Ryaro wa Ryaro
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 2,659
- 1,430
Tupo pamoja...heshima ni muhimu sana.Tumemsahidia Kuwashitaki na kutafuta haki kwa Kuwafunga Wahutu pale UNICTR, leo hii analeta Kidume. Basi twende Kazini...ninao uhakika hilo jeshi lake la Polini ( Wanyamlenge) si lolote wala chochote tofauti na Kuvuta bangi na Kubaka wakongomani huko Kivu..