Leonce jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2023
- 1,815
- 2,651
GwandileeeKatika wale waliopanga uovu dhidi ya Lissu nani mwingine kabaki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
GwandileeeKatika wale waliopanga uovu dhidi ya Lissu nani mwingine kabaki
Itaonekana serkali ni ya hovyo sana na kutakuwa na mgawanyiko mkubwa sana kitaifa!Well said. Mama inabidi asimame kidete aisee
Code easy sana.. co-worker wa dereva hasa daladala.Fungua code hii!! Hata tuliosoma Cuba tumeshindwa
Itakuwa mbaya kwa serikali ya samia atachafuka sana itathibitika uhusika kwa jpmTuombe awe mzima! Ina maana mtu alomtega sumu kamfatilia siku nyingi!
Ila jamaa kama atapona na Samia atakua kakerwa sana na hili na atakuwa anajua wahusika!
Niambie basi ni naniNi mda hajaskika
Mac ConderNiambie basi ni nani
Kwenye Moja Na Mbilibritanicca again.
Mama hata yeye yuko hatarini maana kuna kundi halilali usiku na mchana!Itakuwa mbaya kwa serikali ya samia atachafuka sana itathibitika uhusika kwa jpm
Unazungumzia sukuma gang mkuu. Mbona tulisikia baada ya tenguzi za juzi kuna watu wanaenda kulamba asali kutoka sukuma gangMama hata yeye yuko hatarini maana kuna kundi halilali usiku na mchana!
Aese kama unavyosema itakuwa hatari sana na kashfa kubwa sana kwa Mama na team Msoga!
Na hata sasa mkuu nikimuwaza spika wa bunge aliepita nazani atakuwa anachekea chooni muda huu. Kuwa mama mambo yatamwendea komboItaonekana serkali ni ya hovyo sana na kutakuwa na mgawanyiko mkubwa sana kitaifa!
Sukuma gang ndo akina Makonda hao na watu wa kanda ya ziwa! Watu wanauchungu sio poa japo hawaongei!Unazungumzia sukuma gang mkuu. Mbona tulisikia baada ya tenguzi za juzi kuna watu wanaenda kulamba asali kutoka sukuma gang
Ndio naelewa najua watapata zaidi cha kuongea na kukazia yaani me namuomba Mungu taarifa ziwe za kweli ila apone au ziwe za uzushi tuSukuma gang ndo akina Makonda hao na watu wa kanda ya ziwa! Watu wanauchungu sio poa japo hawaongei!
Basi kala Kasa mwenye Sumu.what if ni Abdul