GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Wewe ndio unajitambua? Basi chama kimeishiwaMimi nipo CCM kabla ya huo mwaka na nakuhakikishia kuwa hatuna mwana CCM aina yako asiye jitambua.
fisadi kama babake hafaiNdugu zangu Watanzania,
Mtoto Wa Hayati Mwalimu Daktari John Pombe Joseph Magufuli Rais Wa awamu ya Tano Ndugu Jesca John Magufuli Amemwaga Pikipiki kwa makatibu wote wa UVCCM Mkoa wa Geita.
Binti huyu mdogo ametoa msaada huo wa pikipiki kwa makatibu hao wa UVCCM ili ziweze kuwasaidia watendaji hao wa vijana ngazi ya wilaya katika shughuli zao.hii ni kwa kutambua kuwa jumuiya hiyo ndiyo injini na moyo wa chama na tanuri la kuwapika viongozi mbalimbali wazalendo, wachapakazi, waadilifu na wenye moyo wa kujitoa na kujitolea kwa chama na serikali.
Ndio maana binti huyu Mbichi ameamua kuwa sehemu ya kuijenga na kuipa nguvu UVCCM.ikumbukwe UVCCM itajengwa na wenye moyo na siyo wenye tamaa na uroho wa madaraka na vyeoView attachment 3136209View attachment 3136210View attachment 3136211
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wewe ndiye huna muelekeoHii nchi inakwenda siko kabisa.
Fisadi Mwenyewe uliyejaa uvivufisadi kama babake hafai
Siyo Baraza la mitihani hapa.Leta marks zake kama tuzione kama kweli alifaulu?!!
Kama huna kazi ni wewe na uvivu wako.Hili ndio swali mujarabu. Kapata wapi nyingi kiasi hicho na hata ajira au kazi inayoeleweka hana? Nchi zinazojielewa alipaswa kukamatwa mara moja
Nikienda Burundi na nikakaa wiki moja waburundi wote watakuwa wanabubujikwa na machozi ya furaha muda wote Nchi nzima."kamwaga pikipiki mkoa mzima"
"Binti mbichi"
Lucas daaah uhamie burundi sasa
Kama umeumia basi kunywa hata sumu UFE tu maana huna faida yoyote ile hapa DunianiKwa mtu mwenye akili timamu, anaejitambua, na mwenye familia hawezi kushangilia huu ujinga. Huyo anarudisha pesa za walipa kodi zilizokwapuliwa na mwenda zake enzi za uhai wake. Km unabisha, eleza chanzo cha fedha alizonunilia hizo pikipiki. Tusifurahie pale manyang'au yanaporejesha pesa za wanyonge kwa mkono wa nyuma.
Tatizo wapumbavu ni wengi sana Tz kuliko wajinga. Yani mtu unafrahia kupewa zawadi yenye thamani ya mamilion ya pesa wakati mtu huyo hana kazi ya kumpatia pesa hiyo. Ukiwa mwanaume unatakiwa ufikiri kabla ya kuongea, vinginevyo utakuwa hauna utofauti na mchepuko.
Mtu mzima umejaa wivu .ndio urithi utakao waachia wanao.Hizi hela wanazitoa wapi? Au ndio pikipiki anazogawa Mama? Hakika hii Nchi itatafunwa hadi wenyewe watakapozinduka usingizini.
Yaani pension ya babake kufa akiwa kazini unafikiri ni sawa na kipato cha watu wangapi, ukiacha keshakua waziri miaka 20Hizo pikipiki, HELA KAPATA WAPI??
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Huyo ni KE sijui utavumilia majibu yake?Hizo pikipiki, HELA KAPATA WAPI??
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Au umempa wewe basiChuki binafsi ndio kinachokusumbua
Najua hapo moshi umekujaa kichwani na sasa unajiandikia tu kama mleviHuyu naye kafundishwa wizi wa mali za umma kama mlivyo UWT
Toa ujinga wakoNajua hapo moshi umekujaa kichwani na sasa unajiandikia tu kama mlevi
Hivi kwanini hupelekwi hospitalini? Au ndugu zako nao wamekuzila?Toa ujinga wako