Mtibwa Sugar wamechanganyiwa timu kufanya vibaya

Mtibwa Sugar wamechanganyiwa timu kufanya vibaya

Nimemsikia Thobias Kifaru msemaji wa mtibwa sugar akidai deni lao kwa Yanga kuhusu abdalah Msheri kama mtu mwenye sonona na aliyekata tamaa.

Wakati wanauziana mchezaji hawakuuzina kwenye vyombo vya habari lakini wakati wa kudai wanakwenda kwenye vyombo vya habari na kuviacha vyombo rasmi vya kudai haki yako kama TFF, CAF, FIFA na mahakamani kupata Suluhu.

Mtibwa ni timu kubwa kuliko Ihefu, Mbeya kwanza, geita mines, polisi, Azam au Namungo, haipaswi kudai madeni kwa njia hiyo.

Ukimsikia sauti yake atajuwa TU kuwa hayuko sawa, ama ametumwa na Simba au ana mashaka na timu yake kushuka daraja hasa baada ya kuchapwa na Yanga goli za kutosha.

Kwenye mechi Ile Kifaru alikuwa na uhakika kuwa Yanga itafungwa au kutoka sare na mtibwa lakiñi haikuwa vile, alichanganyikiwa yeye, timu yake na mashabiki na wadau wa Simba wote.

Binafsi ninaishauri mtibwa kama Wana madai watumie njia rasmi na kudai madeni badala ya kwenda Wasafi FM (wadau wengine wa Simba waliokerwa na matokeo ya mtibwa dhidi ya Yanga)

Wasafi FM walipaswa kabla ya kurusha hewani madai ya Kifaru wawe Wana majibu ya upande wa Yanga pia ili kubalance habari kwenye kipindi chao. Lakiñi Cha ajabu wafasi walikimbilia kurusha malalamiko ya Kifaru bila kuwapata upande wa pili kujibu, bahati baadhi Yao humo Wasafi wakashauri utafutwe upande wa pili (Yanga) kesho yake kujibu.

Kwanini story isingesubiri upande wa pili kwanza ili malalamiko na majibu viruke vyote hewani siku moja? Hii ni kuonyesha kuwa ni tragedy kwa Yanga.
Nadhani watanzania umasikini wenu ni kwasababu hampendi ukweli na mnapenda sana ushabiki Tu!!...Iko wazi Mtibwa wanaidai Yanga wewe unakuja na ushabiki hivi lini mnaweza kuwa na mambo ya Msingi?!!..
 
Nadhani watanzania umasikini wenu ni kwasababu hampendi ukweli na mnapenda sana ushabiki Tu!!...Iko wazi Mtibwa wanaidai Yanga wewe unakuja na ushabiki hivi lini mnaweza kuwa na mambo ya Msingi?!!..
Inadai shilingi ngapi? Wewe na Mimi tunasaidiaje Yanga kulipa deni hilo. Madeni yanaidiwa hivyo, crazy??
 
Inadai shilingi ngapi? Wewe na Mimi tunasaidiaje Yanga kulipa deni hilo. Madeni yanaidiwa hivyo, crazy??
Unataka wadaije fedha Yao!!..Kama privacy imeshindikana?!!...Acha kuongelea mambo ambayo hata hujui unaleta ushabiki Tu!!..Yanga wanadaiwa hili liko wazi means za Mtibwa za kudai Kwa uungwana zimeshindikana unataka wasije public kusema?!!..Unaona aibu Kwa Yanga kudaiwa fedha kidogo namna hiyo na wanashindwa kulipa (hawana fedha)!!.. Ukidaiwa lipa mbona tunadai serikali na wakichelewa tunapeleka mahakamani na kwenye vyombo vya Habari tunatoa!!..Eti hiyo ndio njia ya kudai unajua jinsi mjinga anavyotaka kutapeli anafanyaje?!!..Am doing business anyway Yanga wanadaiwa haijalishi Mtibwa wanatumia njia gani za kudai lakini wanadai!!
 
Unataka wadaije fedha Yao!!..Kama privacy imeshindikana?!!...Acha kuongelea mambo ambayo hata hujui unaleta ushabiki Tu!!..Yanga wanadaiwa hili liko wazi means za Mtibwa za kudai Kwa uungwana zimeshindikana unataka wasije public kusema?!!..Unaona aibu Kwa Yanga kudaiwa fedha kidogo namna hiyo na wanashindwa kulipa (hawana fedha)!!.. Ukidaiwa lipa mbona tunadai serikali na wakichelewa tunapeleka mahakamani na kwenye vyombo vya Habari tunatoa!!..Eti hiyo ndio njia ya kudai unajua jinsi mjinga anavyotaka kutapeli anafanyaje?!!..Am doing business anyway Yanga wanadaiwa haijalishi Mtibwa wanatumia njia gani za kudai lakini wanadai!!
Ushabiki maandazi huo, mbona hatujasikia wamepelekana bodi ya ligi, TFF, Caf, FIFA au mahakamani? Yaani media ilitakiwa kuhusika kutoa taarifa ya mwenendo wa swala la deni bodi ya ligi, TFF au fifa au mahakamani. Acha kushabia upuuzi
 
Ushabiki maandazi huo, mbona hatujasikia wamepelekana bodi ya ligi, TFF, Caf, FIFA au mahakamani? Yaani media ilitakiwa kuhusika kutoa taarifa ya mwenendo wa swala la deni bodi ya ligi, TFF au fifa au mahakamani. Acha kushabia upuuzi
Wewe hukutaka kusikia Yanga inadaiwa?!!..walipie sasa
 
Unataka wadaije fedha Yao!!..Kama privacy imeshindikana?!!...Acha kuongelea mambo ambayo hata hujui unaleta ushabiki Tu!!..Yanga wanadaiwa hili liko wazi means za Mtibwa za kudai Kwa uungwana zimeshindikana unataka wasije public kusema?!!..Unaona aibu Kwa Yanga kudaiwa fedha kidogo namna hiyo na wanashindwa kulipa (hawana fedha)!!.. Ukidaiwa lipa mbona tunadai serikali na wakichelewa tunapeleka mahakamani na kwenye vyombo vya Habari tunatoa!!..Eti hiyo ndio njia ya kudai unajua jinsi mjinga anavyotaka kutapeli anafanyaje?!!..Am doing business anyway Yanga wanadaiwa haijalishi Mtibwa wanatumia njia gani za kudai lakini wanadai!!
Hiyo ni vita ya nje ya uwanja. Ndio maana Yanga hawakuvijibu vichambuzi uchwara. Haya tuone Sasa deni litalipwaje kwa njia ya media. Haya ushajua Sasa kwamba Yanga inadaiwa ssaidia walipwe haraka basi
 
Back
Top Bottom