Wasikutishe bwana cha kufanya huyo mtoto muachishe tu kunyonya atumie tu uji wa listen mixer maziwa. Mtoto atakuwa na afya bora na mama yake atakuwa salama
Hilo suala la kuwa asilale na mama yake sijui blaaa blaaa ni nyingi ni myth tu.
Cenario ilinitokea kwangu akiwa na miezi 8 tu akanasa
Tulichokifanya alipofika miezi 11 tukamuachisha tu ziwa mana Ali anza kuharisha mara nyingi kwa siku so tukaona mambo yasiwe mengi.
Tukaanza kumpa maziwa ya ngombe baada ya mwaka na uji flani wa lishe tulikuwa tunasaga mashine
Mtoto alikuwa na afya bora kuliko walio nyonya miaka miwili
Hiyo imetokea tu kama dharura kwahiyo hawa vijana hata ambao hawajui kulea wasikutishe.
Hilo suala la kuwa asilale na mama yake sijui blaaa blaaa ni nyingi ni myth tu.
Cenario ilinitokea kwangu akiwa na miezi 8 tu akanasa
Tulichokifanya alipofika miezi 11 tukamuachisha tu ziwa mana Ali anza kuharisha mara nyingi kwa siku so tukaona mambo yasiwe mengi.
Tukaanza kumpa maziwa ya ngombe baada ya mwaka na uji flani wa lishe tulikuwa tunasaga mashine
Mtoto alikuwa na afya bora kuliko walio nyonya miaka miwili
Hiyo imetokea tu kama dharura kwahiyo hawa vijana hata ambao hawajui kulea wasikutishe.