Mtoto wa Diamond (Tiffah), apata dili jipya la kusoma bure

Mtoto wa Diamond (Tiffah), apata dili jipya la kusoma bure

Sidhani kama mtoa mada anaijua shule ya IST (International School Tanganyika)...? Kwanza hiyo shule ni kwa ajili ya watoto wa wanadiplomasi tu, shule iyo ilikuwa na watoto kutoka familia 3 ambao ni watanzania. Kuna mtoto wa Bharessa, watoto wa Rastom Azizi (walikuwa hapo, baada ya ile kashfa akawahamisha), pia na kuan mangi mmoja yupo Zimbabwe anasomesha watoto wake hapo.

Criteria za kusomesha mtoto
1. Lazima uwapatie bank statement, ili wawe na uhakiki hutosumbua ada na michango mingine
2. Bank account iwe na kuanzi bilion 15 na kuendelea
3. Uwe mtoto wa Balozi, au mwambata ndani ya ubalozi husika, au mfanyakazi wa UN

Huyo Tiffah hapo awezi kanyaga, wala hiyo shule haina utamaduni wa kujitangaza, na ukienda pale kuna watoto kibao...mpaka nafasi hakuna
Mkuu ina maana kila balozi ana bil 15 na kuendelea kwenye acc yake?
... Ada yake sh ngapj mpaka wabongo wasiweze kumudu
 
Sidhani kama mtoa mada anaijua shule ya IST (International School Tanganyika)...? Kwanza hiyo shule ni kwa ajili ya watoto wa wanadiplomasi tu, shule iyo ilikuwa na watoto kutoka familia 3 ambao ni watanzania. Kuna mtoto wa Bharessa, watoto wa Rastom Azizi (walikuwa hapo, baada ya ile kashfa akawahamisha), pia na kuan mangi mmoja yupo Zimbabwe anasomesha watoto wake hapo.

Criteria za kusomesha mtoto
1. Lazima uwapatie bank statement, ili wawe na uhakiki hutosumbua ada na michango mingine
2. Bank account iwe na kuanzi bilion 15 na kuendelea
3. Uwe mtoto wa Balozi, au mwambata ndani ya ubalozi husika, au mfanyakazi wa UN

Huyo Tiffah hapo awezi kanyaga, wala hiyo shule haina utamaduni wa kujitangaza, na ukienda pale kuna watoto kibao...mpaka nafasi hakuna

Mkuu sijui labda hiyo data ulotoa ni pindi inaanzishwa naweza kukubaliana na wewe ila kwasasa sio ivo ina watoto wengi tuu wenye uwezo wao wa kati hata wafanya biashara kkoo pia baadhi wanawatoto pale.
 
Sidhani kama mtoa mada anaijua shule ya IST (International School Tanganyika)...? Kwanza hiyo shule ni kwa ajili ya watoto wa wanadiplomasi tu, shule iyo ilikuwa na watoto kutoka familia 3 ambao ni watanzania. Kuna mtoto wa Bharessa, watoto wa Rastom Azizi (walikuwa hapo, baada ya ile kashfa akawahamisha), pia na kuan mangi mmoja yupo Zimbabwe anasomesha watoto wake hapo.

Criteria za kusomesha mtoto
1. Lazima uwapatie bank statement, ili wawe na uhakiki hutosumbua ada na michango mingine
2. Bank account iwe na kuanzi bilion 15 na kuendelea
3. Uwe mtoto wa Balozi, au mwambata ndani ya ubalozi husika, au mfanyakazi wa UN

Huyo Tiffah hapo awezi kanyaga, wala hiyo shule haina utamaduni wa kujitangaza, na ukienda pale kuna watoto kibao...mpaka nafasi hakuna
Mbn alipeleka watoto wawili walishinda shindano la kucheza ngololo????
 
dawa yako ww ni LeBron tu,kwani kuna tofauti gani kati ya boys' club na club of boys
Hakuna shule inaitwa TIS bali kuna shule inaitwa IST.. Yaani International School of Tanganyika...
 
TIS ndo shule gani hiyo?? Mimi najua kuna International School of Tanganyika (IST)
 
Hahahaaaa
...Mkuu umeniacha hoi tu kwa huo uandishi, nimecheka kinyama yani.
 
Watanzania wana vituko,nahisi aibu kujitangaza mtanzania

Ni walio Baki huko home hapa DRC watanzania wanaheshimika sana hasa watoto wa Magufuli aka TPDF wametupa maujiko balaa. Ukimwaga kiswahili cha mterezo wanajua wewe unatoka Kule blessed country Tanzania. Hata kama umenyololoka wao wanajua uko strong kama vijana was Mwamunyange
 
Hii thread nimecheka afu itakua source ni yeye mwenyewe, nmecheka part ya wema na jokate kwenda kuwatafutia watoto wa kiba nafasi lol
Hiyo ya barger saa nane na mapumziko kwa kengele ya umeme halafu swimming pool kama la olympic ...hakika nimecheka sana...Jf kuna vituko sana
 
teh teh teh huyo Lebron nilimfua kwenye finals na majuzi pia nimemfua nikaaribu X-mas yake...
hahaha haaha lile lijamaa linavuta upepo kidogo,lkn ndo liMVP lenu hilo, Curry huo msimu wako wa mwisho kushine
 
Sidhani kama mtoa mada anaijua shule ya IST (International School Tanganyika)...? Kwanza hiyo shule ni kwa ajili ya watoto wa wanadiplomasi tu, shule iyo ilikuwa na watoto kutoka familia 3 ambao ni watanzania. Kuna mtoto wa Bharessa, watoto wa Rastom Azizi (walikuwa hapo, baada ya ile kashfa akawahamisha), pia na kuan mangi mmoja yupo Zimbabwe anasomesha watoto wake hapo.

Criteria za kusomesha mtoto
1. Lazima uwapatie bank statement, ili wawe na uhakiki hutosumbua ada na michango mingine
2. Bank account iwe na kuanzi bilion 15 na kuendelea
3. Uwe mtoto wa Balozi, au mwambata ndani ya ubalozi husika, au mfanyakazi wa UN

Huyo Tiffah hapo awezi kanyaga, wala hiyo shule haina utamaduni wa kujitangaza, na ukienda pale kuna watoto kibao...mpaka nafasi hakuna

Chaaa sio kwa uongo huo
Watu kibao mbona wana watoto hapo.... eti uonyeshe bank statement
 
Back
Top Bottom