Ndugu mbumbumbu makosa ya mnunuaji na muuzaji katika mkataba hayaondoi uthibitisho kama jambo la kibiashara lilifanyika labda u ukane uo mkataba wenye sahihi zenu na dole gumba kwamba amu utambui.
Tena mkataba wenye uthibitisho wa video na picha mnato wakati matukio yote yakifanyika.
Yake mambo ya kumwambia mchezaji wewe sign tu mengine tuachie sisi mmenusurika kwa Lawi, Valentino Mashaka na Awesu Awesu sidhani kama na la Kagoma mtachomoka.
Ao wakina Magori ayo mambo waliyo yaleta katika usajili wenu wa msimu huu ni ya Karne ya 19.
Ata la Benard Morrison yeye na Hans pope wali bebwa na mlungula na Usimba wa baadhi ya watendaji wa Tff na kama Yanga wangeshinda shauri Lile ilikua baadhi ya watendaji ndani ya Tff wawajibishwe.
Wale watendaji walipo fanikisha Lile la Morrison msimu huu wamerudia Tena katika baadhi ya sajili za Simba ila kwasasa nadhani muda wao umeshafika.