Pia kuonesha kwamba kwa watu wengine University Education is a ScamKuonesha kwamba elimu ya chuo namba 1 duniani sio ishu kwa watu wengine.. elimu ya watoto wao inatolewa kwa malengo wanayoyahitaji kama familia
Unapewa ukiwa kichwa cha uhakika tena bila ya kuomba. Wao wanaona ni prestige kuwa na mwanafunzi mwenye uwezo fulani ambao baadae utaleta sifa kwa chuo husika.Yaani MIT wakupe scholarship bila kuiomba?
Niambie aliiomba hapo sawa, ila sio kwamba walimpa tu bila yeye kuomba. Inawezekana ndio ni kichwa sio kwa kiasi hicho unavompamba.
Yes, MIT ni one of the best duniani lakini hakipo Ivy league!Tangu shule ya IST imeanzishwa hakujawai kutokea mwanafunzi wa ki Tanzania aliyekataa full ride scholarship ya chuo kikuu cha ivy league zaidi ya huyo mtoto wa Gullam Dewji.
Wachangamkie fursa kwa mujibu wa sheria na katibaSababu wenye nchi mko busy na mambo ya kijinga wao wanachangamkia fursa
sawa lakini inategemea na aina ya Elimu ambayo wazazi walitaka asome ili aweze kufiti ktk usimamizi wa Biashara.Sioni cha ajabu chochote.
Ingekua maajabu kama angekataa scholarship halafu akaanza sifuri, siyo kusimamia biashara za home.
Mbona Bakhresa watoto wake walisoma ndio wakarudi kwenye biashara za Baba yake.
Hata Mo dweji alienda shule Kwanza ndio akarudi kwenye biashara
wapo wakina mkude...Ada milioni 70 kwa mwaka. Utegemee kukuta mzaramo ama mmakonde ?
India wako vizuri sana kwenye elimu. Kwa mfano engineering, medicine, computer, mathematics, administration etc. Kuna ma CEO wengi Wahindi makampuni makubwa ya Marekani mfano Google etcYaaani mtu aache kwenda kusoma kwenye elimu bora aende India? Mbona baba zake hawakwenda India? India ni kama bongo tu hakuna elimu kule
Kuna Wahindi na Waarabu Watanzania hata huko India na Uarabuni hawajawahi kwendaNi upuuzi kuwapa fursa ya madaraka,hao sio Watz ndio maana wako na mahaba na India kwao kuliko Tanzania..
Huku wanachuma.kama shamba la Bibi tuu.
Yaaani mtu aache kwenda kusoma kwenye elimu bora aende India? Mbona baba zake hawakwenda India? India ni kama bongo tu hakuna elimu kule
hizi sio chai kweli?
Umaskini na Roho mbaya ni kama Uji na mgonjwa, lini uliona wamevunja sheria na wakaachwa. Chuki dhidi ya watanzania wenye asili ya India wanaofanya biashara ambazo wewe huwezi kuzifanya kama wao haitakusaidia chochote katika kutatua matatizo uliyonayo.Wachangamkie fursa kwa mujibu wa sheria na katiba
Na wakienda wanakuwa wageni kama sisi tu. Tatizo kubwa wengi hawajui hiloKuna Wahindi na Waarabu Watanzania hata huko India na Uarabuni hawajawahi kwenda
Asiyewajua wahindi hawezi kukuelewaAlienda India kufundishwa biashara au kubebeshwa tunguri ili asimamie biashara
Na nyie nendeni Vijijini kwenu mkapewe dawa muwe matajiri.Asiyewajua wahindi hawezi kukuelewa
Kaza fuvuNa nyie nendeni Vijijini kwenu mkapewe dawa muwe matajiri.
Af kama hujui Gullamabbas ndo baba yake Mo!! Huyu Arwa sidhani kama ana uhusiano na kina Mo!! Labda kama ni mtoto wa Murtaza!! Au majina tu yanafananaHabari wadau.
Wahindi wapo makini sana na biashara zao. Watoto wao wanasomeshwa kwa malengo yao tu.
Mtoto wa kaka yake na Mo dewji ambaye anaitwa Gullam Dewji alikuwa kichwa kweli kweli katika shule ya kishua ya IST.
Alipomaliza high school alifanya vizuri sana katika mtihani wake wa SAT na ACT ambayo scores zake ndizo kipimo kinatumika kuingia vyuo vikubwa marekani na vyuo vikuu vya nchi kubwa zilizoendelea kama oxfords etc. Maksi alizopata chuo kikuu namba 1 duniani kinachoitwa MIT kilimpa admission with full ride scholarship.. yaani kila kitu buree kazi yake kusomaa tu.
Cha kushangaza mtoto huyo alikataa hiyo offer ya MIT kwa sababu alipaswa aende kufundishwa jinsi ya kuendesha biashara za familia yao huko nchini india.
Tangu shule ya IST imeanzishwa hakujawai kutokea mwanafunzi wa ki Tanzania aliyekataa full ride scholarship ya chuo kikuu namba moja duniani zaidi ya huyo mtoto wa Gullam Dewji.
Najiuliza tu hivi kuna mzazi Tanzania ama Mtoto anaweza kataa mwanae asiende kusoma hata udsm tu sababu anapaswa kufundishwa biashara ya familia ?
ARWA GULLAM ABASS DEWJI alishangaza mpaka walimu wa IST kwa hiyo jeuri.
View attachment 2337842