Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Baba mwenyewe alikuwa akidoji darasa, ona sasa hata kuandika kiswahili hajui!Mimi ni kijana umri wa miaka 25 Niko daresalam, Nina mapenzi na Mwanamke wa miaka 55. Tunakaa Pamoja na mtoto wake wa kiume miaka 36 Sasa huyu mvulana aniheshimu kabisa kama baba yake wa kambo, hata nikimshauri kuhusu maisha hataki kunilewa kabisa nifanyaje?
Source: Twitter
aniheshimu! Hebu tafsiri kwa kikwenu labda nitaelewa kusudio lako.Mimi ni kijana umri wa miaka 25 Niko daresalam, Nina mapenzi na Mwanamke wa miaka 55. Tunakaa Pamoja na mtoto wake wa kiume miaka 36 Sasa huyu mvulana aniheshimu kabisa kama baba yake wa kambo, hata nikimshauri kuhusu maisha hataki kunilewa kabisa nifanyaje?
Source: Nimeitoa Twitter 😁
Huu uandishi wa hawa vijana tabu sana, anaweza kuandika neno "ana" akimaanisha "hana" wakati hayo ni maneno mawili yanayopingana maana zake.aniheshimu! Hebu tafsiri kwa kikwenu labda nitaelewa kusudio lako.
Mimi sio kijana, nakuzidi miaka mingi sanaHuu uandishi wa hawa vijana tabu sana, anaweza kuandika neno "ana" akimaanisha "hana" wakati hayo ni maneno mawili yanayopingana maana zake.
Sasa atawezaje kumtunza mtoto wakati yeye alikuwa mtoro shuleni.Huu uandishi wa hawa vijana tabu sana, anaweza kuandika neno "ana" akimaanisha "hana" wakati hayo ni maneno mawili yanayopingana maana zake.
Imenibidi nicheke kwanza, hivi wewe unatarajia kupata heshima kutoka kwa 'mtoto wako' ambae ni mkubwa kiumri kuliko wewe?Mimi ni kijana umri wa miaka 25 Niko daresalam, Nina mapenzi na Mwanamke wa miaka 55. Tunakaa Pamoja na mtoto wake wa kiume miaka 36 Sasa huyu mvulana aniheshimu kabisa kama baba yake wa kambo, hata nikimshauri kuhusu maisha hataki kunilewa kabisa nifanyaje?
Source: Nimeitoa Twitter 😁
halafu kijana wake ndiyo anamhudumia mama.....Kuna probability kubwa unahudumiwa. Hapo heshima lazima ikosekane maana umekimbja majukumu.
Jibu hoja, una maana gani ya hicho ulichokiandika?Mimi sio kijana, nakuzidi miaka mingi sana
Hata Mimi sielewi nimeandika nini.Jibu hoja, una maana gani ya hicho ulichokiandika?
Sijaelewa lugha au ndo uzee unakuja kwa kasi ya DP world?Mimi ni kijana umri wa miaka 25 Niko daresalam, Nina mapenzi na Mwanamke wa miaka 55. Tunakaa Pamoja na mtoto wake wa kiume miaka 36 Sasa huyu mvulana aniheshimu kabisa kama baba yake wa kambo, hata nikimshauri kuhusu maisha hataki kunilewa kabisa nifanyaje?
Source: Nimeitoa Twitter 😁
Jamaa kanywa chai na ngadu hivyo kiswahili kimepotea anaongea kikojani tuKwanza jifunze kuandika! Anielewi ni nini? Au unamaanisha hanielewi
Ushawahi kutoka na bibi wa 55yrs?25yrs unafuata nini kwa huyo bibi ameshapoa,umerogwa wewe
,,sasa tangu lini baba akawa mdogo kwa mtoto? vijana konyo