Kikao gani kiliamua?Wekeni ushahidi wa kikao kilichoamua wacheni redio mbao.Tarehe 6/09/2024 na ikaamuliwa Kagoma asimame kwanza kuichezea Simba kwasasa kwavile ana pingamizi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kikao gani kiliamua?Wekeni ushahidi wa kikao kilichoamua wacheni redio mbao.Tarehe 6/09/2024 na ikaamuliwa Kagoma asimame kwanza kuichezea Simba kwasasa kwavile ana pingamizi.
Mzee wewe ni mgeni na mimi humu, mimi ni Yanga na wala sijawahi kujificha na kila mtu ananijua kwenye hili jukwaa la michezo. Na mbali ya kuwa shabiki wa Yanga ni shabiki wa mkubwa wa mpira wa miguu. Njoo na uzi au comment yoyote uliwahi kuona nimesema kuwa sina timu.Bro naona leo umeamua kuweka wazi kuwa wewe Utopwenga mana kila siku huwa unasema hauna timu.
Kitendo cha ku sign timu mbili ni kosa kanuni zipo wazi mchezaji anatakiwa kufungiwamchezaji kusaini inajulikana kuwa alisaini Yanga na akasaini Simba lakini Simba walikamilisha taratibu zote hadi wakapata release letter kutoka Fountain Gate FC na wakafanya usajili wake kwenye MFUMO WA USAJILI na TFF wakatoa leseni yake kama mchezaji halali wa Simba na ndo maana Simba wanamtumia Mchezaji wao maana kaidhinishwa kwao.
Una hili mbumbumbu April kulikua na dirisha lipi la usajiri? Kilicho fanyika ni mkataba sio usajiri watu hamjui kutofautisha kati ya mkataba na usajiriMashabiki wa Yanga ni Mbumbu na hamjielewi kabisa 🤣🤣🤣
View attachment 3094432
mwezi wa 4 dirisha la usajili lilikuwa limefunguliwa???sasa hapo hujaelewa nini???
mwezi wa 3 walianza mazungumzo na singida(akeleza mlolongo wa singida hadi kufika kumalizana mwezi wa 4)
akarudi kumalizana na mchezaji kagoma(ambaye kimaelezo walianza mazungumzo baada ya kumalizana na klabu)
Ndo hivyo, hata kesi ya mzee MAGOMA hajashinda.Wakili msomi ambaye hajawahi shinda kesi
Muda si mrefu Nguruwe FC atapokonywa pointi kwa mechi alizocheza huyo mjinga mjinga Kagoma alafu mashabiki wa Nguruwe FC wataanza kulalamika kwamba ni mipango iliyosukwa kati ya Utopolo, Mwigulu na Kagoma.Hebu msikilizeni kwa umakini sana na mpigie mstari hizo tarehe, maana mimi naona tarehe zinarudi nyuma kuanzia mwezi wa nne kwenda mwezi wa tatu. Dakika mbili tu zimeharibu kila kitu.
Anachosema:
1. Yanga walikubaliana na Singida kuwa watailipa Singida sh. 30M kwa awamu mbili, ambapo 15M zilipwe mwisho wa mwezi wa NNE na 15M zilizobaki zilipwe mwisho wa mwezi wa SITA.
2. Ilipofika tarehe 30/04/2024 (mwisho wa mwezi wa nne) Yanga ilifanya malipo ya sh. 30M (sio 15M tena).
3. Baada ya kufanya malipo klabu ya Yanga iliruhusiwa kukaa na mchezaji kufanya mazungumzo kuhusu maslahi binafsi
4. Tarehe 27/03/2024 Yanga ilimtumia Yusuph Kagoma tiketi ya ndege kutoka Kigoma aje kufanya maongezi na Yanga.
5. Tarehe 28/03/2024 Yanga ilimsainisha Kagoma mkataba
View attachment 3094173
Mchezaji hawezi kufungiwa kwa ishu ndogo kama hiyo ya kusaini mkataba kwa maana ili usajili wa mchezaji ukamilike kuna mambo mengi ya kukamilisha ambayo Yanga hawakukamilisha ndo maana hawakupeleka mkataba TFF waweze kukamilisha usajili wa Kagoma na ndio maana Fountain Gate walimalizana na Simba wakatoa na Release Letter na ndo maana Mchezaji akaidhinishwa kutumika Simba.Sasa hapo kesi ni ya kagoma na yanga na sio yanga na Simba, Simba alifata utaratibu lakini mchezaji akufata utaratibu ivyo mchezaji ataadhibiwa na sio Simba, Na mchezaji akiadhibiwa mwenye hasara ni Simba na sio yanga upon apo, akifungiwa miaka 2 kama kanuni zinavyosema Simba ndio mwenye hasara pamoja na kwamba atakuwa yeye kakwepa msala wa kukatwa point kwenye mechi alizomtumia kagoma!
Singida fountain gate baada ya kupata dau kubwa toka kwa simba waliiandikia yanga SC kwambia kwavile wanaidai yanga SC, 30m ya kibabage upigwe juu kwa juu yanga SC hawakujibu barua walichofanya ni kuwaingizia pesa ya kibabage kwenye akaunti ya SFG, inamaana jumla wamelipa SFG 60mNB: Kuna uwezekano mkubwa Singida FG wanachosema ni sahihi, kwamba malipo ya sh. 30M waliyofanya Yanga sio ya Yusufu Kagoma, ni ya deni la Nickson Kibabage ambalo nalo lilikuwa hizo hizo sh. 30M. Yanga imetumia nyaraka za Kibabage ili kuonyesha kuwa ni za Kagoma, maana mwisho wa mwezi wa NNE walikubaliana sh. 15M, na sio 30M zinazoonekana kwenye hati ya malipo
Kusema ukweli, sajili zinazofanywa na klabu kubwa za TZ huwa 'chenga' nyingi isipokuwa tu zile za nje ambazo wahusika wa huko huwa wamenyooka.Hebu msikilizeni kwa umakini sana na mpigie mstari hizo tarehe, maana mimi naona tarehe zinarudi nyuma kuanzia mwezi wa nne kwenda mwezi wa tatu. Dakika mbili tu zimeharibu kila kitu.
Anachosema:
1. Yanga walikubaliana na Singida kuwa watailipa Singida sh. 30M kwa awamu mbili, ambapo 15M zilipwe mwisho wa mwezi wa NNE na 15M zilizobaki zilipwe mwisho wa mwezi wa SITA.
2. Ilipofika tarehe 30/04/2024 (mwisho wa mwezi wa nne) Yanga ilifanya malipo ya sh. 30M (sio 15M tena).
3. Baada ya kufanya malipo klabu ya Yanga iliruhusiwa kukaa na mchezaji kufanya mazungumzo kuhusu maslahi binafsi
4. Tarehe 27/03/2024 Yanga ilimtumia Yusuph Kagoma tiketi ya ndege kutoka Kigoma aje kufanya maongezi na Yanga.
5. Tarehe 28/03/2024 Yanga ilimsainisha Kagoma mkataba
View attachment 3094173
Mazungumzo na Fountain gate yalianza zamani kabla ya tarehe hizo; baada ya kukubaliana ndiyo Yanga iikamwita mchezaji kuja kujadiliana kuhusu maslahi na kuwekeana mkataba. Baada ya hapo ndipo Yanga ikaamua kulipa hela zote kwa ; mkataba ulisema malipo yafanyike kwa istallments mbili lakini haukuzia malipo ya lumpsome.Hebu msikilizeni kwa umakini sana na mpigie mstari hizo tarehe, maana mimi naona tarehe zinarudi nyuma kuanzia mwezi wa nne kwenda mwezi wa tatu. Dakika mbili tu zimeharibu kila kitu.
Anachosema:
1. Yanga walikubaliana na Singida kuwa watailipa Singida sh. 30M kwa awamu mbili, ambapo 15M zilipwe mwisho wa mwezi wa NNE na 15M zilizobaki zilipwe mwisho wa mwezi wa SITA.
2. Ilipofika tarehe 30/04/2024 (mwisho wa mwezi wa nne) Yanga ilifanya malipo ya sh. 30M (sio 15M tena).
3. Baada ya kufanya malipo klabu ya Yanga iliruhusiwa kukaa na mchezaji kufanya mazungumzo kuhusu maslahi binafsi
4. Tarehe 27/03/2024 Yanga ilimtumia Yusuph Kagoma tiketi ya ndege kutoka Kigoma aje kufanya maongezi na Yanga.
5. Tarehe 28/03/2024 Yanga ilimsainisha Kagoma mkataba
View attachment 3094173
Huyu Wakili wa Yanga hata Mzee Magoma kamkodishia kikundi cha mawakili badala ya kwenda mwenyeweHebu msikilizeni kwa umakini sana na mpigie mstari hizo tarehe, maana mimi naona tarehe zinarudi nyuma kuanzia mwezi wa nne kwenda mwezi wa tatu. Dakika mbili tu zimeharibu kila kitu.
Anachosema:
1. Yanga walikubaliana na Singida kuwa watailipa Singida sh. 30M kwa awamu mbili, ambapo 15M zilipwe mwisho wa mwezi wa NNE na 15M zilizobaki zilipwe mwisho wa mwezi wa SITA.
2. Ilipofika tarehe 30/04/2024 (mwisho wa mwezi wa nne) Yanga ilifanya malipo ya sh. 30M (sio 15M tena).
3. Baada ya kufanya malipo klabu ya Yanga iliruhusiwa kukaa na mchezaji kufanya mazungumzo kuhusu maslahi binafsi
4. Tarehe 27/03/2024 Yanga ilimtumia Yusuph Kagoma tiketi ya ndege kutoka Kigoma aje kufanya maongezi na Yanga.
5. Tarehe 28/03/2024 Yanga ilimsainisha Kagoma mkataba
View attachment 3094173
daa bongo kazi kweli hivi umemsikiliza vizuri wakili SFG na pia umemsikiliza Simon Patrick ukiongezea na kusoma ile jalada na bank slip ...ukielewa hapo basi utopolo wote mna akili ila kam hujaelewa tunarudi kwa manaraAcha ujinga wako, wamekwambia ililipwa jumla milioni 60, malipo ya kibabage ya deni na malipo ya kagoma yote kwa ujumla sasa ambacho ukielewi ni kipi kwenye maelezo ya mwanasheria?
kuitisha press ni ukosefu wa nidhamu yaani kwa harak haraka ishu kam hiyo unaitisha press ...ama kweli point 6 zinauma mnoNi sawa mkuu lakini hatukupaswa kutumia nguvu kuitisha press wakati tumeshafungua kesi na ipo kwa wahusika, kwanini kusiwe na uvumilivu hadi maamuzi yatakapotolewa?
mna madeni mno maana hata ishu ya kibabage bado hamjamalizaSimba kuruhusiwa kumtumia mchezaji haindoi kama mchezaji uyo alishawekewa pingamizi kabla Ligi haija Anza na Tff uwa Wana muda wao wa kupitia mapingamizi waliyowekewa wachezaji.
Kamati ya Sheria na haki za wachezaji pale Tff inafahamu kwamba Kuna pingamizi na lazima lisikilizwe kabla ya wachezaji wanao lalamikiwa Kuanza kucheza.
Kuna timu kadhaa ambazo wachezaji wao hawakuruhusiwa kucheza mpaka pale walipo kamilisha taratibu zote.
Tff inatakiwa ichukue hatua dhidi ya baadhi ya watendaji wake walio ruhusu Kagoma acheze.
Shauri la Mchezaji likiwa linasikilizwa lazima wahusika, walalamikaji na walalamikiwa waitwe na ilo halikufanhika kabla ya Kagoma kupewa leseni.
Hii inaonyesha Kuna Double standard pale Tff kwa baadhi ya Timu wachezaji kuzuiwa wasicheze mpaka kasoro zao za ki usajili zitatuliwe na Kagoma kupewa Leseni wakati shauri lake Bado halija zungumzwa.
kabisaaaMwanasheria wa Fountain Gate amefafanua vyema sana.. Yanga walitaka kuleta janja ya nyani tu.