Mtoto wa Kiume kadri anavyokua huanza kumsamehe Baba yake

Mtoto wa Kiume kadri anavyokua huanza kumsamehe Baba yake

Itoshe kusema, kumnyanyasa mwanamke ni mapungufu makubwa ya akili, mtu kakuudhi, unaona hafai, mtengane tu uoe aliye kamilika kuliko kumnyanyasa binadamu mwenzio utafikiri wewe una maisha yako ya tofauti hapo baadaye. Mimi ni mwanamke nimelelewa na baba na mama...nampenda baba yangu, toka tuko wadogo hadi tunakuwa na familia zetu mama yetu hajawai tujaza sumu mbaya juu ya baba yetu au kushuhudia harassment kwa mama yetu. Wanaume mnaotesa wake zenu mbele ya watoto wenu au kusuport hiyo hali mkijidai vidume mna ulemavu mkubwa akilini mwenu
 
Kinachomtokea ni hiki, kaamua kukaa na kuwalea, ila Bado Kuna matendo ya Mama yenu anayakumnuka.

Nilikuwa na mke wangu kwa 20 years sijawahi mpiga hata kofi Moja toka nimuoe au watoto kuona twabishana.

Siku nimegundua anatoka nje ya ndoa akakimbilia kutafuta nimpige ili alalame, kweli nilikosea nikampiga.

Kwa sasa sijali Tena huwa namsimanga, akileta shida namtia vitasa, Kuna wakati naleta tu vurugu ili mradi.
Huoni na wewe una mapungufu yako kichwani, vitasa vya nini, vurugu za nini bila sababu? Umeshindwa kusamehe tengana naye kaa mbali baasi.
 
Watoto wa kiume na mama zao ni dam dam pona ya baba aliyetelekeza familia ni huyo mama asimjaze sumu mwanae kuhusu baba yake kinyume na hayo utabaki kuwa mtoa manii tu kwa damu yako.
 
Ukiondoa heshima kwa Mungu, inayofuata ni kwa my fellow country men.
Baba kwanza, mama baade
Wanawake ni watu flani hivi wa kutengeneza mazingira ya kuonewa hasa wakiwa mbele ya watoto au watu wanaoweza kuwatetea, japo hata sisi wanaume tunazingua kiana
 
Huoni na wewe una mapungufu yako kichwani, vitasa vya nini, vurugu za nini bila sababu? Umeshindwa kusamehe tengana naye kaa mbali baasi.
ILA WANAWAKE, kwa hiyo unataka baada ya kumfumania amletee maua na zawadi na azidishe upendo kuliko hapo mwanzo kwa sababu moja tu aonekane baba bora 🤣, kapigwa la kulia amgeuzie kushoto ampige tena😁🙌🏻
 
Ukiondoa heshima kwa Mungu, inayofuata ni kwa my fellow country men.
Baba kwanza, mama baade
Wanawake ni watu flani hivi wa kutengeneza mazingira ya kuonewa hasa wakiwa mbele ya watoto au watu wanaoweza kuwatetea, japo hata sisi wanaume tunazingua kiana
Kweli kabisa yaani dunia huwa inaamini hawa Viumbe mda wote tunawaonea,
 
Mkuu miaka yote tunasoma ukipiga simu kwa baba hakupi hata buku tano, mama ndio provider ameletewa hadi watoto wa nje analea kama wake na bado anatukanwa mbele ya madogo mpaka leo
Kuna namna vitu vingine huwezi potezea Mkuu
Wewe umejuaje Kama mama yako ndiyo alikuwa ana provide?

Yawezekana chote ulichotumia kilitoka kwa baba yako mama akawa mtekelezaji !

Wanaume hawapendi show off kwa watoto wao.
 
Pole sana, manyanyaso kwa wanawake yapo, na jamii zingine humtreat mwanamke kama kiumbe kisicho kuwa na haki yoyote duniaIni, cha kukushauri siku moja ongea na ndugu zako (siblings ) mumuweke kitimoto baba yenu mumuelezee yoote yanayowakwaza juu ya matendo anayomfanyia mama na mumkanye kwa kauli za kistaarabu tu ataelewa
Kuna Jamaa yangu Mmoja aliwahi kufata ushauri wako na hiki ndo kilitokea.

Kila wakati kulikua na Ugomvi kati ya Mama na Baba, na Watoto wote wangekua upande wa Mama wakisema Baba anamuomea Mama, Kuna siku ukafumuka Ugomvi na yeye akaacha Shughuri zake akaenda kwao kusuruhisha Ugomvi.

Ila kusuruhisha kwake kulimbeba Mama zaidi kuliko Baba, Yani lawama zilikua Kwa Baba, kwamba Baba Kwa Nini unamfanyia hivi Mama, Kwa Nini hivi....! Mzee akamsikiliza Mtoto baadaye akamwambia...!

Wewe ni Mwanangu wa kwanza wa Kiume, nashangaa mpaka Sasa hujawajua Wanawake, Mama Yako pia ni Mwanamke..!
Akamwambia siwezi kukwambia Makosa yote mama Ako alotenda ama anayotenda, ntakuchanganya tu.

Ila Kwa Sasa Ugomvi wangu na Mama Yako HATAKI KUNIPA UNYUMBA... JE..! UTANIPA WEWE....!"
 
Wamama wana sumu kali sana kwa watoto..nafikiri ni nature yao ya kitojiamini, though naoma watoto wa kike ni wajanja sana kuliko wa kiume.
Mm naona watoto wa kike wanawahi kukua ndio maana wanakuwa wajanja sana ,ila wakiume huchelewa na kuwa Bora au vibaya
 
ILA WANAWAKE, kwa hiyo unataka baada ya kumfumania amletee maua na zawadi na azidishe upendo kuliko hapo mwanzo kwa sababu moja tu aonekane baba bora 🤣, kapigwa la kulia amgeuzie kushoto ampige tena😁🙌🏻
Hakuna sababu ya kumpiga, kama mapenzi hayapo tena na hawezi samehe ndo maana nasema tengana naye anza maisha mapya
 
Back
Top Bottom