kapyoko
JF-Expert Member
- May 10, 2022
- 1,365
- 2,134
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Mwambie asikuchukie maana wewe hauna ubaya upo kwenye harakati za utafutaji tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Mwambie asikuchukie maana wewe hauna ubaya upo kwenye harakati za utafutaji tu
Mimi ni kijana umri wa miaka 25 Niko daresalam, Nina mapenzi na Mwanamke wa miaka 55. Tunakaa Pamoja na mtoto wake wa kiume miaka 36 Sasa huyu mvulana aniheshimu kabisa kama baba yake wa kambo, hata nikimshauri kuhusu maisha hataki kunilewa kabisa nifanyaje?
Source: Nimeitoa Twitter 😁
MALIZIA UNACHOTAKA KUSEMA NIKUPE JIBU LA JUMLAUshawahi kutoka na bibi wa 55yrs?
Aonane na mtu mwenye umri kama wa mama yake? Ooooh.... naelewa. Its just ok. Naelewa.Oaneni na mama'ke mtaheshimiana.
Uasherati na uzinzi ni uchafu.
Nijue kwanza kama umeshawahi kutoka nao, siwezi malizia kitu ambacho sina uhakika nachoMALIZIA UNACHOTAKA KUSEMA NIKUPE JIBU LA JUMLA
HulazimishwiKuwa na mahusiano na mtu ambaye ameshapita menopause ni ujinga uliokithiri.
Na kama hana mtoto , akili yake ina shida.
Shida sio mama hamna sehemu iliyoandikwa kuwa miaka ya kuwa na mume ni miaka mingapi?? But mtoa mada Prakatatumba abaabaabaa heshimu watu ùlio wakuta aisee hata kama umempita umri licha ya huyu mtu kakupita aio vizuri kujiona wewe ndio baba wa boma , jua hili wengi wameshapita wakamwacha mwamba hapo hapo, wekeza aisee maisha hayatabiriki tenamaisha hayo uliopo sasaLawama ziende kwa huyo mwanamke 55 yrs halafu unatembea na kijana wako blood facken kabisa
Subiri Siku unyongewe ndani 😂😁Mimi ni kijana umri wa miaka 25 Niko daresalam, Nina mapenzi na Mwanamke wa miaka 55. Tunakaa Pamoja na mtoto wake wa kiume miaka 36 Sasa huyu mvulana Haniheshimu kabisa kama baba yake wa kambo, hata nikimshauri kuhusu maisha hataki kunilewa kabisa nifanyaje? au nimfukuze hapa home?
Source: Nimeitoa Twitter 😁
Masuala mengine ni physiology si lazima uwe umefaanya MENOPAUSE NI KATI YA 45-55,MWANAMKE AKISHA KUWA KATIKA UMRI HUO,Eostrodiol na TESTESTORONE uzwalishwaji wake unakuwa limited sambamba na hilo maumbile yake huanza kusinyaa na Bartholin"s glands zinakuwa limited katika production ya ute.Nijue kwanza kama.umeshawahi kitoka nao, siwezi malizia kitu ambacho sina uhakika nacho
Sawa daktari.Masuala mengine ni physiology si lazima uwe umefaanya MENOPAUSE NI KATI YA 45-55,MWANAMKE AKISHA KUWA KATIKA UMRI HUO,Eostrodiol na TESTESTORONE uzwalishwaji wake unakuwa limited sambamba na hilo maumbile yake huanza kusinyaa na Bartholin"s glands zinakuwa limited katika production ya ute.
[emoji23][emoji23]Mimi ni kijana umri wa miaka 25 Niko daresalam, Nina mapenzi na Mwanamke wa miaka 55. Tunakaa Pamoja na mtoto wake wa kiume miaka 36 Sasa huyu mvulana Haniheshimu kabisa kama baba yake wa kambo, hata nikimshauri kuhusu maisha hataki kunilewa kabisa nifanyaje? au nimfukuze hapa home?
Source: Nimeitoa Twitter [emoji16]
Nitajitahidi Lakini Mimi sio jobless Nina kazi nzuri tu hapa dar.Shida sio mama hamna sehemu iliyoandikwa kuwa miaka ya kuwa na mume ni miaka mingapi?? But mtoa mada Prakatatumba abaabaabaa heshimu watu ùlio wakuta aisee hata kama umempita umri licha ya huyu mtu kakupita aio vizuri kujiona wewe ndio baba wa boma , jua hili wengi wameshapita wakamwacha mwamba hapo hapo, wekeza aisee maisha hayatabiriki tenamaisha hayo uliopo sasa
Boss viwango vya elimu vinatofautiana hivyo ukianza ku-criticize watu due to their typing error wengine watakosa uhuru wa kujielezaHuu uandishi wa hawa vijana tabu sana, anaweza kuandika neno "ana" akimaanisha "hana" wakati hayo ni maneno mawili yanayopingana maana zake.
Huyo namzidi elimu mbali sana, Mimi sijaenda Finland kusoma lugha au Bachelor of art in kiswahili.Boss viwango vya elimu vinatofautiana hivyo ukianza ku-criticize watu due to their typing error wengine watakosa uhuru wa kujieleza
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi sio guarantee kuwa utakuwa siku zote kazini , mapenzi yenu hayatuhusu but angalia maisha yako pia naujitahidi ujenge nyumba yako mkaishi na umpendaye mama lamanaNitajitahidi Lakini Mimi sio jobless Nina kazi nzuri tu hapa dar.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Fanya we ndio huyo kijana ungemuheshimu mtu mwenye mahusiano na mama yako na umri umempita vitu vingine aibu sana hata kuviongea huyo kijana ana haki ya kukufanyia hivyo