Mtikila: Kagame amepenyeza Wanyarwanda 35,000 Tanzania, Burigi, katika Wilaya ya Muleba

MENGINE YANA UKWELI NA MENGINE NI CHUKU TUUU YA WATUTSI, Me naona Kagame na Mseveni wanaiba kivyaoo ila kuhusisha sijui na serukama mara sijui nani hizo ni chuki za ziada!

Inamaana hata humu JF kuna hao Watutsi wakiwa na id za U-tz?
 
nauhakika serikali ina taarifa hizi, tufike mahali hata kama tunatofauti zetu za ndani,lakini suala la usalama wa taifa letu liwe la pamoja .Serikali iache mzaha ifuatilie suala hili na kulifanyia kazi kabla halijawa tatizo kama lilivyo la malawi sasa
 
Ukweli wa haya unathibitishwa na hatua ya Serikali ya Tanzania kuchagua kuwapa WATUTSI uraia wa tajnisi mwaka 1981 na kuwanyima WAHUTU licha ya kwamba wote hao walikuwepo nchini katika makambi mbalimbali ya wakimbizi. Mkakati wa kuanzishwa kwa dola ya WATUTSI au HIMA Empire upo tena ni wa muda mrefu.
 

Ninadhani TISS ilishawahi kuwa na mkurugenzi mmoja mwenye origin ya huko sina hakika sana......Cheki your profiles you will find out!
 

Dhambi ya ubaguzi itatumaliza jamani
 
na hata police kuna kiongozi wa ngazi ya juu ni mrwanda na anafanya kazi ya kuingiza warwanda wenzie police!
 

Tatizo hapa ni watanzania kukosa uzalendo,na tunawapa nafasi hata wajinga kama wewe kuchangia ujinga wako ndani ya nafsi zetu tena kwa kebehi.


Ebu nenda kigali halafu uliza chumba cha kulala guest house kama hutapokewa kwa kuitwa mnyamahanga.
Wewe unatuambia habari ya watanzania kuwekeza nje au kuishi nje ya nchi.

*Je? Wanaishi na mifugo kwenye mapori au wanaishi kwa kufuata sheria za nchi husika?
*wewe unajua maana ya wivu? Au wewe nae ndio walewale unaandika kutoka msituni
*kwa kuyaona yote haya ndio maana tunauchungu na serikali iliyoko madarakani,kwani inashirikiana na waporaji wa maliasili yetu kutuibia

rev, mtikila tunamheshimu kwani ni mtu mahili anayeujua uchungu wa nchi yake na ameibwaga mahakamani
Serikali hii mara kadhaa,hivyo sai mtu wa kupuuzwa.[/QUOTE]

Mnyarwanda at work
 

Maneno ya Mtikila,ni maneno mazito na kwetu kama taifa tunalazimika kuyaelewa na kuyatendea kazi.Naamini huyu mchungaji amefanya utafiti wa kutosha na kwamba taarifa hizi lazima zifanyiwe kazi kwa umakini wa hali ya juu.Duniani kote watu makini wakitaka kutawala mahali huwa hawana papala na ndiyo maana watajwa kwenye taarifa hawajali kama ndoto yao itatimia baada ya miaka mingapi.
Tanzania tuna hazina kubwa ya watu makini sielewi kwa nini hatubadiliki.Labda shida ni CCM.
 
kuna jamaa nawajua kitaa ila walishazamia tz kitambo ni wanyarwanda na huyu boss anakaa kota za kurasini ukiwa unaingia shimo kuna kota ka tatu mojawapo anaishi huyo kigogo lakini asili yake ni mrwanda!
 

hongera mchungaji kwa kuyaweka wazi haya... jiandae tu kusukumwa kisutu na serekali sikivu ya JMT kwa kueneza uchochezi....

nasikia wamekamata hata pale UD, watusi wanawashughulikia wahutu....

kulikuwa na yule bosi wa scopo? baadae sijui kawa mbunge ntukamanini sijui?? na hata katibu mkuu mstaafu wa utumishi naye anasemwa kuwa ni hao hao.....amekuwa akikazana sana kuwasukuma sehemu nyeti mawizarani,,,,

cha ajabu ni kuwa hata hawa tuliokuwa nao university wakimaliza tu huitwa nyumbani na kupewa ajira...lol!! cha ajabu nao wanalamba mkopo wa loan board...

kariakoo karibu na bilal hotel kuna club inaitwa concorde..... wanajazana sana pale usiku.....

anyway, historically, tanzania has been nchi ya mafala!!! peole who do not own it! sorry to say so!!
 
Rev. ni kiboko. Kwa wale vijana wa zamani mtakumbuka kuwa yale maji matakatifu ya Ilala yalivyowahi kupewa jina la Rev.

Kuhusu hoja yake, mimi naona ni heri kabisa kuwa chini ya himaya ya Watutsi yenye kuleta maisha bora kuliko hii himaya ya njaa kaya kwetu.
 
Hata marekani hufanya hivi dunian kote. Wanaenda kwa kila sura, kama wahubiri, wataalam washauri, mashirika ya misaada au hata kazi za kujitolea. Wachina hali kadhalika wamefika hadi bongo kwa sura tofauti tofauti hadi kama machinga. Watanganyika sisi tunakalia politic bila kuangalia maslahi yetu kama nchi. Sasa balaa linalotukabili ni kubwa kuliko tunavyodhani. Mashariki Zenji wanataka nchi yao, kusini Malawi wanataka wanataka Kyela, Ludewa na Mbinga, haya magharibi Uganda na Rwanda wanataka Kagera na Kigoma. Baadaye utasikia wamasai na wkurya/wajaluo wanataka kujoin ndugu zao. Mtikila ameweka changamoto kwa wananchi na vyombo husika na lazima kuwa makini kuilinda nchi yetu. Badala ya kumpuuza ni vema taarifa hizi zikafanyiwa kazi kwa umakini mkubwa.
 
:becky::becky:na hao wahaya wa mipakani ni kama ngombe wa zanzibar.......wangekuwa kule kwa kina mangi kingeelewweka wasingepenya hata kidogo.................................change ni wewe huko huko wakomae wanajilegeza sana watu wa pande hizo sijui ni kuendekeza ngono na kujigamba au....
 
Mkuu weka jina maana hii post ni nyeti kwa usalama wa taifa

alikuwepo mtusi mkuu wa kituo isaka -kahama kipindi fulani................inawezekana wapo wengi jeshini kwa nini tu wahutu ndio wanaorudishwa kwao ilihali watusi wako wengi tu pande hizi washakuwa wa humu humu......e.g enjoy lam (WFP-isaka)benthes lam (kakola gold mining)
 
mtikila aliwahi kusema katibu mkuu wa sasa wa nccr mageuzi sam ruhuza anaandaa jeshi la uasi kwa msaada wa kagame na kwamba eti sam amekua akikutana na kagame mara kwa mara! bahati nzuri sam ni mshkaji wangu sana tu na wala huyo kagame hajawahi hata kukutana nae na wala hamjui zaidi ya kumuona kwenye luninga tu,hiyo ilikua 1995!

Ila this time amegusa pabaya,amemgusa kagame,tusubiri kuona akigongwa na gari au akivamiwa na majambazi wasiojulikana na kuuwawa
 

Ninakuunga mkono asilimia 100% ndugu yangu...mtikila amezoeleka na ninaona chanzo chake ni kanisa hilo la Butera....sisi ni ndugu na kama mtikila anahubili huo uongo ninashangaa kama kweli ni mcungaji .....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…