Sasa mkuu hiyo redio sijui kukimbilia kurusha hiyo habar kama usemavyoSijachanganya kitu, Kifaru kabla ya mechi Yao na Yanga alijiapiza lazima kuiharibia Yanga. Hivi unadhani alimaanisha nini? Anaiharibia dhidi ya timu ipi? Yaani bila kupepesa macho akitaka kuisaidia Simba kwa kupunguza pengo la points. Ona radio ya kwanza kurusha madai ya Kifaru ilikuwa Radio gani, ona vijichambuzi vya hiyo radio vilivyoikimbiza taarifa hewani bila kupata taarifa ya upande wa pili. Kulikuwa na haraka gani kwenda hewani kabla ya kubalance story?
Kwanini Mtibwa hawakuishitaki Yanga bodi ya ligi, TFF, CAF, FIFA au kwenda mahakamani kudai? Weledi uko wapi?
Ukweli ni kwamba kulikuwa na mhemko wa mtibwa kuchomekwa magoli 2 kavu na pengo kati ya Simba na Yanga kuongezeka.
Kulikuwa
.......Simba anaingiaje hapo ?
Mtibwa kutokwenda kushtaki sijui huko ulikosema na kuita sijui waandishi ...Simba anaingiaje hapo ??
YANGA hajafungwa na ndo timu pekee haijafungwa so far Tanzania pengine Africa nzima(maana hizi ndo sentensi mnazipenda kweli) ......sasa huoni kama kila timu inataman kuiharibu hiyo record ili nayo ijenge rekod yake ? sioni ubaya wa kifaru Au timu yoyote kutaman kupata matokeo mbele ya Yanga ya sasa japo ndo Ivo inashindikana ......
ulikua Una points ila kaunazi kamezidi sana mkuu , relax kdg.