Mtoto wa Gullam Dewji alikataa full scholarship ya kusoma MIT baada ya kuongoza shule IST mwaka 2007 sababu akafunzwe kuendesha biashara zao India

Mtoto wa Gullam Dewji alikataa full scholarship ya kusoma MIT baada ya kuongoza shule IST mwaka 2007 sababu akafunzwe kuendesha biashara zao India

Na kuna watu watamsifia. Kwani kama angesoma chuo then akimaliza ndo akasomee kusimamia vya ndugu angepungukiwa nini
 
Jamii ya Waasia wana mtazamo tofauti sana wa elimu ya Chuo tofauti na sisi Wamatumbi. Ndio maana hata hapa kwetu wengi wakimaliza form Six ni nadra sana kuwakuta wanahangaika kwenye vyuo vyetu hivi na hata wale wachache wanaofanikiwa kuingia kwenye hivi vyuo vyetu mara nyingi kuna aina fulani ya Course wanazosoma na hata wakimaliza huwezi kuwakuta wanahangaika na bahasha za Kaki kama sie.
Hata wasomali pia. Wafuate pale Kariakoo mwenye maduka yao ya Computer wachokoze hata na English tu ndio utashangaa hata usijue wamesomea wapi na lini.. Kuna ujanja ambao wenzetu wanao sisi bado hatuna.
Tujitafakari
Yes nilisoma na baadhi chuo kikuu aisee walikuwa wanasoma Marketing, accaunting na Law
 
Jamii ya Waasia wana mtazamo tofauti sana wa elimu ya Chuo tofauti na sisi Wamatumbi. Ndio maana hata hapa kwetu wengi wakimaliza form Six ni nadra sana kuwakuta wanahangaika kwenye vyuo vyetu hivi na hata wale wachache wanaofanikiwa kuingia kwenye hivi vyuo vyetu mara nyingi kuna aina fulani ya Course wanazosoma na hata wakimaliza huwezi kuwakuta wanahangaika na bahasha za Kaki kama sie.
Hata wasomali pia. Wafuate pale Kariakoo mwenye maduka yao ya Computer wachokoze hata na English tu ndio utashangaa hata usijue wamesomea wapi na lini.. Kuna ujanja ambao wenzetu wanao sisi bado hatuna.
Tujitafakari
Sisi tunawaza tukakae offisini
 
Pesa anayoipoteza kwenye full scholarship ni ipi?

Wapi nimesema anapoteza pesa? Nimesema hawapendi kupoteza muda.. kwao muda una thamani kubwa ndio maana wakaona kwenda MIT ni kupoteza muda kwa kusomea vitu ambavyo hawavihitaji kuvijua ,,,wakati wanajua nia yake ni elimu ya kuhudumia family business yao ambayo alienda kufundishwa india
 
Wapi nimesema anapoteza pesa? Nimesema hawapendi kupoteza muda.. kwao muda una thamani kubwa ndio maana wakaona kwenda MIT ni kupoteza muda kwa kusomea vitu ambavyo hawavihitaji kuvijua ,,,wakati wanajua nia yake ni elimu ya kuhudumia family business yao ambayo alienda kufundishwa india
Anyways kila mtu ana mtazamo wake. Kwake hilo lilikua sawa
 
Habari wadau.

Wahindi wapo makini sana na biashara zao. Watoto wao wanasomeshwa kwa malengo yao tu.

Mtoto wa kaka yake na Mo dewji ambaye anaitwa Gullam Dewji alikuwa kichwa kweli kweli katika shule ya kishua ya IST.

Alipomaliza high school alifanya vizuri sana katika mtihani wake wa SAT na ACT ambayo scores zake ndizo kipimo kinatumika kuingia vyuo vikubwa marekani na vyuo vikuu vya nchi kubwa zilizoendelea kama oxfords etc. Maksi alizopata chuo kikuu namba 1 duniani kinachoitwa MIT kilimpa admission with full ride scholarship.. yaani kila kitu buree kazi yake kusomaa tu.

Cha kushangaza mtoto huyo alikataa hiyo offer ya MIT kwa sababu alipaswa aende kufundishwa jinsi ya kuendesha biashara za familia yao huko nchini india.

Tangu shule ya IST imeanzishwa hakujawai kutokea mwanafunzi wa ki Tanzania aliyekataa full ride scholarship ya chuo kikuu namba moja duniani zaidi ya huyo mtoto wa Gullam Dewji.

Najiuliza tu hivi kuna mzazi Tanzania ama Mtoto anaweza kataa mwanae asiende kusoma hata udsm tu sababu anapaswa kufundishwa biashara ya familia ?

ARWA GULLAM ABASS DEWJI alishangaza mpaka walimu wa IST kwa hiyo jeuri.

View attachment 2337842
Mie wanangu wakimaliza form four tu basi nakaa nao hapa kwenye banda langu la kutengeneza majeneza ili wajifunze biashara ya baba yao
 
Back
Top Bottom