Miss Madeko
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 4,364
- 5,609
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]Hivi nyie waarabu wa Bongo hayo mapanga mnaofunga kiunoni ni ya nini ?
Hapo kila mzazi anaangalia namna atakavyonufaika kwa ndoa hiyo
Na Yeye siku ya kiama atawakana mbele ya Baba yakeWamemkana Kristu?
JF wamejaa mbwa kala mbwaIssue ni mahali pa kukutania mkuu,wakina sie tutakutana nao wapi hao!labda JF unaweza kubahatisha...
Kusoma hujui ata picha huwezi kuangaliaMtoa mada una uhakika huyo ni mtoto wa Lukuvi au kupiga picha na maharusi tayari amekuwa baba yake?
Levels babyMtoto wa Mwenye Precision air alioa mtoto wa Basil Mramba.
Mtoto wa Kimei alioa mtoto wa mwenye Victoria petrol stations
Na Uchebe alimuoa Shilole.
Kila mtu na Level zake.
dodge
Huyo ni ndugu yake tu, Ana wazazi wake!Kusoma hujui ata picha huwezi kuangalia
Nilikuwa kwenye arusi kwetu bukoba dogo nae kavaa swaga hizo kama jamaa zetu wa muscat, kituko mhaya na mu Oman wapi na wapi yaani kituko.Hivi nyie waarabu wa Bongo hayo mapanga mnaofunga kiunoni ni ya nini ?
Huhitaji kujua kusoma hapo. Picha tu inajieleza.Lukuvi amevaa kanzu...jibu tayari
Konde boy.anakwenda mjengoni, atapiga kollabo na Shilole.Shilole anakwenda mjengoni Uchebe ajiandae
Naaaaaaaaam mkuu.Na Freeman Aikaeli Mbowe alioa binti wa mzee Edwin Mtei.
Na Mtoto wa Paul Bomani alimuoa/aliolewa Mtoto wa John Rupia.Na Freeman Aikaeli Mbowe alioa binti wa mzee Edwin Mtei.
Lionee kufuatilia ndoa za watu. Wewe kila ukiolewa nikuachika tu.Nilijua tu lazima waoane.