Mtoto wa kambo haniheshimu kama baba, nifanyaje?

Mtoto wa kambo haniheshimu kama baba, nifanyaje?

Mimi ni kijana umri wa miaka 25 Niko daresalam, Nina mapenzi na Mwanamke wa miaka 55. Tunakaa Pamoja na mtoto wake wa kiume miaka 36 Sasa huyu mvulana aniheshimu kabisa kama baba yake wa kambo, hata nikimshauri kuhusu maisha hataki kunilewa kabisa nifanyaje?

Source: Twitter
Baba mwenyewe alikuwa akidoji darasa, ona sasa hata kuandika kiswahili hajui!
 
Mimi ni kijana umri wa miaka 25 Niko daresalam, Nina mapenzi na Mwanamke wa miaka 55. Tunakaa Pamoja na mtoto wake wa kiume miaka 36 Sasa huyu mvulana aniheshimu kabisa kama baba yake wa kambo, hata nikimshauri kuhusu maisha hataki kunilewa kabisa nifanyaje?

Source: Nimeitoa Twitter 😁
aniheshimu! Hebu tafsiri kwa kikwenu labda nitaelewa kusudio lako.
 
Mimi ni kijana umri wa miaka 25 Niko daresalam, Nina mapenzi na Mwanamke wa miaka 55. Tunakaa Pamoja na mtoto wake wa kiume miaka 36 Sasa huyu mvulana aniheshimu kabisa kama baba yake wa kambo, hata nikimshauri kuhusu maisha hataki kunilewa kabisa nifanyaje?

Source: Nimeitoa Twitter 😁
Imenibidi nicheke kwanza, hivi wewe unatarajia kupata heshima kutoka kwa 'mtoto wako' ambae ni mkubwa kiumri kuliko wewe?

Hapo hata ingekuwa mimi ningekuacha ukaendelea na shughuli zako na mimi uniwache na zangu lakini siyo kukuamkia 'shikamoo baba'.
 
Mimi ni kijana umri wa miaka 25 Niko daresalam, Nina mapenzi na Mwanamke wa miaka 55. Tunakaa Pamoja na mtoto wake wa kiume miaka 36 Sasa huyu mvulana aniheshimu kabisa kama baba yake wa kambo, hata nikimshauri kuhusu maisha hataki kunilewa kabisa nifanyaje?

Source: Nimeitoa Twitter 😁
Sijaelewa lugha au ndo uzee unakuja kwa kasi ya DP world?

Aniheshimu = Ananiheshimu au mwambieni aniheshimu

Haniheshimu = hataki kunipa heshima, hanipi heshima

Sasa heading yako na contents ulikuwa unamaanisha nini mkuu?
 
Back
Top Bottom