Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Nungayembe!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nungayembe!
Hahah ukimbeba mara kwa mara kwenye ile Td42 lazima ageuke kua mwaju ndalafupi.
dodge
Haikuwa personal ile mzee, ni strictly business..Mi mwenyewe sipendi itikadi za Kiislam ila nina marafiki wengi Waislam tuLukuvi anavyowachukia waislam sijui amelipokeaje hilo
Huyu Atakuwa wa zenjiKuna abdulaziz abood wa Moro mbunge
Na Mohammed abood wa zenji mbunge na waziri kama sijakosea
Hhahhaha...tunamwomba mapema kbs ampe talaka bibie..maana siku y bdy nilicheka san shilole alivyokuwa amenuna dah wanaume tafuteni tu hela jaman! Shilole🙌🙌Shilole anakwenda mjengoni Uchebe ajiandae
Manjonjo tu, lazima kuwe na ma-swagger na mbwembwe...Hivi nyie waarabu wa Bongo hayo mapanga mnaofunga kiunoni ni ya nini ?
Mtoto wa Aboud kalazimishwa na babaake amuoe mtoto wa waziri ili wapate mteremko katika mambo yao ya biashara na kumiliki ardhi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ni mtoto gani wa waziri yupo singer nijitwishe huyo mkuu?. Nipunguze kidogo na mimi makali maisha mkuu
Dogo janja alimuoa uwoya,Mtoto wa Mwenye Precision air alioa mtoto wa Basil Mramba.
Mtoto wa Kimei alioa mtoto wa mwenye Victoria petrol stations
Na Uchebe alimuoa Shilole.
Kila mtu na Level zake.
dodge
Sasa naona huyo Baba kijana yuko na kijana wake, upande wa pili, Baba na bintiye, sasa si angemruhusu tu mama binti asimame na bintiye?Sijui nani alofuata dini ya mwenziwe au kama wameoana bomaniView attachment 1330401
Kwamba Lukuvi na familia yake ni mwendo wa kupanda abood free tu.Hapo kila mzazi anaangalia namna atakavyonufaika kwa ndoa hiyo
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji24]Hapo kila mzazi anaangalia namna atakavyonufaika kwa ndoa hiyo
Hivi ni mtoto gani wa waziri yupo singer nijitwishe huyo mkuu?. Nipunguze kidogo na mimi makali maisha mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Alivyoachwa mpk akalazwa hosp.
ila binti yupo kichwa wazi!! hapo unasemaje?Lukuvi amevaa kanzu...jibu tayari
Na binti jeuri hajasitiri kichwa chake hapo je?Lakini si unaona hadi mzee baba mwenyewe kapigwa kanzu?
Inamaanza Ujumbe wa prof J kwenye zali la mentali huukumbuki????Mtoto wa Mwenye Precision air alioa mtoto wa Basil Mramba.
Mtoto wa Kimei alioa mtoto wa mwenye Victoria petrol stations
Na Uchebe alimuoa Shilole.
Kila mtu na Level zake.
dodge