MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
View attachment 2657675Mtoto wa mchezaji kinda wa Yanga Clement Mzinze (19), (jina kapuni) amepongezwa na ukurasa rasmi wa shule yake kwa kufanya vizuri katika mtihani wa darasa la nne wa katikati ya mwaka kwa kupata A nne na B pekee.
Itakumbukwa kuwa mtoto huyu sio wa Kwanza kufanya vizuri kwani kipindi Cha nyuma watoto wa Kaseke na Mohamed Banks wamewahi kufanya maajabu shuleni kipindi Cha nyuma.
Sidhani kama Wema kafikisha miaka 28. Nimeangalia rekodi kwa sasa ama miaka 24. Bado binti mdogo. Ila ikitokea tukakutana na wema barabarani ama mgahawani ama popote, akitokea kwa bahati mbaya tu akanikonyeza ama kunionyesha ishara yoyote ile namfungulia mashtaka ya udhalilishaji.Hakuna watu wanajua kudanganya Umri kama Wacheza mpira na Wasanii.
Kweli Wema Sepetu wa kuwa na miaka 28 hadi leo hii π
Juma Nature ndiyo wa kuwa na Miaka 37 mtu yupo kwenye usanii tangu miaka ya 90 π€
Kweli Bongo Nyosso π
Mkuu wameomba wasikilizwe kuwa wana hiyo miaka, sasa sisi ni nani mpaka tuwapinge?Hakuna watu wanajua kudanganya Umri kama Wacheza mpira na Wasanii.
Kweli Wema Sepetu wa kuwa na miaka 28 hadi leo hii [emoji4]
Juma Nature ndiyo wa kuwa na Miaka 37 mtu yupo kwenye usanii tangu miaka ya 90 [emoji848]
Kweli Bongo Nyosso [emoji119]
Ndo kusema mbuzi kala koti sio [emoji1787]Sidhani kama Wema kafikisha miaka 28. Nimeangalia rekodi kwa sasa ama miaka 24. Bado binti mdogo. Ila ikitokea tukakutana na wema barabarani ama mgahawani ama popote, akitokea kwa bahati mbaya tu akanikonyeza ama kunionyesha ishara yoyote ile namfungulia mashtaka ya udhalilishaji.
Nature 37 wamemzidishia, nature mwaka 2001 anaimba mzee wa busara alikua na miaka 11, sasa hivi 37 kaipataje?
Andika tu mkuu mbele me nitajaziaduu
sion chakuandika ata
Trust me, Afrika uchawi upo.View attachment 2657675Mtoto wa mchezaji kinda wa Yanga Clement Mzinze (19), (jina kapuni) amepongezwa na ukurasa rasmi wa shule yake kwa kufanya vizuri katika mtihani wa darasa la nne wa katikati ya mwaka kwa kupata A nne na B pekee.
Itakumbukwa kuwa mtoto huyu sio wa Kwanza kufanya vizuri kwani kipindi Cha nyuma watoto wa Kaseke na Mohamed Banks wamewahi kufanya maajabu shuleni kipindi Cha nyuma.
SI kweli, Wema alishajitoa kwenye mambo ya miaka na mara ya mwisho kuhesabu miaka aliishia miaka 26πSidhani kama Wema kafikisha miaka 28. Nimeangalia rekodi kwa sasa ama miaka 24. Bado binti mdogo. Ila ikitokea tukakutana na wema barabarani ama mgahawani ama popote, akitokea kwa bahati mbaya tu akanikonyeza ama kunionyesha ishara yoyote ile namfungulia mashtaka ya udhalilishaji.
Nature 37 wamemzidishia, nature mwaka 2001 anaimba mzee wa busara alikua na miaka 11, sasa hivi 37 kaipataje?