Mtikila: Kagame amepenyeza Wanyarwanda 35,000 Tanzania, Burigi, katika Wilaya ya Muleba

Nimegundua humu wengi wako usalama mtu wa kawaida huwez jua haya yoote sasa kwann serikal inawaacha tu naskia pia wapo na wakenya wana vyeo
 
Hii story ndo inasemekana ilisababisha kifo cha Mtikila.
 
Kumbe Mtikira alikuwa wa moto sana
 
nimezisoma hizi nondo, ingependeza sana kama zingefanyiwa editing ziwe na mtiririko mzuri

Hakuna Tiss Mnyarwanda..
 
Ulitabiri kifo chake cha Mtikila.
 
Huu pia ni ukweli kama ukweli mwingine
 
Hivi mtikila ndo Yule alifariki kwenye Ajali?..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…