Pre GE2025 Mtoto wa Hayati Magufuli, Jesca Magufuli amwaga Pikipiki kwa UVCCM Mkoa mzima wa Geita

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
fisadi kama babake hafai
 
Sema huyu katoa pikipiki kali..sio yale SSH..😂
 
Kama umeumia basi kunywa hata sumu UFE tu maana huna faida yoyote ile hapa Duniani
 
Hizi hela wanazitoa wapi? Au ndio pikipiki anazogawa Mama? Hakika hii Nchi itatafunwa hadi wenyewe watakapozinduka usingizini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…