Kama ni rahisi basi fanya na wewe
Sio muumini wa siasa za maji taka na kishambaKama ni rahisi nenda na wewe ukatoe.
Una mambo ya kishamba na yenye roho ya wivu mkubwa sana.Sio muumini wa siasa za maji taka na kishamba
Kuelekea uchaguzi 2025 , mkoa mzima ndo hizo tano pekee?Ndugu zangu Watanzania,
Mtoto Wa Hayati Mwalimu Daktari John Pombe Joseph Magufuli Rais Wa awamu ya Tano Ndugu Jesca John Magufuli Amemwaga Pikipiki kwa makatibu wote wa UVCCM Mkoa wa Geita.
Binti huyu mdogo ametoa msaada huo wa pikipiki kwa makatibu hao wa UVCCM ili ziweze kuwasaidia watendaji hao wa vijana ngazi ya wilaya katika shughuli zao.hii ni kwa kutambua kuwa jumuiya hiyo ndiyo injini na moyo wa chama na tanuri la kuwapika viongozi mbalimbali wazalendo, wachapakazi, waadilifu na wenye moyo wa kujitoa na kujitolea kwa chama na serikali.
Ndio maana binti huyu Mbichi ameamua kuwa sehemu ya kuijenga na kuipa nguvu UVCCM.ikumbukwe UVCCM itajengwa na wenye moyo na siyo wenye tamaa na uroho wa madaraka na vyeoView attachment 3136209View attachment 3136210View attachment 3136211
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mwehuu wewe....unajitoa ufahamu wako sababu njaa iko kichwani wewe huwezi kununua pikipiki 5? Boyaaa kweliii wewee......njoo nikupe mkataba uendeshe boda wako wenzako 17 hapo nje na mkataba.....eti bida 5 zinakutoa utu wako...wewe utaolewaaa....bitoto hivyo vinakuruma kuuza utu wakoUnaweza kutoa bure pikipiki tano hapo ulipo na ukapuku wako wa akili? Unafahamu thamani yake?
Naona wivu umekushika mpaka unatoa povu tu.Mwehuu wewe....unajitoa ufahamu wako sababu njaa iko kichwani wewe huwezi kununua pikipiki 5? Boyaaa kweliii wewee......njoo nikupe mkataba uendeshe boda wako wenzako 17 hapo nje na mkataba.....eti bida 5 zinakutoa utu wako...wewe utaolewaaa....bitoto hivyo vinakuruma kuuza utu wako
Acha utoto ndugu yangu mtanzania uliyejaa msongo wa mawazo na chuki binafsiBaada ya kujifungua, naona ile nuru inatoweka kwa kasi sana
Umeanza vizuri, lakini ulivyomaliza umedhalilisha utu wako.Ndugu zangu Watanzania,
Mtoto Wa Hayati Mwalimu Daktari John Pombe Joseph Magufuli Rais Wa awamu ya Tano Ndugu Jesca John Magufuli Amemwaga Pikipiki kwa makatibu wote wa UVCCM Mkoa wa Geita.
Binti huyu mdogo ametoa msaada huo wa pikipiki kwa makatibu hao wa UVCCM ili ziweze kuwasaidia watendaji hao wa vijana ngazi ya wilaya katika shughuli zao.hii ni kwa kutambua kuwa jumuiya hiyo ndiyo injini na moyo wa chama na tanuri la kuwapika viongozi mbalimbali wazalendo, wachapakazi, waadilifu na wenye moyo wa kujitoa na kujitolea kwa chama na serikali.
Ndio maana binti huyu Mbichi ameamua kuwa sehemu ya kuijenga na kuipa nguvu UVCCM.ikumbukwe UVCCM itajengwa na wenye moyo na siyo wenye tamaa na uroho wa madaraka na vyeoView attachment 3136209View attachment 3136210View attachment 3136211
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ulitaka ziwe ngapi? Wewe umetoa misaada gani katika jamii inayokuzunguka?Kuelekea uchaguzi 2025 , mkoa mzima ndo hizo tano pekee?
Siyo kweli.Umeanza vizuri, lakini ulivyomaliza umedhalilisha utu wako.
Labda tu nikuambie kitu dogoUna mambo ya kishamba na yenye roho ya wivu mkubwa sana.
Dogo ugali wake mgumu sanaKuelekea uchaguzi 2025 , mkoa mzima ndo hizo tano pekee?
Tulia we mwanamama.Wewe ndiye kilaza usiyejitambua.
Pesa katoa wapiFanya kazi utapata pesa na siyo kubweteka na kupiga umbeya na kubakia kushangaa watu wanapojitoa na kujitolea kuwa wametoa wapi pesa.
Mimi nipo CCM kabla ya huo mwaka na nakuhakikishia kuwa hatuna mwana CCM aina yako asiye jitambua.Labda tu nikuambie kitu dogo
Niko chamani tangu 2006 lakini sitegemei uchawa kama harakati zangu za kimaisha kupitia chama
Naguswa kukitetea na kukishauri chama pale mambo yanapokwenda hovyo na sio kusifia sifia tu ili ugali wangu upite kinywani la hasha hatukuandaliwa hivyo
Nakupa pongezi chawa mzoefu kazi yako nzuri
Mbona unauliza swali la kijinga na kitoto sana.Pesa katoa wapi
Hai wasio vilaza wamelufanyia nini taifaJesca KILAZA soon atakuja kuwa kiongozi mkubwa.
Hii nchi kuendelea labda yesu arudi, ashike madaraka mwenyewe.
Mweupe Mwenyewe usiye na mbele wala nyuma.Tatizo la Jesca ni kwamba kichwani ni mweupe sana.