Mzee Kimamingo
JF-Expert Member
- Mar 31, 2024
- 1,861
- 4,462
Vitu nilivyomsamehe Mzee baada ya mm kuwa mtu mzima ( RIP My Father)
1. Kuwa na mtoto wa Nje
2. Kurudi usiku home sometime kalewa
3. Kuninyima hela nikimuomba esp ya kuchekia Muvi vibanda umiza au mazingaombwe😀
4. Muda mwingi hatukai nae yupo tu busy busy.
5. Kugombana gombana na Bi mkubwa.
Na mengine mengi
1. Kuwa na mtoto wa Nje
2. Kurudi usiku home sometime kalewa
3. Kuninyima hela nikimuomba esp ya kuchekia Muvi vibanda umiza au mazingaombwe😀
4. Muda mwingi hatukai nae yupo tu busy busy.
5. Kugombana gombana na Bi mkubwa.
Na mengine mengi