Uchaguzi 2020 Mtihani mkubwa ulio mbele ya CHADEMA ni kupata fedha za kampeni za Urais. Chama hakina fedha na Mgombea hana fedha

Uchaguzi 2020 Mtihani mkubwa ulio mbele ya CHADEMA ni kupata fedha za kampeni za Urais. Chama hakina fedha na Mgombea hana fedha

Sio leo tu tumeandika sana humu kuhusu hilo kuwa Chadema wawe makini sababu hatutaki mtu tu kuteuliwa kwa mihemka bila ku take into consideration reality ya mambo.

Kampeni ni kitu real na inahitaji pesa sio mihemko. Kura zimepigwa ki mihemko sasa real thing hiyo inakuja pesa za kampeni zitatoka wapi?
Unataka kujua chanzo cha pesa ili mkafukie? Umenoa. This is a petty to discuss. Pesa ni watu.
 
ha ha ha ha !!! mtachanga za tigo rusha ? Ndio utegemee kuendeshea kampeni ya uraisi? uwii mbavu zangu mimi wacha nicheke
Hapo nakuona unavyougulia. Eti unacheka, unacheka huku unaumia? Wadanganye wanawake wenzako huko mnakopigia umbea. Mmeona Nyalandu amepigwa spana ndio mnalia? Mmeshashtukiwa, tulieni tu. Pesa za kampeni haziwahusu.
 
Nyalandu was best, Ana hela na Exposure kubwa hata connection Zake huko duniani zinatisha sana Na hizo zote alizipata wakati akiwa waziri wa maliasili, Jamaa ni Predidential material ila kwa vile mmeamua kwenda na TAL basi JPM asubuhi sana anachukua nchi, Msitegemee mwenyekiti wa Saccos aingie mfukoni ku fund kampeni za chama mzigo utarudi kwa wanachama na hao wabunge
Wazo langu kwa sasa Chadema waanze kuchonga mabakuli ya kuombea tu pesa ili waweze ku afford walau kuzunguka mikoa michache.
 
Ulikuwa ukichanga nini wewe una pesa?

Walikuwa wakichanga pesa za kueleweka akina mzee marehemu Ndesamburo,Wafadhili wa nje wa Dr Slaa ,akina Lowasa ambao hawapo tena .Zile helikopeta mliziona zikikata mawimbi hewani zilikuwa hazirushwi kwa pesa kuchanga za Tigo rusha!!!

Mkt mwenyewe mjanjamnja pale jangwani 2015 drone camera za AZAM TV alikuwa anajisifia eti mambo ya cdm hayo na huku mazuzu na majuha yakimshangilia.
 
Mtihani mkubwa mbele ya CHADEMA ni kupata pesa za kampeni za ugombea urais sababu chama hakina pesa na aliyependekezwa kugombea pesa hana.

Pesa nyingi mno huhitajika kwenye kampeni ya uraisi. Ni mtihani mkubwa mno ulioko mbele ya Chadema. Kampeni inahitaji bilions of money kwa ajili ya logistics, misafara ya mgombea kuzunguka na waandishi wa habari,kununua airtime kwenye vyombo vya habari, kununua front pages za magazeti ili habari za mgombea ziandikwe na front pages ni gharama ya kufa mtu nk

Kupata pesa za kampeni ni challenge kubwa mno inayoikabili Chadema.
Kwahiyo wewe kinachokusumbua nini ikiwa pesa hawana?

Hofu imetanda kwenye viwanja vya lumumba.

Kila kauli mtaisema mwaka huu.

Mara ohh hawezi kurudi, akirudi na kufika uwanjani atapelekwa lupango, mara hakuna mapokezi yoyote aliyopata, mara ohhh anachechemea, mara ohh msaliti wa nchi lakini ushahidi hamna, mara ohh hachaguliwi kugombea Urais, mara ohh pesa hawana.

Hivi kinachokusumbua nini huko chadema?

Wallah muwanafiki na kazi yenu ni rushwa tu huko lumumba.
 
Mtihani mkubwa mbele ya CHADEMA ni kupata pesa za kampeni za ugombea urais sababu chama hakina pesa na aliyependekezwa kugombea pesa hana.

Pesa nyingi mno huhitajika kwenye kampeni ya urais. Ni mtihani mkubwa mno ulioko mbele ya CHADEMA. Kampeni inahitaji bilions of money kwa ajili ya logistics, misafara ya mgombea kuzunguka na waandishi wa habari, kununua airtime kwenye vyombo vya habari, kununua front pages za magazeti ili habari za mgombea ziandikwe na front pages ni gharama ya kufa mtu nk

Kupata pesa za kampeni ni challenge kubwa mno inayoikabili CHADEMA.
Tutachanga wapenda mabadiliko
 
Wanachama wa cdm ni wazungusha mikono na kushikiwa akili siku zote. Walikuwa wananaibiwa kwa kuchangishwa fedha za mafuta ya hedikopta, baadaye ikaja hiyo ya kupitia tigo. Wabunge tukawasikia juzi kati hapa wakilalamikia kukatwa mishahara yao kwa kushurutishwa na lazima. Hakuna hata mwenye kuthubutu kuomba kupewa maelezo ya jinsi fedha hizi zinatumika.

Mkt atakuja na mradi wake wa Fuso chakafu. Makumu mwenyekiti na bajeti yake ya kusimamia kesi mbalimbali za wanachama. Wajinga ndio wali wao huliwa kama ubwabwa.
Hedikopta ndo Helicopter??
 
Mtihani mkubwa mbele ya CHADEMA ni kupata pesa za kampeni za ugombea urais sababu chama hakina pesa na aliyependekezwa kugombea pesa hana.

Pesa nyingi mno huhitajika kwenye kampeni ya urais. Ni mtihani mkubwa mno ulioko mbele ya CHADEMA. Kampeni inahitaji bilions of money kwa ajili ya logistics, misafara ya mgombea kuzunguka na waandishi wa habari, kununua airtime kwenye vyombo vya habari, kununua front pages za magazeti ili habari za mgombea ziandikwe na front pages ni gharama ya kufa mtu nk

Kupata pesa za kampeni ni challenge kubwa mno inayoikabili CHADEMA.
Walewale waliotoa kuwalipia faini, ndio hao hao ( na zaidi )watakaolipia gharama zao za kugombea.

Amandla...
 
Sio leo tu tumeandika sana humu kuhusu hilo kuwa Chadema wawe makini sababu hatutaki mtu tu kuteuliwa kwa mihemka bila ku take into consideration reality ya mambo.

Kampeni ni kitu real na inahitaji pesa sio mihemko. Kura zimepigwa ki mihemko sasa real thing hiyo inakuja pesa za kampeni zitatoka wapi?

Naona unatamani iwe hivyo, hela za kampeni tutachanga, ccm ndio huwa wanahitaji hela nyingi maana hawakubaliki na watu, hivyo hujikuta wanahitaji pesa nyingi kwa ajili ya kutoa rushwa. Kama unakubalika na watu, unahitaji pesa kidogo tu kwenye kampeni. Mimi, mke wangu na watu wangu wa karibu tutachanga hela za kampeni. Pia wakati wa upigaji kura, tutajitolea kuwa mawakala bila kuhitaji hata shilingi moja ili kusimamia kura za cdm.
 
Kwani wananchi wanahitaji kuuza kura yao kwa pesa kwa mtu wanaemhitaji?
 
Kwani chama chetu pendwa pesa kinatoa wapi, maana sijawahi kuwaona wanafanya hata biashara ya ubuyu...au ni wazee wa makaratee.
 
Naona unatamani iwe hivyo, hela za kampeni tutachanga, ccm ndio huwa wanahitaji hela nyingi maana hawakubaliki na watu, hivyo hujikuta wanahitaji pesa nyingi kwa ajili ya kutoa rushwa. Kama unakubalika na watu, unahitaji pesa kidogo tu kwenye kampeni. Mimi, mke wangu na watu wangu wa karibu tutachanga hela za kampeni. Pia wakati wa upigaji kura, tutajitolea kuwa mawakala bila kuhitaji hata shilingi moja ili kusimamia kura za cdm.
Kwa Lissu nitachanga hata nilalie wali kuku sijali
 
Mtihani mkubwa mbele ya CHADEMA ni kupata pesa za kampeni za ugombea urais sababu chama hakina pesa na aliyependekezwa kugombea pesa hana.

Pesa nyingi mno huhitajika kwenye kampeni ya urais. Ni mtihani mkubwa mno ulioko mbele ya CHADEMA. Kampeni inahitaji bilions of money kwa ajili ya logistics, misafara ya mgombea kuzunguka na waandishi wa habari, kununua airtime kwenye vyombo vya habari, kununua front pages za magazeti ili habari za mgombea ziandikwe na front pages ni gharama ya kufa mtu nk

Kupata pesa za kampeni ni challenge kubwa mno inayoikabili CHADEMA.
Hiyo kazi ya kununua front page waachie ccm, lisu ni mtu wa kuwaprove wrong nyinyi mbogamboga

Kila kizingingiti yeye anapasua tu
 
Kampeni ni kitu real na inahitaji pesa sio mihemko. Kura zimepigwa ki mihemko sasa real thing hiyo inakuja pesa za kampeni zitatoka wapi?
hayakuhusu we za kampeni si unazo furahi basi si utashinda mbonaunasikitika au//////////
 
Back
Top Bottom