Mtoto niliyemkataa miaka 4 iliyopita, anafanana na mimi. Sasa ameletwa karibu na ninapoishi

Mtoto niliyemkataa miaka 4 iliyopita, anafanana na mimi. Sasa ameletwa karibu na ninapoishi

Yani mwanaume unaanzaje kukataa mtoto Yani Huwa mnajisikiaje
Mtoto kazaliwa unakula unalala vizuri kabisa huku damuyako Iko huko hujui mtoto anapitia changamoto gani anaishije aisee
Nimemuona huruma huyo mtoto Bora hata usiwe babaake
 
Yani mwanaume unaanzaje kukataa mtoto Yani Huwa mnajisikiaje
Mtoto kazaliwa unakula unalala vizuri kabisa huku damuyako Iko huko hujui mtoto anapitia changamoto gani anaishije aisee
Nimemuona huruma huyo mtoto Bora hata usiwe babaake
Duuh aisee
 
Nilishampaga million 1 mwaka 2020 nikamuambia tusijuane ila demu naona anafanya kama kunikomoa karudi tena huu mtaa
Usikurupuke sasa, chunguza taratibu unaweza kuta kuna mwanaume mwingine keshababatizwa hapo, na sasa Mama mtoto nae anatafuta namna ya kukuambia ili muyajenge nyinyi wawili!!
 
Usikurupuke sasa, chunguza taratibu unaweza kuta kuna mwanaume mwingine keshababatizwa hapo, na sasa Mama mtoto nae anatafuta namna ya kukuambia ili muyajenge nyinyi wawili!!
Hili nalo neno Asante kaka
 
Wanajamvi aisee nilimkataa mtoto miaka kama minne imepita.

Sasa ubaya leo kaja na mama yake sehemu ambayo karibu na kwangu, mtoto anafanana na mimi mpaka nimeona aibu nikaangalia pembeni.

Sasa ubaya mama yake sijui kafanya makusudi kahamia huu mtaa aisee yaani dogo bora asingefanana na mimi, ni noma.

Inapoelekea ndoa yangu itaharibika maana dogo anachezacheza na wenzake karibu na kwangu ubaya akija kuanza mazoea na wanangu naona kama nitaumbuka.

Nishaurini nifanyaje wadau.
okoa mtoto wako haraka kabla mkeo hajaingiwa na shetani.
 
Wanajamvi aisee nilimkataa mtoto miaka kama minne imepita.

Sasa ubaya leo kaja na mama yake sehemu ambayo karibu na kwangu, mtoto anafanana na mimi mpaka nimeona aibu nikaangalia pembeni.

Sasa ubaya mama yake sijui kafanya makusudi kahamia huu mtaa aisee yaani dogo bora asingefanana na mimi, ni noma.

Inapoelekea ndoa yangu itaharibika maana dogo anachezacheza na wenzake karibu na kwangu ubaya akija kuanza mazoea na wanangu naona kama nitaumbuka.

Nishaurini nifanyaje wadau.
Mchukue mwanao
 
Nikiona replies zako za jana 'tafuta hela' naona Bora akunyooshe tu cz ni kama bdo una akili za kitoto...sijui huo uanaume ulipewaje!!
 
Back
Top Bottom