iamwangdamin
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 864
- 1,798
Comrade Makonda , yuko salama kabisa. Tuchape kazi.Namuombea tu asijekutwa na yale taliyomuondoa mzee wetu
Aliyeleta uzi huu ni mccm mwenzenuComrade Makonda , yuko salama kabisa. Tuchape kazi.
KAZI INAENDELEA. MITANO TENA KWA MAMA SAMIA.
2025 CCM ITALETA VIJANA NA SURA MPYA NYINGI. TUMUUNGE MKONO
MAKONDA NA VIONGOZI WENGINE WENGI .
WAPINZANI WAMEBAKI KUENEZA CHUKI NA TETESI ZISIZO NA MSINGI.
Uko stressed ? MAKONDA IS A PAIN KILLER. MNAMEZA DOZI YAKE KUTWA MARA NANE. YUPO SANA. NGOMA NI BAMPA TO BAMPA .Aliyeleta uzi huu ni mccm mwenzenu
Inawezekana kabisa !Paulo makonda yupo dubai anakula maisha, nyie endeleeni na drama zenu.
Niwe stressed kwa hilo nyamitako? Are you serious?Uko stressed ? MAKONDA IS A PAIN KILLER. MNAMEZA DOZI YAKE KUTWA MARA NANE. YUPO SANA. NGOMA NI BAMPA TO BAMPA .
Hizo ni habari za Akina chakaramu, habari za vijiwe kwamba alipotoka kwenye Pikipiki, wakaendankwenye msosi, hapohapo akalishwa.Walipokwenda dinner hapo hapo mtu akalishwa sumu.Imenikumbusha yule mrusi Alexander Litvinenko .Watu waliompa sumu ni marafiki zake kabisa aliofanya nao KGB kabla hajakimbilia London.Wakampigia simu waonane waongee kumbe wanakwenda kumpa sumu. Alikula hiyo sumu tarehe 1 Novembre. Tarehe 26 Novembre akafa. Ilikuwa 2006.
Hapo umezungumza kama RC inaweza kuwa kweli ni mdogo....kiasi kwamba dola haiwez fanya makeke...kumbuka Tz RC sio yeye tu...wapo wengi? Y yeye?...labda nikupe taarifa ndogo tuu...Tuombee Mungu awe salama...vinginevyo cjui...huku kwenye mitandao ni tofauti sana na nje ya mitandao...Mh Rc nje ya mitandao ana attension kubwa sana ya wananchi....yaan pale kwenye uenezi alimaliza kila kitu...na ndio usalama wake ulipo...kiasi kwamba likitokea lolote baya juu yake....kuna mistari itachorwa kwa wananchi...isifike mahali wananchi waka draw lines ya introduction na conclution kuwa sehemu moja huku refference wakichukua miaka 3 iliyopita...๐น๐ฟ๐๐พMakonda kama RC, ni mtu Mdogo sanaaaaa ambaye Kifo chake kutangazwa hakihitaji Dola ikae ijadili.
SUMU ni kweli kalishwa, ila Habari njema ni kwamba, ANAENDELEA VIZURI.
tukutane 2025, na Makonda.
Masikini weeee kaenda kukamuliwa mbegu kama ng'ombe kisha zikarutubishwe kwenye maabara. Ndiyo maana yule Keagan ana vimelea vya kifilipinoHuyu hajaenda kufanya IVF kweli?
Andika Kiswahili tu, Kingereza hujuwi.Hapo umezungumza kama RC inaweza kuwa kweli ni mdogo....kiasi kwamba dola haiwez fanya makeke...kumbuka Tz RC sio yeye tu...wapo wengi? Y yeye?...labda nikupe taarifa ndogo tuu...Tuombee Mungu awe salama...vinginevyo cjui...huku kwenye mitandao ni tofauti sana na nje ya mitandao...Mh Rc nje ya mitandao ana attension kubwa sana ya wananchi....yaan pale kwenye uenezi alimaliza kila kitu...na ndio usalama wake ulipo...kiasi kwamba likitokea lolote baya juu yake....kuna mistari itachorwa kwa wananchi...isifike mahali wananchi waka draw lines ya introduction na conclution kuwa sehemu moja huku refference wakichukua miaka 3 iliyopita...๐น๐ฟ๐๐พ
"Hujuwi" ndio nini?Andika Kiswahili tu, Kingereza hujuwi.
Ndiyo hujuwi."Hujuwi" ndio nini?