Mtoto wa kike wa miaka 9 kulala na babake

Mtoto wa kike wa miaka 9 kulala na babake

A 9 year old daughter and and a 20+ or 30+ years daughter are two different persons.

That's y the way I used to treat my daughter when she was 2 is quiety different from the way I will treat her when she reach 20.

Personally nimewamwaga mademu kadhaa kwa sababu walitaka kuchukua nafasi ya my daughter.

Kuna mmoja nilizaa NAE kabisa na nikawa naishi but akawa anaona wivu sana the way I loved my daughter. She thought like attention niliyo kuwa nampa my daughter was supposed to be given to her.

Guess what happened? Nilimpiga chini with an immediate effect.

Our daughters are our second mothers and when they are at tender age we love them even more than our mothers.

So i think it is high time u work out of that relationship cause he is not pleased by ur conduct
Nyie ndio mnatufanyaga wanaume wa dsm tunaonekana viaz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Badala ya kuja kulala nae hadi usingizi umpitie ndio mumuhamishe nadhani angekuwa nae chumban kwake usingizi ukimpitia baba aje chumbani kwenu. Itaanza kumjengea mtoto kuwa kwanza natakiwa nilale huku na kukizoea chumba chake siku zinavyokwenda atazoea kulala mwenyewe tu
 
Mkitumia nguvu mtaharibu! Wengi wanatoa ushauri bila kuwa na uzoefu. Mimi nina uzoefu kwa mabinti wawili wangu.
Nguvu ni pale itaposhindikana mtoto anaongozwa iwe hiyari au nguvu
 
Tatizo linaanzia kwa huyo baba. Alitakiwa yeye awe ameshamzoesha kulala chumba kingine tangu yupo mdogo kwani anafahamu kuwa ndio inafaa. Na yeye miaka 9 yote hajaoa wala haishi na mke ni kwamba alikuwa anamtumia huyo mtoto kama substitute ya patner hapo chumbani hata kama sio kimapenzi. Ina maana usingetokea wewe angeendelea tu mpaka miaka mingine mingi tu.

Kwahiyo yeye mwenyewe inabidi ampe darasa mtoto taratibu kuhusu kwa nini inabidi aanze kujitegemea kufanya mambo yake. Ukifanya wewe atakuchukia na katika umri huo hatoacha kukuchukia.

Odhawaizi sepa kama walivyosepa wengine kabla yako.
Anamtumiaje motto wake sasa, msitufanye wajinga sisi tunaokaa na watoto wetu wa kike
 
Solution hii hapa ushindwe wewe tu
images%20(9).jpeg
images%20(8).jpeg
73301f07a8d4b667f5dcdabf7fec23e1.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama nilivyodokeza awali, sio kwamba tunaishi pamoja officially bali tunatembeleana na husleep over kwetu au kwao. Hivyo kuhusu kuvamiwa, unadhani baba aendelee kuwa single au awe kwenye mahusiano ya vichochoroni kulinda hisia za mwana hadi lini? Kwa mtizamo wangu sioni hekima ya mtoto wetu huyu kuendelea kulala na babake. Na anamjua mamake na hana connection nae kiasi babake anashukuru hata kitendo cha mtoto kukubali kusleep over kwangu. Tunalichukulia hili jambo kwa umakini wa hali ya juu kuepuka kuumiza hisia za mtoto ndio maana numewashirikisha ndugu zangu wa JF kwa ushauri.
Reading between the lines...wewe ni mama wa kambo mwenye roho mbaya sana
 
Wazungu wsmetuacha mbali sana, mtoto anafunzwa kujitegemea mapemaaa. Sisi tunajifanya tunajua sana kulea na kupenda watoto, ndio hawa wakifika chuo wanaolewa kwa mkataba wa miaka mitatu.
 
Uttarra nimepitia comments zako uko vizuri kichwani na imani utajenga familia bora

Kila mtu ana haki ya kupenda na kupendwa tho kwako mazingira ni magumu kidogo lakini usikate tamaa

Muhimu chambua comments za wadau kama Tabutupu na wengine zifanyie kazi kwa utulivu ili uweze kujenga familia yenye amani na upendo[emoji8]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uttarra nimepitia comments zako uko vizuri kichwani na imani utajenga familia bora

Kila mtu ana haki ya kupenda na kupendwa tho kwako mazingira ni magumu kidogo lakini usikate tamaa

Muhimu chambua comments za wadau kama Tabutupu na wengine zifanyie kazi kwa utulivu ili uweze kujenga familia yenye amani na upendo[emoji8]


Sent using Jamii Forums mobile app
Sure.. kichwani yupo Vizuri sana. Binafsi nimependa namna anavyojibu hoja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni single mother wa mtoto wa kike wa miaka 10. Nipo kwenye mahusiano ya kimapenzi na single father mwenye binti wa miaka 9.

Watoto wetu wanasoma shule moja madarasa tofauti. Tulikutana kwenye mkutano wa wazazi shuleni. Hali ya kuwa single parent ilituunganisha, tukajikuta tupo mapenzini. Tumekuwa msaada kwa kila mmoja wetu kwenye malezi.

Hatuishi pamoja officially ila tunatembeleana na sleepovers za mara kwa mara.

Tatizo ni huyu mtoto wangu kupitia mpenzi wangu, anapenda kulala na babake. Babake anasema ndio yuko hivyo kwani ameanza kumlea toka ana miezi 6 na hivyo kubidi kulala nae toka umri huo. Ameshindwa kum'wean'.

Akilala peke yake au na mwanangu hapati usingizi, inabidi aje chumbani kwetu tulale nae, either hadi asubuhi au tumhamishe kwa kumbeba akiwa ameshalala.

Naomba ushauri nifanye nini kumsaidia huyu mtoto aweze kujitegemea.

Natanguliza shukran wapendwa.
Unaomba ushauri kwa kitu kama hicho? chalaza bakora huyo!
 
Back
Top Bottom