Hahah wala staki shari, ila mtume kafeli!
Kwao ana chumba chake. Na pia nimempa chumba cha wageni akiwa kwangu na pia nimempa uhuru wa kulala chumbani kwa mwenzie. Anaweza kushinda huko wakifanya yao, tatizo ni usiku wakati wa kulala.
Ni swala mtambukaKwani haiwezekani kufunguliwa kesi ya ubakaji?
Mama amezaa mtoto na jamaa wakahitilafiana. Baba akachukua mtoto kulea to 9 yrs, mama huko aliko ameolewa ana mji wake ameamua kuganga yajayo na mume mpya sasa unapataje guts za kumuita huyo mama muuaji boss?Sidhani kama umeielewa mada vizuri... kuna mtu kazungumzia mawasiliano na ex wake hapa?
Ni swala mtambuka
ha ha ha kama vile umenisema mimi kabinti kangu kana miaka mi nne mda wa kulala utasikia ''baba njoo tulalele wote'' na mimi nnavo kadekeza siku nyingine hua naenda nalala chumbani kwake... ila miaka tisa mkubwa mnoo pia si jambo jema japo watoto wa kike wanapenda saana baba zao...Mimi ni single mother wa mtoto wa kike wa miaka 10. Nipo kwenye mahusiano ya kimapenzi na single father mwenye binti wa miaka 9.
Watoto wetu wanasoma shule moja madarasa tofauti. Tulikutana kwenye mkutano wa wazazi shuleni. Hali ya kuwa single parent ilituunganisha, tukajikuta tupo mapenzini. Tumekuwa msaada kwa kila mmoja wetu kwenye malezi.
Hatuishi pamoja officially ila tunatembeleana na sleepovers za mara kwa mara.
Tatizo ni huyu mtoto wangu kupitia mpenzi wangu, anapenda kulala na babake. Babake anasema ndio yuko hivyo kwani ameanza kumlea toka ana miezi 6 na hivyo kubidi kulala nae toka umri huo. Ameshindwa kum'wean'.
Akilala peke yake au na mwanangu hapati usingizi, inabidi aje chumbani kwetu tulale nae, either hadi asubuhi au tumhamishe kwa kumbeba akiwa ameshalala.
Naomba ushauri nifanye nini kumsaidia huyu mtoto aweze kujitegemea.
Natanguliza shukran wapendwa.
Kuna wazazi wanadekeza watoto eti ukichapa bakora wanasema ni ukatili, hao ndio baadae mtoto kashakuwa bwabwa wanaanza kutafuta mchawi nani
bado dada hapa nimepiga ukware simu ya mtu chap kwa haraka
Umeenda shule kwa maswala ya mwanao huko huko ukapata mme!!Mimi ni single mother wa mtoto wa kike wa miaka 10. Nipo kwenye mahusiano ya kimapenzi na single father mwenye binti wa miaka 9.
Watoto wetu wanasoma shule moja madarasa tofauti. Tulikutana kwenye mkutano wa wazazi shuleni. Hali ya kuwa single parent ilituunganisha, tukajikuta tupo mapenzini. Tumekuwa msaada kwa kila mmoja wetu kwenye malezi.
Hatuishi pamoja officially ila tunatembeleana na sleepovers za mara kwa mara.
Tatizo ni huyu mtoto wangu kupitia mpenzi wangu, anapenda kulala na babake. Babake anasema ndio yuko hivyo kwani ameanza kumlea toka ana miezi 6 na hivyo kubidi kulala nae toka umri huo. Ameshindwa kum'wean'.
Akilala peke yake au na mwanangu hapati usingizi, inabidi aje chumbani kwetu tulale nae, either hadi asubuhi au tumhamishe kwa kumbeba akiwa ameshalala.
Naomba ushauri nifanye nini kumsaidia huyu mtoto aweze kujitegemea.
Natanguliza shukran wapendwa.
Kuacha mtoto wa miezi sita... anayehitaji zaidi maziwa ya mama kuliko kitu kingine chochote huu ni sawa na ukatili unaofanywa na watu wasiojulikana. Ni ushetani uliopitiliza.Mama amezaa mtoto na jamaa wakahitilafiana. Baba akachukua mtoto kulea to 9 yrs, mama huko aliko ameolewa ana mji wake ameamua kuganga yajayo na mume mpya sasa unapataje guts za kumuita huyo mama muuaji boss?
Ina maana alitakiwa aendeleze connections na huyu jamaa kisa mtoto! Huoni angehatarisha uhusiano mpya.
Mkitumia nguvu mtaharibu! Wengi wanatoa ushauri bila kuwa na uzoefu. Mimi nina uzoefu kwa mabinti wawili wangu.Kwa kutumia nguvu hatutaharibu zaidi?
Mleta mada kuweni waangalifu namna mtakavyo tatua shida hiyo.
Mikikosea ama kwa kutumia nguvu au kuharakisha mambo basi utajikuta wewe unageuka kama adui wa mapenzi ya mtoto kwa baba yake.
Mtoto atakuchukia na hata mkiowana na huyo jamaa hautafurahia ndoa yenu sababu ya huyo mtoto.
Kwanza mgeuze kuwa rafiki yako huyo mtoto. Pili anza utaratibu wa kwenda kumsimulia hadithi au kumsaidia homework au kuangalia wote Movie au Catoon chumbani kwa mtoto hadi anapata usingizi analala. Wakati huo unamsisitiza watoto wakiwa wakubwa wanatakiwa wawe na chumba chao.
Unamuonesha mfano ktk movie mnazo angalia watoto wengi wana vyumba vyao na hawapendi kero. Muwekeeni vitu na mapambo mbalimbali chumbani.
Nisawa mkuu ila mtoto kama unaona maelekezo yamekuwa magumu kuyafuata viboko viwili vitatu huwa vinasaidiaMkuu unakuta wewe ni kati ya wanaolalamikia ukatili wa baba J, huku upande mwingine unashabikia malezi ya bakora na ukatili kama utumwani Babylon dhidi ya watoto wetu.
Huwezi jua historia ya bond ya huyo mtoto na baba yake. Huenda waliachwa ktk kipindi kigumu sana na mama wa mtoto au changamoto zingine zozote.
Jambo la msingi taratibu afundishwe sasa amekuwa mkubwa hatakiwi hata kuingia ovyo chumbani kwa wazazi.
DuuhNahisi unamuonea wivu huyo mwanao wa kambo...
Kama sijakuelewa vizuri naomba uniwie radhi...[emoji120]
[emoji134] [emoji134]
Ila babe saa nyingine unanitia aibu[emoji134] [emoji134]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Ndio mana nimetoka ndani mpenzi, nilijua huku haufikagi....tehteehh [emoji12] [emoji12]