mack255
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 551
- 1,230
Tulimlazimisha Ni wingi,Kwani tulimlazimisha awe raisi? Na hizo fedha alizitoa wapi, mfukoni mwake
Yawezekana haujui kiswahili vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulimlazimisha Ni wingi,Kwani tulimlazimisha awe raisi? Na hizo fedha alizitoa wapi, mfukoni mwake
Magufuli alikaa madarakani kwa miaka 5 tu ila ana karibia vitu 10 tayari vina majina yakeAmeshapata stendi tayari
Unatumia wifi ya Chama Nini?Labda alama kwa wasukuma!
Na lengo hapo lilikuwa katika wingi kwa kuwa mimi siteui maraisi. Naweza kuwa sijui kiswahili lakini wewe huna lojiki kutaka niseme kwani nilimlazimisha badala ya kwani tulimlazimisha Magufuli kuwa raisi.Tulimlazimisha Ni wingi,
Yawezekana haujui kiswahili vizuri
Lojiki ndo nini kwanza?Na lengo hapo lilikuwa katika wingi kwa kuwa mimi siteui maraisi. Naweza kuwa sijui kiswahili lakini wewe huna lojiki kutaka niseme kwani nilimlazimisha badala ya kwani tulimlazimisha Magufuli kuwa raisi.
Basi hao waarabu watafute kitu na kukiita jina lake labda, maana aliinua uchumi wao kama kweli aliuza wananchi kuwa watumwa. Lugalo Barracks inatutosha.Mkwawa aliuza watumwa kwa waarabu
Toa huu uchafu wako,inakuuma daraja la Wami likipewa jina la Samia mnafiki mkubwa wewe,hujui itachukua miaka mingi Sana Tanzania Kuja kupata Rais mwanamkeNachukia sana hili suala la kuiita miundombinu kwa majina ya watu binafsi, kama maraisi au watu wengine wanasiasa na wengineo. Kinachoniudhi zaidi ni kwamba mapendekezo ya majina haya mara nyingi hufanywa na watu ambao wana ajenda ya kujipendeke kwa raisi au wengineo.
Sikatai kwamba hawa watu, kwa mfano maraisi, wanakuwa wamesimamia vizuri mambo fulani. Lakini tujiulize, hivi kuna raisi au kiongozi yeyote ambae anasimamia hayo mambo kwa utashi wake, au anayafanya kama wajibu wake kwa kutumia kodi na tozo zinazolipwa na wananchi?
Tuchukue kwa mfano Mfugale Flyover, ambayo ilipewa jina la Mfugale kwa sababu wakati huo alikuwa ndio Mkurugenzi wa TANROADS. Sawa alifanya kazi nzuri, labda ni kweli, maana ndivyo alivyosema Magufuli, lakini nani alikuambia hakuna Mkurugenzi wa TANROADS atakae kuja kufanya kazi nzuri zaidi ya Mfugale? Kwa nini tuiite hii flyover jina la Mfugale kama vile yeye ndio amevunja rekodi ya Tanzania ya wakurugenzi bora wa TANROADS na hakuna atakaetokea kuwa bora zaidi yake?
Hivyo hivyo kwa maraisi. Mwinyi kile sijui, Mkapa hiki sijui, Kikwete hapa, Magufuli pale sijui, na sasa watu wanaanza kupendekeza Samia nini sijui. Kwa nini? Kwani hawa watu wanafanya hizi kazi kwa utashi wao au wajibu wao? Wanatumia fedha zao toka mfukoni au fedha zetu za kodi na tozo? Kwa nini tuwatukuze kwa kutimiza wajibu wao kwa kutumia kodi na tozo zetu?
Hili jambo liwekwe wazi, kwamba majina ya miundombinu ambayo tutayaacha ni ya Nyerere na Karume tu, waasisi wa Tanzania. Na ndio maana tulikubaliana kuwa hakuna picha ya raisi mwingine itawekwa kwenye fedha. Na iwe hivyo kwa miundombinu pia. Tuache hii tabia ya kujipendekeza kwa viongozi.
Tunaondoa majina yenye umaana mkubwa kihistoria kwa sababu tunataka kujipendekeza kwa raisi aliyeko madarakani. Kwa mfano daraja la Wami. Nani anajua historia ya jina Wami hadi tuamue halitufai na labda tuliite daraja la Samia?
Nakusihi Samia usikubali huu ujinga wa kutukuzwa, kama kweli kazi unayofanya kama raisi unaiona kama wajibu wako na sio favor unayotufanyia Watanzania. Kama Samia unataka tuite kitu kwa jina lako, labda basi jitolee fedha zako kukijenga ili tukuenzi, lakini sio utimize wajibu wako kama raisi, utumie kodi na tozo tunazolipa kwa maumivu makubwa, halafu mwishowe tukiite kitu fulani ulichosimamia kwa jina lako.
Na pia ninapendekeza kwamba majina ya miundo mbinu iliyopewa viongozi zaidi ya Nyerere na Karume yabadilishwe mara moja!
Tuondokane na huku kujipendekeza kwa kuwatukuza watu, wanadamu kama sisi. Kwanza inawakatisha tamaa watu ambao wanachapa kazi zaidi hata ya raisi, the unsung heroes, wao watatukuzwaje?
Role model ya udikteta labdaMagufuli ana kila haki ya Jina lake kubaki alama kwenye hii nchi.
Hapo ndipo vijana wanapata role model
Alikuwa mbinafsi yule NgoshaMagufuli alikaa madarakani kwa miaka 5 tu ila ana karibia vitu 10 tayari vina majina yake
Kuna daraja linaitwa Magufuli huko Morogoro, Stendi ya Magufuli, kuna mji wa Serikali unaitwa Magufuli City, kuns kivuko cha Busisi nacho wanakiita Magufuli
Ulofa tu umewajaa wote wale wanaopendekeza majina ya viongozi kwenye miundo mbinuInakera kweli
Nadhani tukomeshe kabisa mambo ya kuenzi watu kwa majina ya miundombinu, maana inakuwa kama tunasema hatatokeza mtu mwingine bora kama huyu. Na pia sio fair kwani wapo wengi ambao wanafanya makubwa lakini majina yao hayafiki popote, na orodha yao ni ndefu.Utaratibu uliokuwepo hapo awali, ulikuwa na wa kuita majina ya waliofariki, baadaye waka adjust wakaleta kwenye kuita walio staafu, akaja bwana mmoja aka adjust na kuita majina ya watu ambao bado ni active kwenye ofisi za umma!
Hapa ndipo mtafaruku ulipoanzia...
Mama Samia hoyeeeee....[emoji23][emoji23][emoji23]kidumu chama cha mapinduzi CCM for life[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241]Nachukia sana hili suala la kuiita miundombinu kwa majina ya watu binafsi, kama maraisi au watu wengine wanasiasa na wengineo. Kinachoniudhi zaidi ni kwamba mapendekezo ya majina haya mara nyingi hufanywa na watu ambao wana ajenda ya kujipendeke kwa raisi au wengineo.
Sikatai kwamba hawa watu, kwa mfano maraisi, wanakuwa wamesimamia vizuri mambo fulani. Lakini tujiulize, hivi kuna raisi au kiongozi yeyote ambae anasimamia hayo mambo kwa utashi wake, au anayafanya kama wajibu wake kwa kutumia kodi na tozo zinazolipwa na wananchi?
Tuchukue kwa mfano Mfugale Flyover, ambayo ilipewa jina la Mfugale kwa sababu wakati huo alikuwa ndio Mkurugenzi wa TANROADS. Sawa alifanya kazi nzuri, labda ni kweli, maana ndivyo alivyosema Magufuli, lakini nani alikuambia hakuna Mkurugenzi wa TANROADS atakae kuja kufanya kazi nzuri zaidi ya Mfugale? Kwa nini tuiite hii flyover jina la Mfugale kama vile yeye ndio amevunja rekodi ya Tanzania ya wakurugenzi bora wa TANROADS na hakuna atakaetokea kuwa bora zaidi yake?
Hivyo hivyo kwa maraisi. Mwinyi kile sijui, Mkapa hiki sijui, Kikwete hapa, Magufuli pale sijui, na sasa watu wanaanza kupendekeza Samia nini sijui. Kwa nini? Kwani hawa watu wanafanya hizi kazi kwa utashi wao au wajibu wao? Wanatumia fedha zao toka mfukoni au fedha zetu za kodi na tozo? Kwa nini tuwatukuze kwa kutimiza wajibu wao kwa kutumia kodi na tozo zetu?
Hili jambo liwekwe wazi, kwamba majina ya miundombinu ambayo tutayaacha ni ya Nyerere na Karume tu, waasisi wa Tanzania. Na ndio maana tulikubaliana kuwa hakuna picha ya raisi mwingine itawekwa kwenye fedha. Na iwe hivyo kwa miundombinu pia. Tuache hii tabia ya kujipendekeza kwa viongozi.
Tunaondoa majina yenye umaana mkubwa kihistoria kwa sababu tunataka kujipendekeza kwa raisi aliyeko madarakani. Kwa mfano daraja la Wami. Nani anajua historia ya jina Wami hadi tuamue halitufai na labda tuliite daraja la Samia?
Nakusihi Samia usikubali huu ujinga wa kutukuzwa, kama kweli kazi unayofanya kama raisi unaiona kama wajibu wako na sio favor unayotufanyia Watanzania. Kama Samia unataka tuite kitu kwa jina lako, labda basi jitolee fedha zako kukijenga ili tukuenzi, lakini sio utimize wajibu wako kama raisi, utumie kodi na tozo tunazolipa kwa maumivu makubwa, halafu mwishowe tukiite kitu fulani ulichosimamia kwa jina lako.
Na pia ninapendekeza kwamba majina ya miundo mbinu iliyopewa viongozi zaidi ya Nyerere na Karume yabadilishwe mara moja!
Tuondokane na huku kujipendekeza kwa kuwatukuza watu, wanadamu kama sisi. Kwanza inawakatisha tamaa watu ambao wanachapa kazi zaidi hata ya raisi, the unsung heroes, wao watatukuzwaje?
Mkuu, The Kick zimerudi nini? Najua Bingwa zipo, ila sio mbaya kiasi hicho 🙂Mama Samia hoyeeeee....[emoji23][emoji23][emoji23]kidumu chama cha mapinduzi CCM for life[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241]
Nasikia Tulia ana mpango wa kumrithi Samia. Akiwa Raisi usishangae watu kupendekeza Ziwa Victoria libadilishwe jina liitwe Lake Dr. Tulia!Imagine, eti Shule ya Msingi Ally Hapi.
Shule ya Msingi Jokate Neegelo.
Magufo..pool alikuwa na mihemko ya kijuha kmmmke
Baraka zake Mungu baba mwenyezi, Baba, Mwana na Roho mtakatifu, zikae nawe mleta mada daima na milele. Amina.Nachukia sana hili suala la kuiita miundombinu kwa majina ya watu binafsi, kama maraisi au watu wengine wanasiasa na wengineo. Kinachoniudhi zaidi ni kwamba mapendekezo ya majina haya mara nyingi hufanywa na watu ambao wana ajenda ya kujipendeke kwa raisi au wengineo.
Sikatai kwamba hawa watu, kwa mfano maraisi, wanakuwa wamesimamia vizuri mambo fulani. Lakini tujiulize, hivi kuna raisi au kiongozi yeyote ambae anasimamia hayo mambo kwa utashi wake, au anayafanya kama wajibu wake kwa kutumia kodi na tozo zinazolipwa na wananchi?
Tuchukue kwa mfano Mfugale Flyover, ambayo ilipewa jina la Mfugale kwa sababu wakati huo alikuwa ndio Mkurugenzi wa TANROADS. Sawa alifanya kazi nzuri, labda ni kweli, maana ndivyo alivyosema Magufuli, lakini nani alikuambia hakuna Mkurugenzi wa TANROADS atakae kuja kufanya kazi nzuri zaidi ya Mfugale? Kwa nini tuiite hii flyover jina la Mfugale kama vile yeye ndio amevunja rekodi ya Tanzania ya wakurugenzi bora wa TANROADS na hakuna atakaetokea kuwa bora zaidi yake?
Hivyo hivyo kwa maraisi. Mwinyi kile sijui, Mkapa hiki sijui, Kikwete hapa, Magufuli pale sijui, na sasa watu wanaanza kupendekeza Samia nini sijui. Kwa nini? Kwani hawa watu wanafanya hizi kazi kwa utashi wao au wajibu wao? Wanatumia fedha zao toka mfukoni au fedha zetu za kodi na tozo? Kwa nini tuwatukuze kwa kutimiza wajibu wao kwa kutumia kodi na tozo zetu?
Hili jambo liwekwe wazi, kwamba majina ya miundombinu ambayo tutayaacha ni ya Nyerere na Karume tu, waasisi wa Tanzania. Na ndio maana tulikubaliana kuwa hakuna picha ya raisi mwingine itawekwa kwenye fedha. Na iwe hivyo kwa miundombinu pia. Tuache hii tabia ya kujipendekeza kwa viongozi.
Tunaondoa majina yenye umaana mkubwa kihistoria kwa sababu tunataka kujipendekeza kwa raisi aliyeko madarakani. Kwa mfano daraja la Wami. Nani anajua historia ya jina Wami hadi tuamue halitufai na labda tuliite daraja la Samia?
Nakusihi Samia usikubali huu ujinga wa kutukuzwa, kama kweli kazi unayofanya kama raisi unaiona kama wajibu wako wa kikatiba na sio favor unayotufanyia Watanzania. Kama Samia unataka tuite kitu kwa jina lako, labda basi jitolee fedha zako kukijenga ili tukuenzi, lakini sio utimize wajibu wako kama raisi, utumie kodi na tozo tunazolipa kwa maumivu makubwa, halafu mwishowe tukiite kitu fulani ulichosimamia kwa jina lako.
Na pia ninapendekeza kwamba majina ya miundo mbinu iliyopewa viongozi zaidi ya Nyerere na Karume yabadilishwe mara moja!
Tuondokane na huku kujipendekeza kwa kuwatukuza watu, wanadamu kama sisi. Kwanza inawakatisha tamaa watu ambao wanachapa kazi zaidi hata ya raisi, the unsung heroes, wao watatukuzwaje?