Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 9,164
- 18,402
Makubwa!!! Kwa hio unashauri nini!!? Kusiwe na walimu wala askari!!? 😅Ualimu ni kazi ya laana kilasiku nawambia, ni kazi ambayo ukiingia na akili zako timamu utatoka ukiwa kichaa, haina tofauti na ile kazi ya boda boda .na yenyewe ni mkondo huo huo na kazi ya uaskari .lazima uwe na tu element twa ukichaa ndo utwwza kuafnya kazi hizi
Serikali ipo, mpelekeni mahakamani naye akawajambie wenziwe wanaomsubiri huko jela ya maishaFamilia yaomba Serikali kuwasaidia kupata haki ya mtoto wao ambae wanadai amelawitiwa shuleni. Wazazi wadai Serikali ya Mtaa na kituo cha polisi hakiwapi ushirikiano.
Wakifafanua sakata hilo Wazazi wanadai kuwa walipata mashaka baada ya kuona mtoto wao wa miaka 6 anajinyea mara kwa mara na baadaye mwendo wa mtoto huyo ubadilika.
Aidha, wanasema walipomhoji mtoto huyo alidokeza kuwa Mwalimu Imma anampaga soda na Biskuti lakini mtoto hakuweza kueleza vitendo vya mwalimu huyo.
Baada ya kwenda Polisi na Hospitali alipopimwa ilibainika mtoto huyo ameharibiwa sehemu yake ya haja kubwa.
Wazazi wanaomba mamlaka husika kutoa msaada ili kupata haki kwa mtoto wao.
UPDATE
- Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Hassan Bomboko amesema Watu 2 akiwemo Mwalimu Emmanuel Mbigili wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kulawiti mtoto
Naomba radhi kuchelewa kujibu. Tayari tulipokea ambapo, Mhe Waziri wa Mambo ya Ndani alianza mara moja kufanyia kazi. Tunaendelea kufuatilia na pia, tayari kuna taarifa za hatua zilishatolewa. Tuendelee kupaza sauti Kila mmoja aseme na wanaomzunguka kuhusu ulinzi na ufuatiliaji wa watoto. Shukrani.Mhe. Waziri wetu mpendwa, mama yetu na dada yetu.
Njoo huku utusaidie Dkt. Gwajima D
Poleni sana ndugu zetu, tuna imani waziri wetu mpendwa akipata taarifa hii atalishughulikia swala hili kwa haraka iwezekanavyo. Kikubwa akihitaji ushirikiano muumpe ili ajue aanzie na afikie wapi.
Mtafute waziri DKT Dorothy Gwajima sasa hivi kupitia namba hizi [emoji117] 0765345777
leo nimesikia taarifa mmoja wa ndugu wa mtoto (mjomba nahisi) kakamatwa ana hisiwa
Mfanyie tukio huyo mbwa lakini hakikisha unamkumbushaWakati nina miaka kati ya 5 hadi 8 nilikuwa nalala na anko devi. Huyu jamaa alikuwa ameshafikisha kayi ya 17 au 19 to 20s. Sina kumbukumbubalikuwa akitumia lugha ipi kuniambia. Ninachokumbuka ji mb....o ya anko ilikuwa nikiishika ni kubwa hiyo kumbukumbu pekee. Kilichoniponesha ni jamaa alikuwa nahofu hajawahi ipenyeza kwenye kinyeo aliishia kuninajisi na shawaha.
Muda huu nawaza nimsamehe au nimfanyie tukio baya
Mhe. Waziri nakusalimu. Pongezi kwako na wizara yako kwa kufuatilia mambo yanahusu wizara yako.Naomba radhi kuchelewa kujibu. Tayari tulipokea ambapo, Mhe Waziri wa Mambo ya Ndani alianza mara moja kufanyia kazi. Tunaendelea kufuatilia na pia, tayari kuna taarifa za hatua zilishatolewa. Tuendelee kupaza sauti Kila mmoja aseme na wanaomzunguka kuhusu ulinzi na ufuatiliaji wa watoto. Shukrani.
Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Kila mtu ni mpango wa Mungu,maana hata wwe hukuandika barua ya maombi kuzaliwa mtanzania!!Huyo raisi ni mpango wa Mungu hata hakuwa na ndoto ya kuwa Rais ,basi ndio baraka za mola
Lazima ukweli utajulikana.leo nimesikia taarifa mmoja wa ndugu wa mtoto (mjomba nahisi) kakamatwa ana hisiwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wabongo kwa matusi hawajambo, utadhani huyo imma ni kweli kahusika, lolOfcoz kama unataka kumjua mwl iemma nenda insta search for "emma de boy "
Utamuona na watz wameshajaa huko wanamshushiia matusi
Kila kitu ni mpango wa Mungu ni mfano hai ...Hakuwa na mpango huo hata siku mojaKila mtu ni mpango wa Mungu,maana hata wwe hukuandika barua ya maombi kuzaliwa mtanzania!!
Shukran sana mhe waziri wetu mpendwa 🙏Naomba radhi kuchelewa kujibu. Tayari tulipokea ambapo, Mhe Waziri wa Mambo ya Ndani alianza mara moja kufanyia kazi. Tunaendelea kufuatilia na pia, tayari kuna taarifa za hatua zilishatolewa. Tuendelee kupaza sauti Kila mmoja aseme na wanaomzunguka kuhusu ulinzi na ufuatiliaji wa watoto. Shukrani.
Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Umeenda kuchungulia eeh?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wabongo kwa matusi hawajambo, utadhani huyo imma ni kweli kahusika, lol
Mhe. Waziri nakusalimu. Pongezi kwako mu. Pongezi kwako na wizara yako kwa kufuatilia mambo yanahusu wizara yako.
Subhnallah.Familia yaomba Serikali kuwasaidia kupata haki ya mtoto wao ambae wanadai amelawitiwa shuleni. Wazazi wadai Serikali ya Mtaa na kituo cha polisi hakiwapi ushirikiano.
Wakifafanua sakata hilo Wazazi wanadai kuwa walipata mashaka baada ya kuona mtoto wao wa miaka 6 anajinyea mara kwa mara na baadaye mwendo wa mtoto huyo ubadilika.
Aidha, wanasema walipomhoji mtoto huyo alidokeza kuwa Mwalimu Imma anampaga soda na Biskuti lakini mtoto hakuweza kueleza vitendo vya mwalimu huyo.
Baada ya kwenda Polisi na Hospitali alipopimwa ilibainika mtoto huyo ameharibiwa sehemu yake ya haja kubwa.
Wazazi wanaomba mamlaka husika kutoa msaada ili kupata haki kwa mtoto wao.
UPDATE
- Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Hassan Bomboko amesema Watu 2 akiwemo Mwalimu Emmanuel Mbigili wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kulawiti mtoto
Upewe kitengo....jamii imekuwa na tabia ya kuhukumu kwa hisia sana siku hizi....Hili jambo lichunguzwe na haki itendeke pasipo kumuonea au kumpendelea mtu, ila nitoe mtazamo wangu kulingana hili suala lililojitokeza hapa.
Nahitaji kujua mwalimu Imma ana umri gani? Muonekano wake ukoje? Haiingiii akilini eti mtoto wa miaka 6 awe analawitiwa mara kwa mara, kisa anapewa biskuti na soda, afu dalili za kuonesha kaharibiwa kwa tupu ya nyuma ni kujinyea hovyo, ndipo wazazi kustukaa.
Hivi ulawiti ni rahisi kiasi hicho? Huyo mtoto km kweli alikua anaingiliwa hata angeweza kutembea? Huko nyuma kusingekua kunatoa damu? Huyo mwalimu hata angekua na kibamia, plus kutumia kilainishi tena hata iwe Durex huyo mtoto angepata madhara ya kuonekana wazi wazi,
Mtoto wa miaka 6 anaweza kuhimili mikiki ya mtu mzima ktk sex? Tena kupitia tupu ya nyuma?
Hapa kuna jambo, na wala haina kuficha, siku hizi kuna mtindo wa walimu wa kuzushiwa case za ubakaji, ulawiti na mimba kwa wanafunzi.
Hili jambo lichunguzwe kwa weledi ili kubaini na kupata ukweli halisi, na sio kutaka kuumiza na kuua future ya mtu kwa maslahi ya mtu au watu fulaniii.
Hujaelewa tu swali langu, inapaswa kuwa chochote kinachoathiri watoto kiwe wizara yake.Mtoto karepiwa (jinai) akiwa shuleni (elimu), mpaka kachanwa sphincter nyuma (afya), sasa inakuwaje issue ya wizara ya Gwajima ? Hauoni Gwajima mwenyewe kaipiga cross kwenda Mambo ya Ndani ?
Na kama ni issue ya Gwajima, how does she get a pass, kwa nini anapeteshwa na kupongezwa ?
Eti anafuatilia, anafuatilia yangetokea ? Angekuwa mtoto wako kachanwa chanywa nyuma ungesema waziri apongezwe anafuatia ?
Vigezo na viwango vya kuwapima viongozi wa dunia ya tatu viko chini sakafuni. Watu hawajuia majukumu ya serikali na viongozi, upeo mdogo na elimu ya uraia ndogo, watu hawana taarifa, vyombo vya habari vibovu. Viongozi wanapeta. The doom loop continues.