Mtoto wa kiume hasa hasa graduate kamwe usikubali kuishi kwa shemeji yako ( mme wake na dada yako) ni laana

Mtoto wa kiume hasa hasa graduate kamwe usikubali kuishi kwa shemeji yako ( mme wake na dada yako) ni laana

Humu watu mna kauli za kishujaaa sasa kuna kosa gani kama bado mtu anasuka mkeka wake? Popote ulipo upo kwa sababu kikubwa mipango okay!
 
shida ni mindset kwamba ukisoma lazma uajiriwe,ila ukijitosa mtaani mbona kuna kazi za nguvu na watu tumepatia mitaji huko na maisha yanaenda....hata mimi ilinitesa japo sikuwahi kuishi kwa mtu,shida wasomi vijana hawatak kuanzia chini
Bado wewe unashida ya mindset ya ku generalise huwenda huyo graduate tayari ashaanza hayo au anasubiri kuanza
 
kuishi kwa shemeji ni fedheha, yaani ule, ulale,uangalie tv bila hata aibu kwa hisani ya mbususu ya dada yako🏃
 
Mkishayapatia maisha mnajisahau sana ndio kama kuna muda nilikua kwa group fulani kukawa na mchango wa 10k kwa kila memba kuna mmoja akasema hana kuna bwege mmoja akasema mtoto wa kiume unakosaje 10k kukaa kwa shemeji sio dili ila wanaokaa hawapendi
Halafu kumdharu mtu katika maisha si jambo zuri na inaonesha kwamba hauko smart kichwani,binafsi namshukuru mungu hii tabia huwa naikwepa sana hata kwa mtu aliyenikera.
 
ninachopinga mimi ni mtu kukaa kwa shemeji huku hana effort yeyote kujikwamua wakat kuna vibarua mtaani na watu wanafanya wana family,wamepanga na wanasomesha plus kusaidia wazazi,sasa iweje wew kijana ukae,ule msosi wa shemeji,this is not right hasa kwa maisha ya sasa!...karibu %80 ya watu wameanzia chini na kukua!maisha ni magumu mkuu ila tusibweteke!
Kwa hoja inakosa mantiki kuhusu dhana nzima ya kuishi kwa shemeji kwa sababu kwa hali ya kawaida hata kama unaishi kwa wazazi wako si busara kubweteka, ni lazima ujishughulishe kwa namna yoyote iliyo halali.
 
Hata iwaje siwezi kaa kwa shemeji hahah nasitoacha kuzarau watu wanaokaa kwa shemeji lbd uwee under 17
 
Maisha mnayachukulia poa sana kisa mmejipata mnawadharau wanaokaa kwa mashemeji,Mimi nimekaa kwa shemeji miaka 3 nilivyojipata nikaondoka Leo ndio nawalea watoto wake baada ya yeye kutangulia mbele ya haki.
Sawa ila kukaa kwa shemeji ni dharau kama umejikojolea .ndani ya daladala.
 
Be nice hutazikwa na hilo jumba na ikitokea umekufa watoto wako watalelewa na haohao mnaowafukuza.Be nice be humble!
 
Kasaidia. Hatuoni tatizo lolote!
Kwani kafa?! TUACHE fikra potofu!
 
Back
Top Bottom