Wonderland Management
Senior Member
- May 28, 2014
- 132
- 94
Usisahau David Hezron Mwakyembe naye yupoMore updates
Nimeangalia majina ya Customs Officer II
Nimeona jina hili 'LENATHA SIVANGILWA MWANGESI' bila shaka atakuwa ni Mtoto wa Jaji Mwangesi ambaye ni Kamishna wa Maadili ya Viongozi wa Umma.
Nafasi 3 mpk hapo zimeshaenda out of 5.Usisahau David Hezron Mwakyembe naye yupo
Duh hii sasa hatari.Usisahau David Hezron Mwakyembe naye yupo
Sasa msumari mwingine kuna mjukuu wa jaji Lubuva naye yumo.Nafasi 3 mpk hapo zimeshaenda out of 5.
Wanyonge wanagombea nafasi 2 tu mpk hapo.
πππππ aisee ndo basi tena wanyonge hawana Lao mpk hapo.Sasa msumari mwingine kuna mjukuu wa jaji Lubuva naye yumo.
Mpaka sasa wanyonge 1 Connection 4πππππ aisee ndo basi tena wanyonge hawana Lao mpk hapo.
πππ Mwanangu hio chance 1 wanyonge tuwape au tuwapige 0 tu?Mpaka sasa wanyonge 1 Connection 4
Unajua shida kubwa ni kwamba private sectors ime athirika sana. Watoa ajira nyingi huwa ni hawa private sectors. Kuyumbishwa kwao kwa sababu kadhaa wa kadhaa kuna fanya wengi wategemee ajira kutoka serikalini, ambazo kiukweli huwaga si nyingi sana. Serikali wao ndio suluhisho la mwisho na sasa wana katisha vijana tamaa. Wenzetu wanao jua utumishi bora baada ya hii kuanzia mkurugenzi wa taasisi hii ungesha ona ame jiuzuru pamoja na waziri husika.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] aisee ndo basi tena wanyonge hawana Lao mpk hapo.
Duh Xavier amekaza fuvu mpk Sasa, yaani Kama vile hajaona kikichotokea,bongo ukiwa kiongozi inatakiwa usiwe na mshipa wa aibu tu.Yanatokea madudu unakaza tu kama vile hakuna kikichotokea.Unajua shida kubwa ni kwamba private sectors ime athirika sana. Watoa ajira nyingi huwa ni hawa private sectors. Kuyumbishwa kwao kwa sababu kadhaa wa kadhaa kuna fanya wengi wategemee ajira kutoka serikalini, ambazo kiukweli huwaga si nyingi sana. Serikali wao ndio suluhisho la mwisho na sasa wana katisha vijana tamaa. Wenzetu wanao jua utumishi bora baada ya hii kuanzia mkurugenzi wa taasisi hii ungesha ona ame jiuzuru pamoja na waziri husika.
Hapo lazma mtoto avuke chupi ππππ Mwanangu hio chance 1 wanyonge tuwape au tuwapige 0 tu?
Yawezekana ana njia nzuri ya kulitatua. Tusikose imani nae. Vijana wawe watulivu.Duh Xavier amekaza fuvu mpk Sasa, yaani Kama vile hajaona kikichotokea,bongo ukiwa kiongozi inatakiwa usiwe na mshipa wa aibu tu.Yanatokea madudu unakaza tu kama vile hakuna kikichotokea.
Uwajibikaji Ni zero.
Basi tutacheki tu mwenye booonge tako apewe tu mzee ππππHapo lazma mtoto avuke chupi π
Yani iwe pisi ya kwenda mzee! Lazma wana jopo wote tuichape kuniBasi tutacheki tu mwenye booonge tako apewe tu mzee ππππ
Labda mkuu,Ila kwa Sasa nitapumua kuombwa pesa ya kwenda Dom maana Madogo wenyewe wanaona aibu hata kuongelea mambo yaliyotokea huko.Yawezekana ana njia nzuri ya kulitatua. Tusikose imani nae. Vijana wawe watulivu.
Lazima hio mzee baba unadhani kupata check No. Ni mchezo,jasho la kwny meno litamtoka.Yani iwe pisi ya kwenda mzee! Lazma wana jopo wote tuichape kuni
Atakuwa ametokea chuo cha jalalaniUpdate
Nimeangalia majina ya Customs Officer II nimekuta jina hili 'JOHN PALAMAGAMBA KABUDI' Bila shaka ni Mtoto wa Waziri wa Katiba na Sheria.
Wanyonge kazi ipo.
D2znidnUnajua shida kubwa ni kwamba private sectors ime athirika sana. Watoa ajira nyingi huwa ni hawa private sectors. Kuyumbishwa kwao kwa sababu kadhaa wa kadhaa kuna fanya wengi wategemee ajira kutoka serikalini, ambazo kiukweli huwaga si nyingi sana. Serikali wao ndio suluhisho la mwisho na sasa wana katisha vijana tamaa. Wenzetu wanao jua utumishi bora baada ya hii kuanzia mkurugenzi wa taasisi hii ungesha ona ame jiuzuru pamoja na waziri husika.
πππππππMpaka sasa wanyonge 1 Connection 4
Kwa hiyo bado tu wanaendelea kuvujisha taarifa?Paper itarudiwa na itakuwa Dar. Taarifa rasmi zitakuja. Hizo ni chini ya kapeti....