kwa maelezo yako kupata mtoto mlemavu ni laana ?Unaelewa maana ya ulemavu? Ni kuwa na kiungo ambacho hakiko kawaida au hakifanyi kazi kama inavyotarajiwa.
Swali la kijinga, ni sawa na kusema kwanini watu hawombi maradhi, no one need a misery life, but we accept it when no way out.
Unatumia kigezo cha imani gani?ulemavu sio kiungo tu hata utimamu
kwa ufupi ni kwamba kupata mtoto mlemavu ni laana ?
unakwepa sana swali kwa maelezo mengi,Unatumia kigezo cha imani gani?
Hata wanyama wanazaa wa watoto walemavu n.k
Ni suala la maumbile nionavyo
We laana unaitafsiri vipi?unakwepa sana swali kwa maelezo mengi,
watoto walemavu ni baraka au laana ?
Kwa nini uombe mlemavu? Kwani yeye anataka kuzaliwa hivyo?View attachment 2992733
kitu chenye baraka wengi hukiombea wakipate, kinyume chake watu huomba kiwaepuke
kama watoto ni baraka kwanini watu hawaombei kupata watoto wenye usonji, vipofu, bubu, viziwi, vilema wa viungo, n.k. ?
Kwa imani zetu huwa tunaamini Mungu anahusika kwenye uumbaji hivyo hata mlemavu ni kazi yake, akipanga uwe na mtoto mlemavu kuna tatizo ?Kwa nini uombe mlemavu? Kwani yeye anataka kuzaliwa hivyo?
You are Evading questions by asking questions, very weak approachWe laana unaitafsiri vipi?
SchupidYou are Evading questions by asking questions, very weak approach
nawaaga rasmi mkuu >> SOMA UZI HUU <<Mods wanafuta uzi, afu wanaurudisha kimya kimya ili ukose wachangiaji lakini isionekane kama wanakuonea gearbox