Pre GE2025 Mtoto wa Hayati Magufuli, Jesca Magufuli amwaga Pikipiki kwa UVCCM Mkoa mzima wa Geita

Pre GE2025 Mtoto wa Hayati Magufuli, Jesca Magufuli amwaga Pikipiki kwa UVCCM Mkoa mzima wa Geita

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ndugu zangu Watanzania,

Mtoto Wa Hayati Mwalimu Daktari John Pombe Joseph Magufuli Rais Wa awamu ya Tano Ndugu Jesca John Magufuli Amemwaga Pikipiki kwa makatibu wote wa UVCCM Mkoa wa Geita.

Binti huyu mdogo ametoa msaada huo wa pikipiki kwa makatibu hao wa UVCCM ili ziweze kuwasaidia watendaji hao wa vijana ngazi ya wilaya katika shughuli zao.hii ni kwa kutambua kuwa jumuiya hiyo ndiyo injini na moyo wa chama na tanuri la kuwapika viongozi mbalimbali wazalendo, wachapakazi, waadilifu na wenye moyo wa kujitoa na kujitolea kwa chama na serikali.

Ndio maana binti huyu Mbichi ameamua kuwa sehemu ya kuijenga na kuipa nguvu UVCCM.ikumbukwe UVCCM itajengwa na wenye moyo na siyo wenye tamaa na uroho wa madaraka na vyeoView attachment 3136209View attachment 3136210View attachment 3136211

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kuelekea uchaguzi 2025 , mkoa mzima ndo hizo tano pekee?
 
Unaweza kutoa bure pikipiki tano hapo ulipo na ukapuku wako wa akili? Unafahamu thamani yake?
Mwehuu wewe....unajitoa ufahamu wako sababu njaa iko kichwani wewe huwezi kununua pikipiki 5? Boyaaa kweliii wewee......njoo nikupe mkataba uendeshe boda wako wenzako 17 hapo nje na mkataba.....eti bida 5 zinakutoa utu wako...wewe utaolewaaa....bitoto hivyo vinakuruma kuuza utu wako
 
Mwehuu wewe....unajitoa ufahamu wako sababu njaa iko kichwani wewe huwezi kununua pikipiki 5? Boyaaa kweliii wewee......njoo nikupe mkataba uendeshe boda wako wenzako 17 hapo nje na mkataba.....eti bida 5 zinakutoa utu wako...wewe utaolewaaa....bitoto hivyo vinakuruma kuuza utu wako
Naona wivu umekushika mpaka unatoa povu tu.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mtoto Wa Hayati Mwalimu Daktari John Pombe Joseph Magufuli Rais Wa awamu ya Tano Ndugu Jesca John Magufuli Amemwaga Pikipiki kwa makatibu wote wa UVCCM Mkoa wa Geita.

Binti huyu mdogo ametoa msaada huo wa pikipiki kwa makatibu hao wa UVCCM ili ziweze kuwasaidia watendaji hao wa vijana ngazi ya wilaya katika shughuli zao.hii ni kwa kutambua kuwa jumuiya hiyo ndiyo injini na moyo wa chama na tanuri la kuwapika viongozi mbalimbali wazalendo, wachapakazi, waadilifu na wenye moyo wa kujitoa na kujitolea kwa chama na serikali.

Ndio maana binti huyu Mbichi ameamua kuwa sehemu ya kuijenga na kuipa nguvu UVCCM.ikumbukwe UVCCM itajengwa na wenye moyo na siyo wenye tamaa na uroho wa madaraka na vyeoView attachment 3136209View attachment 3136210View attachment 3136211

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Umeanza vizuri, lakini ulivyomaliza umedhalilisha utu wako.
 
Una mambo ya kishamba na yenye roho ya wivu mkubwa sana.
Labda tu nikuambie kitu dogo
Niko chamani tangu 2006 lakini sitegemei uchawa kama harakati zangu za kimaisha kupitia chama
Naguswa kukitetea na kukishauri chama pale mambo yanapokwenda hovyo na sio kusifia sifia tu ili ugali wangu upite kinywani la hasha hatukuandaliwa hivyo
Nakupa pongezi chawa mzoefu kazi yako nzuri
 
Labda tu nikuambie kitu dogo
Niko chamani tangu 2006 lakini sitegemei uchawa kama harakati zangu za kimaisha kupitia chama
Naguswa kukitetea na kukishauri chama pale mambo yanapokwenda hovyo na sio kusifia sifia tu ili ugali wangu upite kinywani la hasha hatukuandaliwa hivyo
Nakupa pongezi chawa mzoefu kazi yako nzuri
Mimi nipo CCM kabla ya huo mwaka na nakuhakikishia kuwa hatuna mwana CCM aina yako asiye jitambua.
 
Back
Top Bottom