Pre GE2025 Mtoto wa Hayati Magufuli, Jesca Magufuli amwaga Pikipiki kwa UVCCM Mkoa mzima wa Geita

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mnamtumia mpate sapoti ya ile gang.
 
Wao. Pesa zile alizoiba jpm zinaanza kifanya kazi lilikuwa swala.la muda tu. Tundu lisu alisema kuna magunia kibao ya pesa yapo chumbani kwa jpm. Nchi ilipatwa
 
Anatumiwa na Mama hujiongezi ?? Kura za huruma za Sukuma Gang.....

Wabeejaga gete binti Magufuli. Neyo rulu tukunona geete Bebe ureta gawiza . Wabeeeja gete geeete. Unarikiwe sana kufunya mhirya ying’we ha banhu bange.
 
Kapata wapi hela, au ndio ya mamilioni ya dola aliyoiba Babaake yaliyofumwa ndani mwao yaliyogunduliwa baada ya kifo?
 
Kapata wapi hela, au ndio ya mamilioni ya dola aliyoiba Babaake yaliyofumwa ndani mwao yaliyogunduliwa baada ya kifo?
Wewe endelea kufanya kazi kwa Mbowe hapo na kupiga porojo zako wakati watu wanaendelea kuchanja mbuga.Ma CHADEMA mmekalia Majungu,fitina ,wivu ,chuki binafsi na uvivu halafu baadaye mnaanza kushangaa wachapa kazi wanapopata maendeleo na kuinuka kiuchumi
 
Amepata wapi hela? Msitufanye wajinga nyie
 
Wao. Pesa zile alizoiba jpm zinaanza kifanya kazi lilikuwa swala.la muda tu. Tundu lisu alisema kuna magunia kibao ya pesa yapo chumbani kwa jpm. Nchi ilipatwa

Waswahili wanakamsemo “ shukran ya punda mateke”,
Ehaaha rule nzobe uruyiguta ikukutura na Maguru “

Bebe rekaga ubudoshi gwako. Magufuli alikuwa muaminifu saana, usimsingizie wizi. Amechangia watu na binti yake na yeye anafuata nyayo za baba yake,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…