Mtoto chini ya miaka 10 kumkatisha usingizi kisa masomo uchwara; Saa 11 Alfajiri?

Mtoto chini ya miaka 10 kumkatisha usingizi kisa masomo uchwara; Saa 11 Alfajiri?

Nakumbuka babu yangu alikua haturuhusu kuangalia tv zaidi ya saa 3. Ikifika saa 3 usiku wanafunzi wote kulala.

Ila siku hizi madogo eti wanaangalia katuni na tamthilia hadi saa 5 au 6 usiku, asubuhi saa 11 aamke aandaliwe kwenda kupanda school bus.

Wazazi wanafanya watoro wasiishi utoto wao, mzazi anashirikiana na mtoto wake under 10 yrs kuangalia tamthilia za mapenzi hadi saa 5 usiku, mtoto anaanza kua addicted na matamthilia hayo, yanamtesa maana yeye ni mtoto ni ngumu kucontrol hisia zake.
 
Nakumbuka babu yangu alikua haturuhusu kuangalia tv zaidi ya saa 3. Ikifika saa 3 usiku wanafunzi wote kulala.

Ila siku hizi madogo eti wanaangalia katuni na tamthilia hadi saa 5 au 6 usiku, asubuhi saa 11 aamke aandaliwe kwenda kupanda school bus.

Wazazi wanafanya watoro wasiishi utoto wao, mzazi anashirikiana na mtoto wake under 10 yrs kuangalia tamthilia za mapenzi hadi saa 5 usiku, mtoto anaanza kua addicted na matamthilia hayo, yanamtesa maana yeye ni mtoto ni ngumu kucontrol hisia zake.

Hatari sana.
Alafu hayo matamtihilia yanaamjengea mtoto ulimwengu wa uongouongo katika akili yake
 
Acha makasiriko kisa unaona magari ya shule yakipita mtaani kuchukuwa watoto wa wenzako huku wako akichabanga kwenda shule!
 
Sasa hui ndio ujinga mwingine, mtoto under 15 umpeleke bweni?
Ndio maana siku watu wanalalamika vijana hawana upendo kwa wazazi wao, upendo utoke wapi kama jukumu na kulea unawaachia walimu na matron, hajuja bond hapo.
Ni ujinga wa kiwango cha juu mtoto mdogo kumpeleka boarding. Kuna mambo mengi wanapitia huko boarding ambayo hutokaa uyafahamu.
Hii ni point.
 
Mi ningemzuia, shule asomayo dogo, yeye anakuja na daftari la homework tu, mengine wanaacha shule
Hata mimi anakuja na diary na daftari la homework mengine waanacha shule
 
Nakutana na mtotot mdogo kamshika mkono mwenzie wanapanda daladala...muhimbili hiyo. Unawauliza wanaishia wapi wanajibu gongo LA mboto..


Sasa najiuliza hiyo mzazi hakuona shule huko gomz au mamia ya shule zote hayafundishi vema hadi amlete muhimbili..hawa watoto asubuhi wanaamka SAA ngapi ili wafike shule kabla ya SAA mbili kuepuka adhabu?

Yani mzazi upo na amani tu mtoto wa miaka 10 anahangaika kuvuka mataa mjini kila siku agombanie daladala mwenyewe?

Yaani ni ujinga wa kiwango cha juu sana
 
Hatari sana.
Alafu hayo matamtihilia yanaamjengea mtoto ulimwengu wa uongouongo katika akili yake
Na tamthilia nyingi mno hivi sasa ni za mapenzi.
Mtoto wa miaka 11 keshaanza kuota matati na kupata hisia, hizo tamthilia zinamuathiri mno.

Akitokea mpuuzi mmoja akabahatisha kumfanyia kile alichokiona kwenye tamthilia baaasi kwisha habari yake.
 
Back
Top Bottom