CONTROLA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2019
- 7,001
- 23,449
Hakuna linaloshindikana kwenye PESA yani HAKUNA.
ila mwanaume angekua kapuku halafu binti aseme kwa baba eti
baba nimempenda tu vile vile alivyo tutafanikwa mbeleni
nakwambia Lukuvi angechomoa hiyo pua yake am'bandike binti ake mdomoni
maana maneno ya kumpa angeyakosa ingebidi atumie vitendo tu.
ila mwanaume angekua kapuku halafu binti aseme kwa baba eti
baba nimempenda tu vile vile alivyo tutafanikwa mbeleni
nakwambia Lukuvi angechomoa hiyo pua yake am'bandike binti ake mdomoni
maana maneno ya kumpa angeyakosa ingebidi atumie vitendo tu.