Mtindo wa kuita miundombinu majina ya watu binafsi pamoja na maraisi ukomeshwe, unaleta kutukuza watu isivyostahili wanapotimiza wajibu wao

Mtindo wa kuita miundombinu majina ya watu binafsi pamoja na maraisi ukomeshwe, unaleta kutukuza watu isivyostahili wanapotimiza wajibu wao

Ameshapata stendi tayari
Magufuli alikaa madarakani kwa miaka 5 tu ila ana karibia vitu 10 tayari vina majina yake

Kuna daraja linaitwa Magufuli huko Morogoro, Stendi ya Magufuli, kuna mji wa Serikali unaitwa Magufuli City, Hosteli za Magufuli, kuns kivuko cha Busisi nacho wanakiita Magufuli
 
Tulimlazimisha Ni wingi,

Yawezekana haujui kiswahili vizuri
Na lengo hapo lilikuwa katika wingi kwa kuwa mimi siteui maraisi. Naweza kuwa sijui kiswahili lakini wewe huna lojiki kutaka niseme kwani nilimlazimisha badala ya kwani tulimlazimisha Magufuli kuwa raisi.
 
Na lengo hapo lilikuwa katika wingi kwa kuwa mimi siteui maraisi. Naweza kuwa sijui kiswahili lakini wewe huna lojiki kutaka niseme kwani nilimlazimisha badala ya kwani tulimlazimisha Magufuli kuwa raisi.
Lojiki ndo nini kwanza?
Kiswahili hujui , kiingereza hujui.
Ongea kilugha nitakuelewa
 
Nachukia sana hili suala la kuiita miundombinu kwa majina ya watu binafsi, kama maraisi au watu wengine wanasiasa na wengineo. Kinachoniudhi zaidi ni kwamba mapendekezo ya majina haya mara nyingi hufanywa na watu ambao wana ajenda ya kujipendeke kwa raisi au wengineo.

Sikatai kwamba hawa watu, kwa mfano maraisi, wanakuwa wamesimamia vizuri mambo fulani. Lakini tujiulize, hivi kuna raisi au kiongozi yeyote ambae anasimamia hayo mambo kwa utashi wake, au anayafanya kama wajibu wake kwa kutumia kodi na tozo zinazolipwa na wananchi?

Tuchukue kwa mfano Mfugale Flyover, ambayo ilipewa jina la Mfugale kwa sababu wakati huo alikuwa ndio Mkurugenzi wa TANROADS. Sawa alifanya kazi nzuri, labda ni kweli, maana ndivyo alivyosema Magufuli, lakini nani alikuambia hakuna Mkurugenzi wa TANROADS atakae kuja kufanya kazi nzuri zaidi ya Mfugale? Kwa nini tuiite hii flyover jina la Mfugale kama vile yeye ndio amevunja rekodi ya Tanzania ya wakurugenzi bora wa TANROADS na hakuna atakaetokea kuwa bora zaidi yake?

Hivyo hivyo kwa maraisi. Mwinyi kile sijui, Mkapa hiki sijui, Kikwete hapa, Magufuli pale sijui, na sasa watu wanaanza kupendekeza Samia nini sijui. Kwa nini? Kwani hawa watu wanafanya hizi kazi kwa utashi wao au wajibu wao? Wanatumia fedha zao toka mfukoni au fedha zetu za kodi na tozo? Kwa nini tuwatukuze kwa kutimiza wajibu wao kwa kutumia kodi na tozo zetu?

Hili jambo liwekwe wazi, kwamba majina ya miundombinu ambayo tutayaacha ni ya Nyerere na Karume tu, waasisi wa Tanzania. Na ndio maana tulikubaliana kuwa hakuna picha ya raisi mwingine itawekwa kwenye fedha. Na iwe hivyo kwa miundombinu pia. Tuache hii tabia ya kujipendekeza kwa viongozi.

Tunaondoa majina yenye umaana mkubwa kihistoria kwa sababu tunataka kujipendekeza kwa raisi aliyeko madarakani. Kwa mfano daraja la Wami. Nani anajua historia ya jina Wami hadi tuamue halitufai na labda tuliite daraja la Samia?

Nakusihi Samia usikubali huu ujinga wa kutukuzwa, kama kweli kazi unayofanya kama raisi unaiona kama wajibu wako na sio favor unayotufanyia Watanzania. Kama Samia unataka tuite kitu kwa jina lako, labda basi jitolee fedha zako kukijenga ili tukuenzi, lakini sio utimize wajibu wako kama raisi, utumie kodi na tozo tunazolipa kwa maumivu makubwa, halafu mwishowe tukiite kitu fulani ulichosimamia kwa jina lako.

Na pia ninapendekeza kwamba majina ya miundo mbinu iliyopewa viongozi zaidi ya Nyerere na Karume yabadilishwe mara moja!

Tuondokane na huku kujipendekeza kwa kuwatukuza watu, wanadamu kama sisi. Kwanza inawakatisha tamaa watu ambao wanachapa kazi zaidi hata ya raisi, the unsung heroes, wao watatukuzwaje?
Toa huu uchafu wako,inakuuma daraja la Wami likipewa jina la Samia mnafiki mkubwa wewe,hujui itachukua miaka mingi Sana Tanzania Kuja kupata Rais mwanamke
 
Magufuli alikaa madarakani kwa miaka 5 tu ila ana karibia vitu 10 tayari vina majina yake

Kuna daraja linaitwa Magufuli huko Morogoro, Stendi ya Magufuli, kuna mji wa Serikali unaitwa Magufuli City, kuns kivuko cha Busisi nacho wanakiita Magufuli
Alikuwa mbinafsi yule Ngosha
 
Utaratibu uliokuwepo hapo awali, ulikuwa na wa kuita majina ya waliofariki, baadaye waka adjust wakaleta kwenye kuita walio staafu, akaja bwana mmoja aka adjust na kuita majina ya watu ambao bado ni active kwenye ofisi za umma!
Hapa ndipo mtafaruku ulipoanzia...
 
Upumbavu wa machawa huo. Mtu anatimiza wajibu wa kikatiba sifa za kijinga anapewa za machawa.
Samia scholarships sijui vitu gani
 
Utaratibu uliokuwepo hapo awali, ulikuwa na wa kuita majina ya waliofariki, baadaye waka adjust wakaleta kwenye kuita walio staafu, akaja bwana mmoja aka adjust na kuita majina ya watu ambao bado ni active kwenye ofisi za umma!
Hapa ndipo mtafaruku ulipoanzia...
Nadhani tukomeshe kabisa mambo ya kuenzi watu kwa majina ya miundombinu, maana inakuwa kama tunasema hatatokeza mtu mwingine bora kama huyu. Na pia sio fair kwani wapo wengi ambao wanafanya makubwa lakini majina yao hayafiki popote, na orodha yao ni ndefu.
 
Nachukia sana hili suala la kuiita miundombinu kwa majina ya watu binafsi, kama maraisi au watu wengine wanasiasa na wengineo. Kinachoniudhi zaidi ni kwamba mapendekezo ya majina haya mara nyingi hufanywa na watu ambao wana ajenda ya kujipendeke kwa raisi au wengineo.

Sikatai kwamba hawa watu, kwa mfano maraisi, wanakuwa wamesimamia vizuri mambo fulani. Lakini tujiulize, hivi kuna raisi au kiongozi yeyote ambae anasimamia hayo mambo kwa utashi wake, au anayafanya kama wajibu wake kwa kutumia kodi na tozo zinazolipwa na wananchi?

Tuchukue kwa mfano Mfugale Flyover, ambayo ilipewa jina la Mfugale kwa sababu wakati huo alikuwa ndio Mkurugenzi wa TANROADS. Sawa alifanya kazi nzuri, labda ni kweli, maana ndivyo alivyosema Magufuli, lakini nani alikuambia hakuna Mkurugenzi wa TANROADS atakae kuja kufanya kazi nzuri zaidi ya Mfugale? Kwa nini tuiite hii flyover jina la Mfugale kama vile yeye ndio amevunja rekodi ya Tanzania ya wakurugenzi bora wa TANROADS na hakuna atakaetokea kuwa bora zaidi yake?

Hivyo hivyo kwa maraisi. Mwinyi kile sijui, Mkapa hiki sijui, Kikwete hapa, Magufuli pale sijui, na sasa watu wanaanza kupendekeza Samia nini sijui. Kwa nini? Kwani hawa watu wanafanya hizi kazi kwa utashi wao au wajibu wao? Wanatumia fedha zao toka mfukoni au fedha zetu za kodi na tozo? Kwa nini tuwatukuze kwa kutimiza wajibu wao kwa kutumia kodi na tozo zetu?

Hili jambo liwekwe wazi, kwamba majina ya miundombinu ambayo tutayaacha ni ya Nyerere na Karume tu, waasisi wa Tanzania. Na ndio maana tulikubaliana kuwa hakuna picha ya raisi mwingine itawekwa kwenye fedha. Na iwe hivyo kwa miundombinu pia. Tuache hii tabia ya kujipendekeza kwa viongozi.

Tunaondoa majina yenye umaana mkubwa kihistoria kwa sababu tunataka kujipendekeza kwa raisi aliyeko madarakani. Kwa mfano daraja la Wami. Nani anajua historia ya jina Wami hadi tuamue halitufai na labda tuliite daraja la Samia?

Nakusihi Samia usikubali huu ujinga wa kutukuzwa, kama kweli kazi unayofanya kama raisi unaiona kama wajibu wako na sio favor unayotufanyia Watanzania. Kama Samia unataka tuite kitu kwa jina lako, labda basi jitolee fedha zako kukijenga ili tukuenzi, lakini sio utimize wajibu wako kama raisi, utumie kodi na tozo tunazolipa kwa maumivu makubwa, halafu mwishowe tukiite kitu fulani ulichosimamia kwa jina lako.

Na pia ninapendekeza kwamba majina ya miundo mbinu iliyopewa viongozi zaidi ya Nyerere na Karume yabadilishwe mara moja!

Tuondokane na huku kujipendekeza kwa kuwatukuza watu, wanadamu kama sisi. Kwanza inawakatisha tamaa watu ambao wanachapa kazi zaidi hata ya raisi, the unsung heroes, wao watatukuzwaje?
Mama Samia hoyeeeee....[emoji23][emoji23][emoji23]kidumu chama cha mapinduzi CCM for life[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241]
 
Mama Samia hoyeeeee....[emoji23][emoji23][emoji23]kidumu chama cha mapinduzi CCM for life[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241]
Mkuu, The Kick zimerudi nini? Najua Bingwa zipo, ila sio mbaya kiasi hicho 🙂

1665409223521.png
 
Imagine, eti Shule ya Msingi Ally Hapi.

Shule ya Msingi Jokate Neegelo.

Magufo..pool alikuwa na mihemko ya kijuha kmmmke
 
Imagine, eti Shule ya Msingi Ally Hapi.

Shule ya Msingi Jokate Neegelo.

Magufo..pool alikuwa na mihemko ya kijuha kmmmke
Nasikia Tulia ana mpango wa kumrithi Samia. Akiwa Raisi usishangae watu kupendekeza Ziwa Victoria libadilishwe jina liitwe Lake Dr. Tulia!

Imbombo ilipo pijo na lori na mafikifiki!
 
Nachukia sana hili suala la kuiita miundombinu kwa majina ya watu binafsi, kama maraisi au watu wengine wanasiasa na wengineo. Kinachoniudhi zaidi ni kwamba mapendekezo ya majina haya mara nyingi hufanywa na watu ambao wana ajenda ya kujipendeke kwa raisi au wengineo.

Sikatai kwamba hawa watu, kwa mfano maraisi, wanakuwa wamesimamia vizuri mambo fulani. Lakini tujiulize, hivi kuna raisi au kiongozi yeyote ambae anasimamia hayo mambo kwa utashi wake, au anayafanya kama wajibu wake kwa kutumia kodi na tozo zinazolipwa na wananchi?

Tuchukue kwa mfano Mfugale Flyover, ambayo ilipewa jina la Mfugale kwa sababu wakati huo alikuwa ndio Mkurugenzi wa TANROADS. Sawa alifanya kazi nzuri, labda ni kweli, maana ndivyo alivyosema Magufuli, lakini nani alikuambia hakuna Mkurugenzi wa TANROADS atakae kuja kufanya kazi nzuri zaidi ya Mfugale? Kwa nini tuiite hii flyover jina la Mfugale kama vile yeye ndio amevunja rekodi ya Tanzania ya wakurugenzi bora wa TANROADS na hakuna atakaetokea kuwa bora zaidi yake?

Hivyo hivyo kwa maraisi. Mwinyi kile sijui, Mkapa hiki sijui, Kikwete hapa, Magufuli pale sijui, na sasa watu wanaanza kupendekeza Samia nini sijui. Kwa nini? Kwani hawa watu wanafanya hizi kazi kwa utashi wao au wajibu wao? Wanatumia fedha zao toka mfukoni au fedha zetu za kodi na tozo? Kwa nini tuwatukuze kwa kutimiza wajibu wao kwa kutumia kodi na tozo zetu?

Hili jambo liwekwe wazi, kwamba majina ya miundombinu ambayo tutayaacha ni ya Nyerere na Karume tu, waasisi wa Tanzania. Na ndio maana tulikubaliana kuwa hakuna picha ya raisi mwingine itawekwa kwenye fedha. Na iwe hivyo kwa miundombinu pia. Tuache hii tabia ya kujipendekeza kwa viongozi.

Tunaondoa majina yenye umaana mkubwa kihistoria kwa sababu tunataka kujipendekeza kwa raisi aliyeko madarakani. Kwa mfano daraja la Wami. Nani anajua historia ya jina Wami hadi tuamue halitufai na labda tuliite daraja la Samia?

Nakusihi Samia usikubali huu ujinga wa kutukuzwa, kama kweli kazi unayofanya kama raisi unaiona kama wajibu wako wa kikatiba na sio favor unayotufanyia Watanzania. Kama Samia unataka tuite kitu kwa jina lako, labda basi jitolee fedha zako kukijenga ili tukuenzi, lakini sio utimize wajibu wako kama raisi, utumie kodi na tozo tunazolipa kwa maumivu makubwa, halafu mwishowe tukiite kitu fulani ulichosimamia kwa jina lako.

Na pia ninapendekeza kwamba majina ya miundo mbinu iliyopewa viongozi zaidi ya Nyerere na Karume yabadilishwe mara moja!

Tuondokane na huku kujipendekeza kwa kuwatukuza watu, wanadamu kama sisi. Kwanza inawakatisha tamaa watu ambao wanachapa kazi zaidi hata ya raisi, the unsung heroes, wao watatukuzwaje?
Baraka zake Mungu baba mwenyezi, Baba, Mwana na Roho mtakatifu, zikae nawe mleta mada daima na milele. Amina.
 
Back
Top Bottom