Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi huyu ni mchungaji wa nn vile!!!??
MTIKILA huwa haeleweki, pia ni mtu anae penda sana kesi. Akikoswa kesi ama ya kushitaki au kushitakiwa huwa hana raha kama mlevi kukosa pombe. Kwa hili amekosea, unaposema wajumbe wa baraza la katiba ni wahuni na washenzi, unakuwa umemtukana pia rais alie wateua hawa watu.
Hivi huyu mtu ni mzima kweli?
Kama unamkubali Mtikila mwenye chama chenye usajili wa kudumu ingawa wanachama wote alionao hawafiki 150, basi unamatatizo makubwa.
Kama unamkubali Mtikila mwenye chama chenye usajili wa kudumu ingawa wanachama wote alionao hawafiki 150, basi unamatatizo makubwa.
Hivi huyu mtu ni mzima kweli?
Kama unamkubali Mtikila mwenye chama chenye usajili wa kudumu ingawa wanachama wote alionao hawafiki 150, basi unamatatizo makubwa.
Mchungaji anayo point ya msingi. Kwanza Tanganyika irudi ndipo katiba ya JMT itafutwe.Mtikila ni kichwa. Ukimsikiliza kwa makini jamaa huwa ana hoja na misimamo isiyoyumba.
Katika kesi zake zote ambazo amewahi kuishtaki JAMHURI Mahakamani kupinga baadhi ya sheria za kihuni ikiwemo ya mgombea binafsi hajawahi kushindwa. Fuatilia utakubaliana na ukweli huo.
Katika hili la kuhusu KATIBA MPYA na BUNGE LAKE bado Mtikila anaonekana kuwa na hoja ya msingi. Ameshasema kuwa yeye anaenda kufumua Bunge hili na kubatilisha uhuni wote kwa kutaka Tanganyika iundwe kwanza ndipo Katiba ya JMT ishughulikiwe. Kama Bunge hili litakataa hoja yake ameapa kwenda kwenye Mahakama ya kimataifa kudai haki ya Watanganyika.
Chezea Mtikila wewe!!
Kama kawaida yenu vijana wa ccm kwa kurupuka bila hata kutumia akili, yeye kasema anamkubali mtikila na sio chama,, shiiit mbona mnakuwa na vichwa nazi jamani???. Hata kama ni wazito kuelewa ila sasa mnavuka mipaka ya wazito kuelewa..
asante mkuu wabongo ndo tulivyo