gonamwitu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 2,187
- 2,794
Sio dada ako hata mama ako tu akigombana na baba ako huna mamlaka ya kuingilia.ila uvumilie utakapoona dadaako anafanyiwa mambo sivyo na huyo shemeji yenu kaa kimya hata akishushiwa natusi na kipondo usiingilie ugomvi wao kumsaidia dadaako