trudie
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 3,668
- 8,745
Sorry to say this ila nilikuwa nakuona ni mmoja kati ya watu wanaojielewa humu JF ila comment yako imenifunua uelewa wako mkuu.Mnaharaka mno, mwambie akijifungua aweke kitanzi,asifikiri sifa kizaazaa, sikuhizi uzazi ni kifo....atakufa