halafu eti wakaambiwa ubalozi wa tembo unamtosha...hahahahahaaa sio kwa ujungu huu wa mleta mada.Hii thread nimecheka afu itakua source ni yeye mwenyewe, nmecheka part ya wema na jokate kwenda kuwatafutia watoto wa kiba nafasi lol
Haha watu noma adi uongo wanapinga 😀😀😀😀😀Huu ni udaku tu wa kuchangamsha jukwaa.....relaxxxx
Jamaa amenivunja mbavu na hii thread afu anamalizia kwa kuweka source et familia ha ha ha ha haHaha watu noma adi uongo wanapinga 😀😀😀😀😀
Mi nimemuelewa sana... anakabiliwa na kaugonjwa ka Alikibaism.... kama si hako ka ugonjwa basi atakuwa mchepuko wa AliKiba uliopigwa chini... yani mambo flani ya wivu na ukisasi wa kikeLaiti mngemuelewa mtoa mada wala msingeanza kuleta maelezo marefuu yasiyo na msingi
Nimechangia nimevutiwa mie pia nitaenda kutafuta nafasi hapo hiyo shule ya IST sijui Toyota hapo hapo tu umeelewaMi nimemuelewa sana... anakabiliwa na kaugonjwa ka Alikibaism.... kama si hako ka ugonjwa basi atakuwa mchepuko wa AliKiba uliopigwa chini... yani mambo flani ya wivu na ukisasi wa kike
Mtoto wa Diamond kupata ubalozi wa shule kuna uhusiano gani na Ali Kiba??
Hivi Evelyn Salt kashachangia hii chai maharage?
Anzisha mada ya kumchafua Wema Sepetu. Nasikia alikunyang'anya buzi lakoNimechangia nimevutiwa mie pia nitaenda kutafuta nafasi hapo hiyo shule ya IST sijui Toyota hapo hapo tu umeelewa
Naskia simu ya samatta imekutwa na 9 missed calls na 1 received call zote hizo ni za wema sepetu ha ha haAnzisha mada ya kumchafua Wema Sepetu. Nasikia alikunyang'anya buzi lako
Ndo umeanza kumchafua au nisubiri kidogo?Naskia simu ya samatta imekutwa na 9 missed calls na 1 received call zote hizo ni za wema sepetu ha ha ha
Sikujua kama unampenda wema kiasi hiki hadi nimeanza kukuhisi we ni IdrisNdo umeanza kumchafua au nisubiri kidogo?
Sisi sio macelebritiesKICHEKESHO ATI WATU WANA TALK OVER A DAUGHTER OF......
SUNGUMSIENI JUU YA WATOTO WENU PUMB..........!
ii
kwa hizi anaweza akamudu bila ubalozi maana alidai kwa shoo anatoza sh mil 10
View attachment 316322
source:https://www.istafrica.com/uploaded/...14-15/Fee_Schedule_Guidelines_SY_2014-15a.pdf
Sidhani kama mtoa mada amejihangaisha kufika huku kote wakati anacreate scene!! Kwakifupi umemuova doseNa hiyo shule haina haja ya kujitangaza, eti sijui ubalozi au nini...
Wanasema kizuri chajiuza kibaya chajitembeza... Kama Diamond atampeleka hapo huyo mtoto basi atamlipia ada na si kwamba atamsomesha bure...
After all, Diamond is irrelevant kwa watu ambao wanapeleka watoto hapo... Sidhani kama Mengi, Manji, Mafuruki, Dewji, Mabalozi na Wafanyabiashara wakubwa hapa mjini watapeleka watoto hapo eti sababu tu Mtoto wa Diamond anasoma...
Happy New Year jiraniHappy New Year.
Nimecheka sana!Naskia simu ya samatta imekutwa na 9 missed calls na 1 received call zote hizo ni za wema sepetu ha ha ha
huo msaada uloomba ebu peleka kule jukwaa la biashara na uchumi,hapa sio pahala pake,utapotezwa aise!Inawezekana ngoja tuone asee natafuta mtu Mwenye uelewa Wa uchimbaji Wa madini kuhusu utaratibu oko je mkuu ili uweze kuwekeza plz naomba tuwasiliane tunaitaji kufungua copuny 0766090956