BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sababu wale malaiboni asili yao ni ulinzi lazima akae na silahaUlishawahi kumuuliza au kujiuliza kwanini mmasai anaweka sime kiunoni mwake?????
Upo Coco Beach unauliza baharini wapi?Sijui nani alofuata dini ya mwenziwe au kama wameoana bomaniView attachment 1330401
Ndi mnofu ela be
Bila kusitiri kichwa kwa Mwanamke?Upo Coco Beach unauliza baharini wapi?
Mavazi tu, jibu tayari.
Kwanini usianze kuwauliza wamasai?Hivi nyie waarabu wa Bongo hayo mapanga mnaofunga kiunoni ni ya nini ?
Aulizwe KIBA mana ndie atakaejibu vizuriHivi nyie waarabu wa Bongo hayo mapanga mnaofunga kiunoni ni ya nini ?
Hapo yupo na mumewe na wazazi wao, hana haja ya kujifunika kichwa. Hii itakuwa picha private imevujishwa.Bila kusitiri kichwa kwa Mwanamke?
Hapana. Huyu ni waziri wa zanzibarHuyo aboud ndie mwenye zile gari za abood?
Hivi huoni baadhi ya watu, upande wa mkono wako wa kulia? Au umezeeka hadi macho?Hapo yupo na mumewe na wazazi wao, hana haja ya kujifunika kichwa. Hii itakuwa picha private imevujishwa.
Hao watu unajuaje kama si maharim zake?Hivi huoni baadhi ya watu, upande wa mkono wako wa kulia? Au umezeeka hadi macho?
Wanajiona waoman badala wavae kimasaiHivi nyie waarabu wa Bongo hayo mapanga mnaofunga kiunoni ni ya nini ?
Astaghaf......................aaaa
Hivi nyie waarabu wa Bongo hayo mapanga mnaofunga kiunoni ni ya nini ?
Mtoto wa Aboud kalazimishwa na babaake amuoe mtoto wa waziri ili wapate mteremko katika mambo yao ya biashara na kumiliki ardhi.
Sent using Jamii Forums mobile app
KUNA SIKU YATAWAKATA MAKENDE,WANAJIFANYA WAPO OMANIHivi nyie waarabu wa Bongo hayo mapanga mnaofunga kiunoni ni ya nini ?
mtaolewa na makapuku wenzenu ili mpigane mizinga vizuri... just joking [emoji3][emoji3]
watoto wa wakubwa wapande abood? wakubwa gani hao unawazungumziaUnaelewa maana ya Familia wewe?
bytheway mbona tumesafiri na watoto wa wakubwa kwenye izo izo basi kwan kuna shida?