Mtoto kawa na tabia isiyonipendeza baada ya kuishi mbali na mimi kwa miezi 3 tu

Mtoto kawa na tabia isiyonipendeza baada ya kuishi mbali na mimi kwa miezi 3 tu

Mama wa mtoto ndio trainer wa tabia ya mtoto miaka ya mwanzo ya ukuaji. Watoto wa siku hizi tabia hazieleweki na ni za hovyo kwasababu mama zao wapo busy kutafuta hela hawana muda na watoto kwahyo watoto wanajiregulate tabia kwa kucopy popote anachoona kinamvutia ana kuwa na mseto wa tabia za house girl, mtoto wa jirani, mtoto wa mpangaji, mtoto wa mjomba na zote anabeba sababu hakuna wa kuziratibu.

Ukitaka mtoto awe salama miaka hii peleka kwa bibi mzaa baba huwa wanakuwa watata hawadekezi watoto. Na wewe kama baba uwe unafanya close monitoring ya tabia ya mtoto ili kuweza kujua kama ina dosari.

Mtoto anatakiwa kuwa kama kuruta wa JKT awe anarespond ukimwita, anajibu ulimuuliza, anafuata amri utoa na kadhalika, hii kazi si ya lele mama ni kazi ya baba. Mwanamke anayeweza hii kazi ni yule aliyekuzwa familia yenye baba imara ndio utaona anaweza nyoosha mtoto ila hawa wanawake wa siku hizi kwanza picha linaanza wamekuzwa na mama tu upande wa mama yake yaani wajomba tupu. Halafu na yeye anapata ujauzito bila mume wa Ndoa wategemea awe na uwezo wa kulea mtoto?

Mtoto anakuwa hana discipline sababu ya aina ya watu wanaomzunguka na training anazopewa. Mama muda wote ni mtu wa kukumbatia tu mtoto kama mdoli, hana ile tahadhari ya kuharibu mtoto. Kutwa kucheka Cheka na mtoto ujinga na kupiga nae picha za kuweka manyaunyau usoni ili akapost TikTok na Instagram. Useless kabisa.
 
Kawaida Sana mkuu kwa mtoto wa umri huo,,kosa lilianzia kwako mwenyewe kumbadilishia mazingira hizo Tabia Mpya ni malezi aliyoyakuta kule Cha kufanya mlee kama mwanzo baada ya muda atarudi kama mwanzo Bado mdogo ila fimbo usitumie Sana mtandike mala Moja Moja ila nikwala iwe mingi,hata wakwangu nilikuwa namfungia ndani muda mwigi Sasa nikaona labda anawezakuwa mjinga nikimfungia nikamruhusu akacheze na wenzake Kila siku baada ya muda mfupi akaanza Tabia Mpya akawa hataki kutumia poti muda wa kunya anatafuta Kona ya nyumba anayamwaga,au unaweza Kuta kinyesi jikoni Kuna siku akakojoa ndani ya ndoo yaani akaanza vijitabia alivyovikuta kwa wenzake Kuna siku nilijamba kwa bahati mbaya mbele yake akaniambia nenda kanawe umekunya nikamchunia.
Sijui nimechekeshwa na komenti yako au jina lako😀😀. Anyways watoto tusio ishi nao wana changamoto sana ila cha ajabu ni kama kwa mama zao hamna shida kabisa.
 
naona na mods wameamua kufuta comment yangu ama ilikua offensive labda??
Kuna mods yule mweupe mnenemnene ni mchaga atakuwa amekasirishwa na sindano ya moto…!
 
Pia,jitahidi umwangalie wakati wakuogeshwa eneo la kutolea hajakubwa likosawa huko alikokuwa VIJANA hamnazo sana
 
Habari za humu wandugu, natumai wengi wenu hamjambo,

Mimi ni yule yule ndugu yenu niliyekimbia umande kusoma sikuona dili,

Kuna Uzi niliuletaga humu nikijisifia kuwa nimeweza kumlea mwanangu au kumfundiasha kuwa na tabia nzuri akiwa tu na Miaka miwili,

Sasa kuanzia mwezi wa 11. 2023 tulibahatika kutarajia kupata mtoto wa pili hivo kutokana na mambo kubana ili bidi nimsafirishe mke wangu mkoani kwao Kilimanjaro,

Sikumpeleka kwetu kutokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu, tokea mwezi wa 11 2023 nilimfuata baada ya kujifungua mwaka huu mwezi wa tatu ili bidi niwafuate,

Sasa kinachoniumiza kichwa kwa Sasa ni huyu mtoto wangu wa miaka miwili ni wa kiume, tabia yake imekuwa mbaya, mwanzoni hakuwa na hizo tabia,

Ukimpiga labda tu kakofi anakurudishia hasa mama yake

Kipindi cha nyuma hata nikija na zawadi anapokea na kuweka mezani halafu anarudi kwangu, sasa hivi ni anafungua hapo hapo na kama kinafaa kuliwa anaanza kula.

Siku hizi analia bila sababu hata akiomba kitu ukimwambia subiri anaanza kulilia mwanzoni hakuwa hivo,

Amekuwa mchoyo ukimpa kitu halafu ukaamua kukata anaanza kula mwanzoni hakuwa hivo,

Hata mchana nilikuwa nikimwambia alale alikuwa hamalizi dk15 anakuwa amesinzia lakini Sasa anajifunika shuka na kuanzia kukuchungulia,

Nilikuwa nikimpa kitu anasema Asante baba lakini kwa Sasa sioni tena akifanya hivo

Yaani kiujumla amekuwa mbishi, mama yake amekiri kuwa ni kweli mtoto amebadilika,

Hivo mm nimeamua kukaa na kiboko ndani nikimwambia kitu maramoja nikiona anajivutavuta, namtandika ya makalio au miguuni,

Je? Nipo sahihi au ni mbinu gani nitumie ili niweze kumrejesha kama mwanzoni hata kama itachukua muda mrefu, maana hakuna namna.

Nawasilisha.
Kaskazini si sehemu salama kwa makuzi ya mtoto lazima awe na mzazi imara sana sana..mtoto ataanza kutukana mapema,mtoto,mtoto unaweza kuta amelawitiwa wee hujui, anaweza vutishwa bangi au kurishwa mirungi kama mzazi hajasimama….bila kusahau mtoto wako anaweza kuanza kunyweshwa pombe akiwa mdogo kabisa kuwa makini…
Hizo tabia unaweza kumrekebisha huyo bado mdogo kabisa!
 
Back
Top Bottom