Mtoto pendwa yuko hoi sana sana sana yaani hoi, inasemekana yuko kwa Madiba, je ni hali ya kawaida au kuna cha zaidi?

Nimekumbuka beirut na kupotea kwa Saa 9 kwa kuliwa na Chatu.

Britanicca.
Ukiona hivyo ujue alivutwa ili amaliziwe, na ili kuwapumbaza watu ikabidi wale jamaa wawili watumbuliwe, kimaigizo
 
Saa mbovu nazo husema kweli sometime. Usinielewe vibaya ila we are human don't forget
 
Mtoto pendwa yuko hoi sana sana sana yaani hoi, inasemekana yuko kwa Madiba, je ni hali ya kawaida au kuna cha zaidi?

Nimekumbuka beirut na kupotea kwa Saa 9 kwa kuliwa na Chatu.

Britanicca.
Siku hizi kila usemacho nakizingatia, ila watoto pendwa ni wengi, who is who?.
Ni yule wa ... Makabila au yule ... wa Dala Dala?.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…