Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 3,732
- 6,561
Aisee embu nipe ABC au kama kuna uzi naomba Utag hapa.... Nilikuwa nje ya nchi sikuwa na muda kupata taarifa nyingi .Na kutumbukizwa kenye chemba za vyoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee embu nipe ABC au kama kuna uzi naomba Utag hapa.... Nilikuwa nje ya nchi sikuwa na muda kupata taarifa nyingi .Na kutumbukizwa kenye chemba za vyoo
WaliponaNa kutumbukizwa kenye chemba za vyoo
Wazazi waliuliwa au waliwekwa kwenyw chemba ya choo.Wazazi wameuliwa.. Mali zimeporwa mtoto kapelekwa kwa mganga wa kienyeji.. Hii dunia ina mengi Sana na ni magumu sana pia
Hawakufa ni WazimaNa kutumbukizwa kenye chemba za vyoo
Unaweza check hata kwa millarayo.Aisee embu nipe ABC au kama uzi naomba Utah hapa.... Nilikuwa nje ya nchi sikuwa na muda kupata taarifa nyingi .
Mitishamba ishamvurugaMshana Nathan habar hukuipata vzur wazaz
Usimwamini mtuDuh maskini ila kuna binadamu wana roho mbaya sana
Misinformation waliokolewa wapo hai mzee wanguWazazi wameuliwa.. Mali zimeporwa mtoto kapelekwa kwa mganga wa kienyeji.. Hii dunia ina mengi Sana na ni magumu sana pia
Numbi baby 😊nahisi utakuwa na tumashavu tudogo twa.... Apple maana wakina Nunu huwa ni wadogo wadogo alafu black beautyDuh maskini ila kuna binadamu wana roho mbaya sana
Mbay sana ndomana kongo washaanza kuwamaliza maana wameona hawasikiiiFuture ya huru mtoto imetiwa giza siku ile wazazi wake walipoondolewa duniani.. Unaweza kujiuliza kosa lake ni ninini
Walipona.Na kutumbukizwa kenye chemba za vyoo
Walitumbikizwa tu lakin hawakufaNa kutumbukizwa kenye chemba za vyoo
Hapo sasa, ukishakuwa mwizi lazima uwe looserUzuri wahalifu wa huku ni wajinga Sana wanaacha traces nyingi ni rahisi Sana hata kuwatrack na kuwapata
Kuna majambazi walivamia elusion za wachina na silaha kabisa wakaiba dhahabu za kutosha, eti wakaiba na laptops😀😀😀
Walidakwa baada ya siku 3 tu, we ushaiba dhahabu laptop tena za nini??
Heko Kwa waliofanikisha mtoto kupatikana
Mkuu kwani wazazi wale waliotumbukizwa ktk karo la kinyesi hawakuokolewa?Future ya huru mtoto imetiwa giza siku ile wazazi wake walipoondolewa duniani.. Unaweza kujiuliza kosa lake ni ninini
Acha ujuajiWazazi wameuliwa.. Mali zimeporwa mtoto kapelekwa kwa mganga wa kienyeji.. Hii dunia ina mengi Sana na ni magumu sana pia
Acha ujuajiNa kutumbukizwa kenye chemba za vyoo
HahaaKama tunaongozwa na wanasiasa wanaoamini katika huu ushenzi ili kushinda chaguzi mbali mbali, basi tumekwisha!
Mbona wamesema wazazi Wapo hai?Wazazi wameuliwa.. Mali zimeporwa mtoto kapelekwa kwa mganga wa kienyeji.. Hii dunia ina mengi Sana na ni magumu sana pia