini wasiiende TFF au Caf?
Ndiko wanakoenda huko baada ya kuona Yanga hawalipi na kuna za chini chini eti wanataka kuomba wasamehewe deni rubbish kabisa
 
Nimemsikia Thobias Kifaru msemaji wa mtibwa sugar akidai deni lao kwa Yanga kuhusu abdalah Msheri kama mtu mwenye sonona na aliyekata tamaa.

Wakati wanauziana mchezaji hawakuuzina kwenye vyombo vya habari lakini wakati wa kudai wanakwenda kwenye vyombo vya habari na kuviacha vyombo rasmi vya kudai haki yako kama TFF, CAF, FIFA na mahakamani kupata Suluhu.

Mtibwa ni timu kubwa kuliko Ihefu, Mbeya kwanza, geita mines, polisi, Azam au Namungo, haipaswi kudai madeni kwa njia hiyo.

Ukimsikia sauti yake atajuwa TU kuwa hayuko sawa, ama ametumwa na Simba au ana mashaka na timu yake kushuka daraja hasa baada ya kuchapwa na Yanga goli za kutosha.

Kwenye mechi Ile Kifaru alikuwa na uhakika kuwa Yanga itafungwa au kutoka sare na mtibwa lakiñi haikuwa vile, alichanganyikiwa yeye, timu yake na mashabiki na wadau wa Simba wote.

Binafsi ninaishauri mtibwa kama Wana madai watumie njia rasmi na kudai madeni badala ya kwenda Wasafi FM (wadau wengine wa Simba waliokerwa na matokeo ya mtibwa dhidi ya Yanga)

Wasafi FM walipaswa kabla ya kurusha hewani madai ya Kifaru wawe Wana majibu ya upande wa Yanga pia ili kubalance habari kwenye kipindi chao. Lakiñi Cha ajabu wafasi walikimbilia kurusha malalamiko ya Kifaru bila kuwapata upande wa pili kujibu, bahati baadhi Yao humo Wasafi wakashauri utafutwe upande wa pili (Yanga) kesho yake kujibu.

Kwanini story isingesubiri upande wa pili kwanza ili malalamiko na majibu viruke vyote hewani siku moja? Hii ni kuonyesha kuwa ni tragedy kwa Yanga.
Mkuu, siku hizi hakuna Waandishi wa Habari wenye weledi. Wengi wapo kimaslahi!
 
Ndiko wanakoenda huko baada ya kuona Yanga hawalipi na kuna za chini chini eti wanataka kuomba wasamehewe deni rubbish kabisa
Mnajidhalilisha TU, mpira unachezwa uwanjani, shindeni mechi zenu. Msheri ni bado kijana mdogo sana, Yanga itakuwepo hata bila Msheri. Yanga Kuna Diara anaefanya vizuri bado.

Mtibwa haikuonyesha professionalism kwenye hili. Nawasifu na kuwapongeza Yanga kwa kukaa kimya dhidi ya vijichambuzi vinavyoisaidia Simba nje ya uwanja
 
Kuna shida pahala
Wewe endelea na manung'uniko tu na makasiriko tu... Lakini ndo ukweli

Hayo majina mnayatoa wenyewe..Sisi hatuhusiki isipokuwa kazi yetu ni kunukuu tu nakuweka hapa ubaoni..!

Kwahivyo shida ipo huko kwenu hapo.
 
Uzi mzuri ila ulipochanganya sijui mambo ya Simba umekua upupu...
Sijachanganya kitu, Kifaru kabla ya mechi Yao na Yanga alijiapiza lazima kuiharibia Yanga. Hivi unadhani alimaanisha nini? Anaiharibia dhidi ya timu ipi? Yaani bila kupepesa macho akitaka kuisaidia Simba kwa kupunguza pengo la points. Ona radio ya kwanza kurusha madai ya Kifaru ilikuwa Radio gani, ona vijichambuzi vya hiyo radio vilivyoikimbiza taarifa hewani bila kupata taarifa ya upande wa pili. Kulikuwa na haraka gani kwenda hewani kabla ya kubalance story?

Kwanini Mtibwa hawakuishitaki Yanga bodi ya ligi, TFF, CAF, FIFA au kwenda mahakamani kudai? Weledi uko wapi?

Ukweli ni kwamba kulikuwa na mhemko wa mtibwa kuchomekwa magoli 2 kavu na pengo kati ya Simba na Yanga kuongezeka.



Kulikuwa
 
Wewe endelea na manung'uniko tu na makasiriko tu... Lakini ndo ukweli

Hayo majina mnayatoa wenyewe..Sisi hatuhusiki isipokuwa kazi yetu ni kunukuu tu nakuweka hapa ubaoni..!

Kwahivyo shida ipo huko kwenu hapo.
Mambo ya hivi Ndio maana Simba ilichomekwa na RS Berkane hivihivi. Kiukweli Simba hata kutoa sare na US Gender Marie ilikuwa ni kwa bahati TU, hata Asec ilifungwa kibahatibahati TU. Mimi nawaambia Simba itafungwa hapahapa kwa Mkapa, wallah nawaambia.
 
Nimemsikia Thobias Kifaru msemaji wa mtibwa sugar akidai deni lao kwa Yanga kuhusu abdalah Msheri kama mtu mwenye sonona na aliyekata tamaa.

Wakati wanauziana mchezaji hawakuuzina kwenye vyombo vya habari lakini wakati wa kudai wanakwenda kwenye vyombo vya habari na kuviacha vyombo rasmi vya kudai haki yako kama TFF, CAF, FIFA na mahakamani kupata Suluhu.

Mtibwa ni timu kubwa kuliko Ihefu, Mbeya kwanza, geita mines, polisi, Azam au Namungo, haipaswi kudai madeni kwa njia hiyo.

Ukimsikia sauti yake atajuwa TU kuwa hayuko sawa, ama ametumwa na Simba au ana mashaka na timu yake kushuka daraja hasa baada ya kuchapwa na Yanga goli za kutosha.

Kwenye mechi Ile Kifaru alikuwa na uhakika kuwa Yanga itafungwa au kutoka sare na mtibwa lakiñi haikuwa vile, alichanganyikiwa yeye, timu yake na mashabiki na wadau wa Simba wote.

Binafsi ninaishauri mtibwa kama Wana madai watumie njia rasmi na kudai madeni badala ya kwenda Wasafi FM hewani siku moja? Hii ni kuonyesha kuwa ni tragedy kwa Yanga.
amna banah km kweli wanadaiwa walipe tu, mbn mtibwa wamekua wakiuza wachezaji miaka mingi tu na hawana historia ya ukorofi!!! mbn kifaru kaongea vzuri tu wala hajaikosea heshima au kukejeli,
 
Mambo ya hivi Ndio maana Simba ilichomekwa na RS Berkane hivihivi. Kiukweli Simba hata kutoa sare na US Gender Marie ilikuwa ni kwa bahati TU, hata Asec ilifungwa kibahatibahati TU. Mimi nawaambia Simba itafungwa hapahapa kwa Mkapa, wallah nawaambia.
Kwa timu yoyote lazima matokeo matatu lazima uyapitie hata kama una ubora kiasi gani..!

Alhy SC imepoteza kwake itakuwa Simba SC kufungwa na RS Barkane ugenini..! ila shida ni pale unapotoa sare halafu unaandaa press conference na kutaka kumuona Rais Samia Suluhu

Japo umeniqoute kwenye Post inayohusu masuala ya mkuu Gide MK kumuita Kifaru Msukule lakini nimekujibu..!
 
Back
Top Bottom