Kwa nini asitibiwe hapa nchini wakati huwa anasema mama ameboresha kila kitu??
Lucas Mwashambwa ChoiceVariable FaizaFoxy
Kutibu ni swala Moja ipa Imani Kwa wanaotoa tiba ni swala jingine.

Nalvany alipoenda kutibiwa Germany ni kwamba Russia hakuna madaktari au vifaa tiba?

Ni hakika mama ameboresha sekta ya Afya kuliko yeyote kabla.
 
Sio drama tuu hiyo? Maana DAB anaweza hata ku act amekufa ili mradi apate milage katika media.
Lakini pia kwa tabia zake hayuko salama sana ndio maana kila siku drama za manabii na mashekhe haziishi
Ni kweli yaani huyo Jamaa Hamill kabisa,ana drama matata sana tena zinaweza kulenga kutafuta uhalali wa mambo kadhaa anayoyajua yeye.
 
Mambo ya hovyo pia na ya kudhalilisha watu aliyafanya tangu kipindi cha Kikwete sio awamu ya 5 tu !
 
Naombeni site ya kudownload full movie free za makampuni ya movie kama universal pictures
 
Hii ngumu kumeza 😎 😎 😎
 
Aaah, una uhakika? Fikiria Trump akisikia Biden kashikwa na busha la ghafla au tumbo la kuharisha damu, atamtumia kadi ya geti weli suni?
Ndiyo tena sana, kwani hukusikia alichofanya Biden kwenye shambulio la Trump?
 
Inaonekana swala la kukuta mke wake kaolewa na mtu mwingine ULIPA UZITO NALO! HIKI KIZAZI HIKI?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…