Kommando muuza madafu
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 3,216
- 7,254
HahaaaaaaHakuna watu wanajua kudanganya Umri kama Wacheza mpira na Wasanii.
Kweli Wema Sepetu wa kuwa na miaka 28 hadi leo hii π
Juma Nature ndiyo wa kuwa na Miaka 37 mtu yupo kwenye usanii tangu miaka ya 90 π€
Kweli Bongo Nyosso π
Hatari na Β½View attachment 2657675
Mtoto wa mchezaji kinda wa Yanga Clement Mzinze (19) (jina kapuni) amepongezwa na ukurasa rasmi wa shule yake kwa kufanya vizuri katika mtihani wa darasa la nne wa katikati ya mwaka kwa kupata A nne na B pekee.
Itakumbukwa kuwa mtoto huyu sio wa Kwanza kufanya vizuri, kwani kipindi cha nyuma watoto wa Kaseke na Mohamed Banks wamewahi kufanya maajabu shuleni kipindi cha nyuma.
π π πHahaaaaaa
I don't know what stresses me more, the fact that father is 19 years old &the son is in standard four, or the fact that the boy passed standard 4 and you have to advertise it JfView attachment 2657675
Mtoto wa mchezaji kinda wa Yanga Clement Mzinze (19) (jina kapuni) amepongezwa na ukurasa rasmi wa shule yake kwa kufanya vizuri katika mtihani wa darasa la nne wa katikati ya mwaka kwa kupata A nne na B pekee.
Itakumbukwa kuwa mtoto huyu sio wa Kwanza kufanya vizuri, kwani kipindi cha nyuma watoto wa Kaseke na Mohamed Banks wamewahi kufanya maajabu shuleni kipindi cha nyuma.
Hivi kwanini tunawaonea wivu wenye umri mdogo?[emoji23]Hakuna watu wanajua kudanganya Umri kama Wacheza mpira na Wasanii.
Kweli Wema Sepetu wa kuwa na miaka 28 hadi leo hii [emoji4]
Juma Nature ndiyo wa kuwa na Miaka 37 mtu yupo kwenye usanii tangu miaka ya 90 [emoji848]
Kweli Bongo Nyosso [emoji119]
Inshu ni kwamba huyo Mzize ana miaka 19 mtoto wake wa darasa la nne ana miaka let say 10,ina maana huyo Mzize alimpata huyo mtt akiwa na na ten years?Duh,hyo shule itakuwa ni mbovu mnooo,je wangekuwa na mtoto wangu aliyegonga A zote wangefanyaje?
Hilo ni tangazo tu kwamba hata watoto wa mastaa wanasoma shule hyo hata kama ni vilaza ili wazazi vilaza wavutike
Wewe ni kucheka tuuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hatar sana bossCamavinga je ilisemekana ana miaka 19 siku wanashinda champions League mtoto wake akaingia Uwanjani...baadae akasema mtoto wa Dada yake [emoji28]
Haiwezekani agemates wadanganye Umri wakati wapo waliosoma nao au kukuwa nao πHivi kwanini tunawaonea wivu wenye umri mdogo?[emoji23]
Hakuna aliye lazimisha wazazi wetu watombane mapema.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Camavinga je ilisemekana ana miaka 19 siku wanashinda champions League mtoto wake akaingia Uwanjani...baadae akasema mtoto wa Dada yake [emoji28]