Tetesi: Mtoto pendwa kapatwa na nini? Yuko hoi kwa Madiba, inadaiwa ni sumu
Jamaa aliwakosea nini...?? Hata ikitokea Hatunae unafaidika na nin?? Binadamu hatujakamilika...kuna mazur kafanya na kuna mengine kakengeuka kiasi...kimtazamo...TZ rais akiwa hata Mungu bado lawama tu...kizaz cha hovyo na husda plus choyo...
 
Back
Top Bottom