Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaah🤣🤣🤣🤣Umenikumbusha msimu wa kombe la duniaView attachment 2657723
Hahahahah jamaa mnafiki wwSidhani kama Wema kafikisha miaka 28. Nimeangalia rekodi kwa sasa ama miaka 24. Bado binti mdogo. Ila ikitokea tukakutana na wema barabarani ama mgahawani ama popote, akitokea kwa bahati mbaya tu akanikonyeza ama kunionyesha ishara yoyote ile namfungulia mashtaka ya udhalilishaji.
Nature 37 wamemzidishia, nature mwaka 2001 anaimba mzee wa busara alikua na miaka 11, sasa hivi 37 kaipataje?
Hii ni fix, vicent ni ana miaka 30+.. japo hapo pia kaongopa lakini hajasema kuwa ana 22, yaani mwaka huu awe na23.. data hazisemi hivyoUmenikumbusha msimu wa kombe la duniaView attachment 2657723
Nature anaimba akiwa kwenye early twenties mimi niko darasa la pili....leo bwamkubwa ninabibirishana naye umri....[emoji1787][emoji1787]Hakuna watu wanajua kudanganya Umri kama Wacheza mpira na Wasanii.
Kweli Wema Sepetu wa kuwa na miaka 28 hadi leo hii [emoji4]
Juma Nature ndiyo wa kuwa na Miaka 37 mtu yupo kwenye usanii tangu miaka ya 90 [emoji848]
Kweli Bongo Nyosso [emoji119]
[emoji1787][emoji1787]Sidhani kama Wema kafikisha miaka 28. Nimeangalia rekodi kwa sasa ama miaka 24. Bado binti mdogo. Ila ikitokea tukakutana na wema barabarani ama mgahawani ama popote, akitokea kwa bahati mbaya tu akanikonyeza ama kunionyesha ishara yoyote ile namfungulia mashtaka ya udhalilishaji.
Nature 37 wamemzidishia, nature mwaka 2001 anaimba mzee wa busara alikua na miaka 11, sasa hivi 37 kaipataje?
Umenikumbusha msimu wa kombe la duniaView attachment 2657723
Ghafla anataka kuwa age mate wako wakati alikupita zaidi ya miaka 15 😅Nature anaimba akiwa kwenye early twenties mimi niko darasa la pili....leo bwamkubwa ninabibirishana naye umri....[emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hahaha........kwahiyo hata kama walitupita umri kwahiyo ndiyo tupokee shikamoo zao 🤪🙌Mkuu wameomba wasikilizwe kuwa wana hiyo miaka, sasa sisi ni nani mpaka tuwapinge?
Hatari sanaaaa [emoji1787][emoji1787]Ghafla anataka kuwa age mate wako wakati alikupita zaidi ya miaka 15 [emoji28]
😅😅😅
Camavinga je ilisemekana ana miaka 19 siku wanashinda champions League mtoto wake akaingia Uwanjani...baadae akasema mtoto wa Dada yake 😅Umenikumbusha msimu wa kombe la duniaView attachment 2657723
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Camavinga je ilisemekana ana miaka 19 siku wanashinda champions League mtoto wake akaingia Uwanjani...baadae akasema mtoto wa Dada yake [emoji28]
Hta jf Kuna vilazaDuh,hyo shule itakuwa ni mbovu mnooo,je wangekuwa na mtoto wangu aliyegonga A zote wangefanyaje?
Hilo ni tangazo tu kwamba hata watoto wa mastaa wanasoma shule hyo hata kama ni vilaza ili wazazi vilaza wavutike