DOKEZO Mtoto adaiwa kulawitiwa na Mwalimu na kupewa biskuti na soda. Familia yaomba msaada

DOKEZO Mtoto adaiwa kulawitiwa na Mwalimu na kupewa biskuti na soda. Familia yaomba msaada

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Ualimu ni kazi ya laana kilasiku nawambia, ni kazi ambayo ukiingia na akili zako timamu utatoka ukiwa kichaa, haina tofauti na ile kazi ya boda boda .na yenyewe ni mkondo huo huo na kazi ya uaskari .lazima uwe na tu element twa ukichaa ndo utwwza kuafnya kazi hizi
Makubwa!!! Kwa hio unashauri nini!!? Kusiwe na walimu wala askari!!? 😅
 
Familia yaomba Serikali kuwasaidia kupata haki ya mtoto wao ambae wanadai amelawitiwa shuleni. Wazazi wadai Serikali ya Mtaa na kituo cha polisi hakiwapi ushirikiano.

Wakifafanua sakata hilo Wazazi wanadai kuwa walipata mashaka baada ya kuona mtoto wao wa miaka 6 anajinyea mara kwa mara na baadaye mwendo wa mtoto huyo ubadilika.

Aidha, wanasema walipomhoji mtoto huyo alidokeza kuwa Mwalimu Imma anampaga soda na Biskuti lakini mtoto hakuweza kueleza vitendo vya mwalimu huyo.

Baada ya kwenda Polisi na Hospitali alipopimwa ilibainika mtoto huyo ameharibiwa sehemu yake ya haja kubwa.

Wazazi wanaomba mamlaka husika kutoa msaada ili kupata haki kwa mtoto wao.

UPDATE
- Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Hassan Bomboko amesema Watu 2 akiwemo Mwalimu Emmanuel Mbigili wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kulawiti mtoto
Serikali ipo, mpelekeni mahakamani naye akawajambie wenziwe wanaomsubiri huko jela ya maisha
 
Mhe. Waziri wetu mpendwa, mama yetu na dada yetu.
Njoo huku utusaidie Dkt. Gwajima D

Poleni sana ndugu zetu, tuna imani waziri wetu mpendwa akipata taarifa hii atalishughulikia swala hili kwa haraka iwezekanavyo. Kikubwa akihitaji ushirikiano muumpe ili ajue aanzie na afikie wapi.

Mtafute waziri DKT Dorothy Gwajima sasa hivi kupitia namba hizi [emoji117] 0765345777
Naomba radhi kuchelewa kujibu. Tayari tulipokea ambapo, Mhe Waziri wa Mambo ya Ndani alianza mara moja kufanyia kazi. Tunaendelea kufuatilia na pia, tayari kuna taarifa za hatua zilishatolewa. Tuendelee kupaza sauti Kila mmoja aseme na wanaomzunguka kuhusu ulinzi na ufuatiliaji wa watoto. Shukrani.

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
leo nimesikia taarifa mmoja wa ndugu wa mtoto (mjomba nahisi) kakamatwa ana hisiwa

Na Mama Mtu akamatwe for criminal negligence and child trafficking for sexual exploitation. Kazaa zaa ovyo hajali mtoto na kamuuza kingono.

Yeye na Mamaake (bibi) kwa mara ya kwanza wameoana sphincter za mtoto zimekata siku alipofunuliwa na daktari. Eti walikuwa hawajawi kumcheki. Huo ni uzembe au ni uongo wa mchana. Nani alikuwa anamsafisha akijinyea ? Wanaficha nini, walimuuza mtoto?

Bibi anasema tatizo limejitokeza muda mrefu, Cuban anatembea kama ana majipu, anajinyea non stop. Alipomkalisha kumhoji akaona akimkagua zaidi mtoto atajisikia vibaya. Mtoto wa miaka 7 you are worried about hurting his feelings ?

Unbroken vicious cycle, bibi alizaa zaa ovyo bila sense of responsibility kumfunza binti yake chochote, mama Cuban nae akazaa zaa ovyo bila role model, kijukuu nacho kikaachwa kijitegemee kwa chakula na vinywani kama mbwa koko kula kwa kuokoteza barabarani na shuleni.

Rectal sphincter muscle za mtoto mpaka zinakata hujawahi kujali kumcheki, utakuwa unamuuza au una uzembe jinai, aggravated criminal neglect, willful disregard for the safety of a minor, child sex trafficking and accessory to child sodomy by a parent.
 
Wakati nina miaka kati ya 5 hadi 8 nilikuwa nalala na anko devi. Huyu jamaa alikuwa ameshafikisha kayi ya 17 au 19 to 20s. Sina kumbukumbubalikuwa akitumia lugha ipi kuniambia. Ninachokumbuka ji mb....o ya anko ilikuwa nikiishika ni kubwa hiyo kumbukumbu pekee. Kilichoniponesha ni jamaa alikuwa nahofu hajawahi ipenyeza kwenye kinyeo aliishia kuninajisi na shawaha.

Muda huu nawaza nimsamehe au nimfanyie tukio baya
Mfanyie tukio huyo mbwa lakini hakikisha unamkumbusha
 
Mjukuu wangu nimemtoa hizi kwenye hizi shule zenye baadhi ya waalimu wenye changamoto ya afya ya akili na kumpekeka shule ya Wasabato yenye waalimu wa like watupu.
Huyo Mwalimu kifungo Cha maisha kina mhusu na huko Segerea afanyiziwe mara mia zaidi.
L'lana qum
 
Naomba radhi kuchelewa kujibu. Tayari tulipokea ambapo, Mhe Waziri wa Mambo ya Ndani alianza mara moja kufanyia kazi. Tunaendelea kufuatilia na pia, tayari kuna taarifa za hatua zilishatolewa. Tuendelee kupaza sauti Kila mmoja aseme na wanaomzunguka kuhusu ulinzi na ufuatiliaji wa watoto. Shukrani.

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Mhe. Waziri nakusalimu. Pongezi kwako na wizara yako kwa kufuatilia mambo yanahusu wizara yako.
Nina swali, hivi kama ilivyo miongozo ya usalama kwenye miundombinu ya umma na binafsi, kuna muongozo unahusu usalama wa watoto? Mfano kuna mipngozo ya OSHA na moto.
Kwamba vitu kama mabweni na madarasa viweje.
Kwangu mimi ni ajabu sana shule kuwa na mazingira ya faragha kiasi kwamba mwalimu anaweza kuwa peke yake na mtoto, hapa naongea kama hayo yaliyozungumzwa ni kweli.


Pengine unaweza usijibu kwa kuwa jambo hili liko kwenye uchunguzi, nitaelewa., lakini natamani kujua kama wizara yako inahusishwa kwenye kukagua kamamiundonimbinu inayokusanya watoto ni salama kwa watoto kijamii.
 
Ofcoz kama unataka kumjua mwl iemma nenda insta search for "emma de boy "
Utamuona na watz wameshajaa huko wanamshushiia matusi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wabongo kwa matusi hawajambo, utadhani huyo imma ni kweli kahusika, lol
 
Naomba radhi kuchelewa kujibu. Tayari tulipokea ambapo, Mhe Waziri wa Mambo ya Ndani alianza mara moja kufanyia kazi. Tunaendelea kufuatilia na pia, tayari kuna taarifa za hatua zilishatolewa. Tuendelee kupaza sauti Kila mmoja aseme na wanaomzunguka kuhusu ulinzi na ufuatiliaji wa watoto. Shukrani.

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Shukran sana mhe waziri wetu mpendwa 🙏
 
Mhe. Waziri nakusalimu. Pongezi kwako mu. Pongezi kwako na wizara yako kwa kufuatilia mambo yanahusu wizara yako.

Mtoto karepiwa (jinai) akiwa shuleni (elimu), mpaka kachanwa sphincter nyuma (afya), sasa inakuwaje issue ya wizara ya Gwajima ? Hauoni Gwajima mwenyewe kaipiga cross kwenda Mambo ya Ndani ?

Na kama ni issue ya Gwajima, how does she get a pass, kwa nini anapeteshwa na kupongezwa ?

Eti anafuatilia, anafuatilia yangetokea ? Angekuwa mtoto wako kachanwa chanywa nyuma ungesema waziri apongezwe anafuatia ?

Vigezo na viwango vya kuwapima viongozi wa dunia ya tatu viko chini sakafuni. Watu hawajuia majukumu ya serikali na viongozi, upeo mdogo na elimu ya uraia ndogo, watu hawana taarifa, vyombo vya habari vibovu. Viongozi wanapeta. The doom loop continues.
 
Huyo MWALIMU mtuhumiwa anaitwa Emmanuel Mbigilii. Insta account yake hii hapa chini:

 
Familia yaomba Serikali kuwasaidia kupata haki ya mtoto wao ambae wanadai amelawitiwa shuleni. Wazazi wadai Serikali ya Mtaa na kituo cha polisi hakiwapi ushirikiano.

Wakifafanua sakata hilo Wazazi wanadai kuwa walipata mashaka baada ya kuona mtoto wao wa miaka 6 anajinyea mara kwa mara na baadaye mwendo wa mtoto huyo ubadilika.

Aidha, wanasema walipomhoji mtoto huyo alidokeza kuwa Mwalimu Imma anampaga soda na Biskuti lakini mtoto hakuweza kueleza vitendo vya mwalimu huyo.

Baada ya kwenda Polisi na Hospitali alipopimwa ilibainika mtoto huyo ameharibiwa sehemu yake ya haja kubwa.

Wazazi wanaomba mamlaka husika kutoa msaada ili kupata haki kwa mtoto wao.

UPDATE
- Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Hassan Bomboko amesema Watu 2 akiwemo Mwalimu Emmanuel Mbigili wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kulawiti mtoto
Subhnallah.
Inna lillah wa inna ilaih rajun
 
Hili jambo lichunguzwe na haki itendeke pasipo kumuonea au kumpendelea mtu, ila nitoe mtazamo wangu kulingana hili suala lililojitokeza hapa.

Nahitaji kujua mwalimu Imma ana umri gani? Muonekano wake ukoje? Haiingiii akilini eti mtoto wa miaka 6 awe analawitiwa mara kwa mara, kisa anapewa biskuti na soda, afu dalili za kuonesha kaharibiwa kwa tupu ya nyuma ni kujinyea hovyo, ndipo wazazi kustukaa.

Hivi ulawiti ni rahisi kiasi hicho? Huyo mtoto km kweli alikua anaingiliwa hata angeweza kutembea? Huko nyuma kusingekua kunatoa damu? Huyo mwalimu hata angekua na kibamia, plus kutumia kilainishi tena hata iwe Durex huyo mtoto angepata madhara ya kuonekana wazi wazi,

Mtoto wa miaka 6 anaweza kuhimili mikiki ya mtu mzima ktk sex? Tena kupitia tupu ya nyuma?

Hapa kuna jambo, na wala haina kuficha, siku hizi kuna mtindo wa walimu wa kuzushiwa case za ubakaji, ulawiti na mimba kwa wanafunzi.

Hili jambo lichunguzwe kwa weledi ili kubaini na kupata ukweli halisi, na sio kutaka kuumiza na kuua future ya mtu kwa maslahi ya mtu au watu fulaniii.
Upewe kitengo....jamii imekuwa na tabia ya kuhukumu kwa hisia sana siku hizi....

Kuna jamaa alikuwa anadai hela kwa bosi wake baada ya kufanya kazi ya kuangalia mifugo ya bosi wake kama mwaka mmoja na miezi , alipoanza kumdai bosi wake na kumkomalia, bosi akaja nyumbani na watu waliojitambulisha kuwa ni polisi na yuko chini ya ulinzi kwa kosa la kumlawiti mtoto wa bosi wake....kama sio mbio angekuwa ndani mpaka saizi....
 
Jamani wajasiriamali jitahidini zitengenezwe dolls za bei rahisi zenye joto na very cheap ziwe available kama Ndomu. Ziwe zinaingiliwa ...au zizaminiwe zitolewe Bure na serikali Kila Mahali....watu wamalizie upwiru huko... hizi habari zinaumiza ....sisi wenye watoto ukisikia hivi tumbo linakata chwaaaa inaumiza Kila mahala kumejaa mabaradhuli hakuna Mahali salama Tena kama mwlm,mjomba,baba anamrudi mtt....nashangaa kwnn wasihasiwe yaani ukikutwa unakatwa hiyo kitu asee enough is enough..... Huu ni.upumbavu wangu tu nimewaza Kwa sauti nisamehewe.
 
Mtoto karepiwa (jinai) akiwa shuleni (elimu), mpaka kachanwa sphincter nyuma (afya), sasa inakuwaje issue ya wizara ya Gwajima ? Hauoni Gwajima mwenyewe kaipiga cross kwenda Mambo ya Ndani ?

Na kama ni issue ya Gwajima, how does she get a pass, kwa nini anapeteshwa na kupongezwa ?

Eti anafuatilia, anafuatilia yangetokea ? Angekuwa mtoto wako kachanwa chanywa nyuma ungesema waziri apongezwe anafuatia ?

Vigezo na viwango vya kuwapima viongozi wa dunia ya tatu viko chini sakafuni. Watu hawajuia majukumu ya serikali na viongozi, upeo mdogo na elimu ya uraia ndogo, watu hawana taarifa, vyombo vya habari vibovu. Viongozi wanapeta. The doom loop continues.
Hujaelewa tu swali langu, inapaswa kuwa chochote kinachoathiri watoto kiwe wizara yake.
Nimeuliza kama kuna sera inataka ukaguzi au uthibiti wa miundombinu ya shule na sehemu zinazokusanya watoto.
 
Back
Top Bottom