Hujui wengine hiyo ni taaluma yetu dogoPunguza ujuaji, utakuja kuelewa yashakufika! Over
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujui wengine hiyo ni taaluma yetu dogoPunguza ujuaji, utakuja kuelewa yashakufika! Over
Na inatolewa bure clinic zoteFamily plan
Na inatolewa bure clinic zoteFamily plan
DahNa inatolewa bure clinic zote
Mkuu hiki ndicho kinachomsumbua mwanangu. Miezi mitatu yote anaharisha tuu na Afya inazidi kuzorota. Hospital ya mwisho kwenda yule dr ndo aliyenifumbua akili la sivyo sijui ingekuwaje.Mkuu kunyonya ashaacha mimba mama Ake amepata baada ya mtoto kuachishwa kunyonya na anatembea vizuri tu, hali yake imebadilika wiki moja hii
Mtafutie dawa za asili ama sivyo kama unaweza mtenge na mama yake akae mbali ikiwezekana mpeleke kwa bibi yake akakae huko mpaka mkeo ajigungue.Mimba alipata baada ya kuacha kunyonya mkuu ,mtoto anatembea na alikuwa vizuri tu hali ime change hili wiki ,dogo analia Lia tu na kula hataki
Hii nakubaliana na wewe mkuu.Sisi wa imani potofu tunasema mtoto mnamuunguza kwa miili hapo kitandani mnapolala nae.
Timu imani potofu inaelekeza mtoto aoge maji ya mizizi ya miti shamba inayopigiwa kelele na matangazo ya wizara ya afya.
Mwambie nkeo aongee na wahenga (wanawake wa kabila lake) mechi itaisha dakika ya 3 tu
Mbona kachelewa .Mimi miezi Tisa Tu kitu tayari halafu Baba tofautiMtoto ana mwaka na miezi saba, mama ana mimba.
Kama wewe n baba ni kama h n kweli bc ww huna akili
🙌Mbona kachelewa .Mimi miezi Tisa Tu kitu tayari halafu Baba tofauti
Uzi ibidi ufungwe hapa, kitabu kimeeleza kila kitu!!Pole mkuu , Pitia hiki kitabu 👇
Walau wewe una akili uangalizi wa mama kwa mtoto umepungua isitoshe huyo mtoto mbona ni mkubwa kabisa watu wanabeba mimba mtoto akiwa na miezi 3-5 wanamnyonyesha mpaka mimba ikifikisha miezi nane kasoro na mtoto hadhuriki wala nini,,Uongo! Kitu hujui acha kukiongelea’ hakuna uhusiano na mimba na maziwa ya mama. Sema uangalizi wa mama kwa mtoto umepungua. Baba ashike hatamu kumnusulu